Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Questions»Q 34616
In Process

1Sky Latest Questions

1sky
Asked: January 14, 20202020-01-14T07:29:07+03:00 2020-01-14T07:29:07+03:00In: Betting, SportPesa

Nawezaje kubet mechi nyingi kwa pamoja kwenye SportPesa?

Nawezaje kubet mechi nyingi kwa pamoja kwenye SportPesa?
  • 11
  • 449
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
Answer
  • Report

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Musa Adam
    Musa Adam
    2020-01-14T07:32:10+03:00Added an answer on January 14, 2020 at 7:32 am
    This answer was edited.

    Hakikisha kwanza umejisajili na ume log in katika akaunti yako ya SportPesa.

     

    Tovuti ya SportPesa ni rahisi kutumia, unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaopendelea yaani, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi unazotaka kuwekea bet nyingi.

     

    Ili kuweka bet nyingi, bofya kwenye timu ambayo unatabiri itashinda ama timu ya Nyumbani (timu iliyowekwa kwanza) au Timu ya Ugenini (timu iliyotajwa ya pili)

    Kama utataka kutabiri matokeo ya mchezo kuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili kuchaguwa X (SULUHU)

     

    Kama unatka kutabiri kwenye masoko zaidi, bofya kwenye chaguo la masoko zaidi lilioonyeshwa kama (+12, +2, +8 n.k) zaidi ya michezo unayotaka kuwekea bet ili upate chaguzi zaidi za kubet.

     

    Mara baada ya kuchagua tabiri zako, Mkeka utaoneka ukionesha utabiri uliochagua, Odds za utabiri wako, na kiasi cha fedha chini ya mkeka, ambacho kinaweza kubadilishwa kulingana na kiasi ambacho ungependa kubet.

     

    Kumbuka kuwa unaweza kuhariri bet zako zilizopo kwenye mkeka kuhakikisha kuwa umefanya uchaguzi unaotaka.

    Kama utataka kutoa bet yote na kuanza upya, bofya kwenye ONDOA ZOTE

    Bofya kwenye ‘WEKA BET’ ili kuweka bet yako.

    Ujumbe utatokea utakaokuomba ku “THIBITISHA BET YAKO”. Sasa unaweza kubofya kwenye “FUTA” na kurudi kwenye mkeka wako, au kubofya “SAWA”.

     

    Baada ya kubofya “SAWA” ujumbe wa uthibitisho utatokea kwenye skrini yako ukikuonyesha:

    • Michezo uliyochagua
    • Utabiri wako
    • Aina ya bet ulizoweka – Bet Nyingi
    • Kiasi unachotaka kubet
    • ID ya Bet yako
    • Uwezekano wako wa kushinda
    • Salio la akaunti yako ya SportPesa

    Kumbuka: Kutoka kwenye ujumbe huu wa uthibitisho, unaweza kwenda moja kwa moja kweye Historia ya Bet yako kwa kubofya kwenye “Tazama Historia”

    Pia utapata ujumbe wa uthibitisho kwenye simu yako kutoka 15888 kuthibitisha hilo.

      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report

Leave an answer
Cancel reply

You must login to add an answer.


Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Sidebar

Promo

  • Related Questions

    • Namna gani ya kuangalia beti yako kwenye biko sport

    • Nahitaji kubashiri mpira wa miguu je nifanyeje?

    • Mkekabet ni kampuni bora ya kubet?

    • Premier bet ni kampuni bora ya kubet?

    • Kwa nini nitumie Mkekabet kubet?

    • Kampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?

    • Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

    Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.