Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Betting»SportPesa
  • Recent Questions
  • Answers
  • No Answers
  • Most Visited
  1. Asked: October 24, 2019In: Betting, SportPesa

    Sportpesa namba kwa simu za kawaida ni ipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on July 30, 2022 at 7:42 pm

    Sportpesa namba ya malipo ni 150888 Sportpesa namba za mawasiliano ni 0764-115588 0685-115588 0677-115588

    Sportpesa namba ya malipo ni 150888

    Sportpesa namba za mawasiliano ni

    0764-115588
    0685-115588
    0677-115588

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Asked: October 24, 2019In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kurudisha file la SportPesa?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 3, 2021 at 9:35 pm

    Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw

    Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  3. Asked: January 15, 2020In: SportPesa

    Nawezaje kuwasiliana na SportPesa?

    Rickyllobbe
    Rickyllobbe
    Added an answer on April 11, 2020 at 5:06 pm

    Hizi ndizo contracts za Sportpesa Email Adress>> care@sportpesa.com Customer Care Mobile phone Contacts: 0685-115588 or 0692-115588. Twitter Sportpesa Tanzania: @TZSportPesa.

    Hizi ndizo contracts za Sportpesa

    Email Adress>> care@sportpesa.com

    Customer Care Mobile phone Contacts: 0685-115588 or 0692-115588.

    Twitter Sportpesa Tanzania: @TZSportPesa.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Asked: January 16, 2020In: Betting, SportPesa

    Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 16, 2020 at 1:13 pm
    This answer was edited.

    0764-115588  0685-115588  0692-115588  0677-115588

    0764-115588 
    0685-115588 
    0692-115588 
    0677-115588

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  5. Asked: January 16, 2020In: Betting, SportPesa

    Namba ya malipo ya SportPesa ni ipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 16, 2020 at 1:11 pm

    150888

    150888

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Asked: January 14, 2020In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kubet mechi nyingi kwa pamoja kwenye SportPesa?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 14, 2020 at 7:32 am
    This answer was edited.

    Hakikisha kwanza umejisajili na ume log in katika akaunti yako ya SportPesa.   Tovuti ya SportPesa ni rahisi kutumia, unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaopendelea yaani, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi unazotaka kuwekea bet nyingi.  Read more

    Hakikisha kwanza umejisajili na ume log in katika akaunti yako ya SportPesa.

     

    Tovuti ya SportPesa ni rahisi kutumia, unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaopendelea yaani, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi unazotaka kuwekea bet nyingi.

     

    Ili kuweka bet nyingi, bofya kwenye timu ambayo unatabiri itashinda ama timu ya Nyumbani (timu iliyowekwa kwanza) au Timu ya Ugenini (timu iliyotajwa ya pili)

    Kama utataka kutabiri matokeo ya mchezo kuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili kuchaguwa X (SULUHU)

     

    Kama unatka kutabiri kwenye masoko zaidi, bofya kwenye chaguo la masoko zaidi lilioonyeshwa kama (+12, +2, +8 n.k) zaidi ya michezo unayotaka kuwekea bet ili upate chaguzi zaidi za kubet.

     

    Mara baada ya kuchagua tabiri zako, Mkeka utaoneka ukionesha utabiri uliochagua, Odds za utabiri wako, na kiasi cha fedha chini ya mkeka, ambacho kinaweza kubadilishwa kulingana na kiasi ambacho ungependa kubet.

     

    Kumbuka kuwa unaweza kuhariri bet zako zilizopo kwenye mkeka kuhakikisha kuwa umefanya uchaguzi unaotaka.

    Kama utataka kutoa bet yote na kuanza upya, bofya kwenye ONDOA ZOTE

    Bofya kwenye ‘WEKA BET’ ili kuweka bet yako.

    Ujumbe utatokea utakaokuomba ku “THIBITISHA BET YAKO”. Sasa unaweza kubofya kwenye “FUTA” na kurudi kwenye mkeka wako, au kubofya “SAWA”.

     

    Baada ya kubofya “SAWA” ujumbe wa uthibitisho utatokea kwenye skrini yako ukikuonyesha:

    • Michezo uliyochagua
    • Utabiri wako
    • Aina ya bet ulizoweka – Bet Nyingi
    • Kiasi unachotaka kubet
    • ID ya Bet yako
    • Uwezekano wako wa kushinda
    • Salio la akaunti yako ya SportPesa

    Kumbuka: Kutoka kwenye ujumbe huu wa uthibitisho, unaweza kwenda moja kwa moja kweye Historia ya Bet yako kwa kubofya kwenye “Tazama Historia”

    Pia utapata ujumbe wa uthibitisho kwenye simu yako kutoka 15888 kuthibitisha hilo.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  7. Asked: January 12, 2020In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kuweka bet moja SportPesa?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 12, 2020 at 7:21 am
    This answer was edited.

    Kwanza kabisa inabidi ujisajili au uingie katika akaunti yako kama ulishajisajili. Soma jinsi ya kujisajili   Tovuti ya Sportpesa ni rahisi kuitumia, unachohitaji kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaokuvutia yaani Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi ambazoRead more

    Kwanza kabisa inabidi ujisajili au uingie katika akaunti yako kama ulishajisajili. Soma jinsi ya kujisajili

     

    Tovuti ya Sportpesa ni rahisi kuitumia, unachohitaji kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaokuvutia yaani Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi ambazo unataka kuwekea bet.

     

    Kuweka bet moja, bofya kwenye timu unayotabiri kushinda. Bofya ama kwenye timu ya Nyumbani (timu iliyowekwa kwanza) au timu ya Ugenini (timu iliyowekwa ya pili).

     

    Kama ungependa kutabiri matokeo ya mchezo kuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili kuchagua X (SULUHU).

     

    Kama ungependa kutabiri masoko ya ziada, bofya kwenye chaguo la masoko zaidi ambalo huoneshwa kama (+12, +2, +8 nk) mbali na mchezo unaotaka kuwekea bet, ili kupata chaguzi za kubet zilizopo.

     

    Mara baada ya kuchagua utabiri wako, Mkeka utajitokeza kukuonesha utabiri uliochagua, Odds za utabiri wako, na kiasi cha kubet chini ya mkeka, ambayo inaweza kurekebishwa kulingana na kiasi unachopenda kufanyia bet.

     

    Kumbuka kwamba unaweza kuhariri bet yako iliyopo kwenye kikapu ili kujithibitishia kuwa umefanya uchaguzi unaotaka.

     

    Kama unataka kuondoa bet yote na kuanza upya, bonyeza “ONDOA ZOTE”

     

    Bonyeza kwenye “WEKA BET” ili kuweka bet.

     

    Ujumbe wa kukuomba ku “THIBITISHA BET YAKO” utaonekana. Unaweza ku “FUTA” na kurudi nyuma kwenye mkeka wako, au kubofya “SAWA”.

     

    Baada ya kubofya “SAWA” ujumbe wa uthibitisho utatokea kwenye skrini yako ukikuonyesha:

    • Mchezo uliochagua
    • Utabiri wako
    • Aina ya bet ulizoweka – Multibet
    • Kiasi cha bet ulichoweka
    • Bet namba yako
    • Kiasi unachoweza kushinda
    • Salio lako la akaunti ya Sportpesa

     

    Kumbuka: Kutoka kwenye ujumbe huu wa uthibitisho, unaweza kwenda moja kwa moja kwenye Historia ya Kubet kwa kubofya kwenye “Tazama Historia”. Pia utapokea ujumbe wa uthibitisho kwenye simu yako ya kiganjani kutoka 15888 kuthibitisha bet ile ile.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Asked: January 11, 2020In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kujisajili SportPesa?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 11, 2020 at 6:49 am
    This answer was edited.

    Kujisajili mtandaoni, fuata hatua hizi nyepesi: Hatua ya 1 Tafadhali tembelea www.sportpesa.co.tz na bofya kwenye "Jisajili Sasa!" Link ipo kwenye kona ya upande wa juu KULIA wa tovuti(Kama tovuti ipo katika lugha ya kiingereza na unataka kutumia kiswahili bonyeza kwenye 'language' juu upande wa kulRead more

    Kujisajili mtandaoni, fuata hatua hizi nyepesi:

    Hatua ya 1

    Tafadhali tembelea http://www.sportpesa.co.tz na bofya kwenye “Jisajili Sasa!” Link ipo kwenye kona ya upande wa juu KULIA wa tovuti(Kama tovuti ipo katika lugha ya kiingereza na unataka kutumia kiswahili bonyeza kwenye ‘language’ juu upande wa kulia)

    Tafadhali soma Vigezo na Masharti na ujaze maeneo yote kisha bofya kitufe cha “Pata namba ya usajili” au vinginevyo “Je, una namba tayari?” Kama umeshapokea NAMBA YA USAJILI

    Hatua ya 2

    Jaza namba yako ya Simu na Namba ya Usajili ILIYOTUMWA KWENYE NAMBA YAKO YA SIMU, na bofya kitufe cha “Maliza Kikamilifu”

    Hatua ya 3

    Ujumbe wa uthibitisho utatokea, utakao thibitisha usajili wako kikamilifu.

    Furahia Mchezo!

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  9. Asked: January 9, 2020In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kuangalia salio langu la SportPesa kwa njia ya SMS?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 9, 2020 at 4:22 pm

    Kuangalia salio tuma SMS neno "SALIO" kwenda 15888 kuona una kiasi gani kwenye akaunti yako ya SportPesa. Utapokea ujumbe unaoonyesha salio la akaunti yako. Mfano. Salio lako la S-PESA ni: TZS 2000/= Kumbuka: Kama una muamala unaosubiri, salio la akaunti yako ya SportPesa halitojumuisha kiasi unachoRead more

    Kuangalia salio tuma SMS neno “SALIO” kwenda 15888 kuona una kiasi gani kwenye akaunti yako ya SportPesa. Utapokea ujumbe unaoonyesha salio la akaunti yako.

    Mfano. Salio lako la S-PESA ni: TZS 2000/=

    Kumbuka: Kama una muamala unaosubiri, salio la akaunti yako ya SportPesa halitojumuisha kiasi unachotaka kutoa.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Asked: January 8, 2020In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 8, 2020 at 11:01 pm

    Kutoa pesa zako ni rahisi kama kuweka pesa zako ndani. Kwa mfano kama unataka kutoa TZS 1200 kutoka kwenye akaunti yako ya SportPesa, uta: Tuma sms kwenda 15888: W#1200#8888 - ambapo W inasimama kama Kutoa; 1200 ni kiasi cha pesa unachotaka kutoa na 8888 ni namba yako ya siri ya SportPesa uliyopokeaRead more

    Kutoa pesa zako ni rahisi kama kuweka pesa zako ndani.

    Kwa mfano kama unataka kutoa TZS 1200 kutoka kwenye akaunti yako ya SportPesa, uta:

    1. Tuma sms kwenda 15888: W#1200#8888 – ambapo W inasimama kama Kutoa; 1200 ni kiasi cha pesa unachotaka kutoa na 8888 ni namba yako ya siri ya SportPesa uliyopokea wakati wa kujisajili. Kumbuka: Mfumo wa kutoa ni ule ule kwa mitandao ya watoa huduma wote wa simu, yaani, Vodacom M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, Halopesa.
    2. Utapokea ujumbe wenye uthibitisho kutoka 15888 na Akaunti yako ya simu (Vodacom M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, Halopesa, etc) itaingiziwa pesa, utatumiwa ujumbe wa pili wenye uthibitisho kutoka kwa mtoa huduma wako.
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load More Answers

Sidebar

ChuiTec

Contact us for Website Design, Ads, SEO and Digital Marketing

Popular Questions

  • Ni kampuni gani za kubet TZ?

  • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

  • Unajua app za kubet Tanzania?

  • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

  • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

  • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

  • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

  • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

  • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

  • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

Explore

  • Home
  • Maswali
  • Miongozo

MojaSky