Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Betting»MkekaBet
  • Recent Questions
  • Answers
  • No Answers
  • Most Visited
  1. Asked: February 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Mkekabet ni kampuni bora ya kubet?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on May 19, 2020 at 12:48 pm
    This answer was edited.

    Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha. Baadhi ya ofa zinazopatikanRead more

    Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha.

    Baadhi ya ofa zinazopatikana Mkekabet ni kama

    • Champions League Winner Special. Chagua timu moja inayoshiriki Champions League na utapata %10 ya free bet kama timuliyoichagua itashinda.
    • One Out Money Back. Utarudishiwa hela yako kama utafeli mechi moja katika mkeka wako.
    • Money back. Unarudishiwa hela yako kama bet yako ya kwanza itafeli.
    • Cash Out. Unaweza kutoa hela yako hata kama mechi haijaisha.
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Asked: February 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Kwa nini nitumie Mkekabet kubet?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on May 18, 2020 at 1:50 pm
    This answer was edited.

    Kikubwa zaidi ni urahisi wa kuchezaUnaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha. Baadhi ya ofa zinazopatikanaRead more

    Kikubwa zaidi ni urahisi wa kuchezaUnaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha.

    Baadhi ya ofa zinazopatikana Mkekabet ni kama

    • Champions League Winner Special. Chagua timu moja inayoshiriki Champions League na utapata %10 ya free bet kama timuliyoichagua itashinda.
    • One Out Money Back. Utarudishiwa hela yako kama utafeli mechi moja katika mkeka wako.
    • Money back. Unarudishiwa hela yako kama bet yako ya kwanza itafeli.
    • Cash Out. Unaweza kutoa hela yako hata kama mechi haijaisha.
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  3. Asked: May 1, 2019In: Betting, MkekaBet

    Unachezaje Mkekabet?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on March 18, 2020 at 1:48 pm
    This answer was edited.

    Mchezo wa kubashiri wa Mkekabet unachezwa kwa njia mbalimbali. Njia nyingine ni kwa kubet mtandaoni tu kwa kutumia browser. Kwa njia hii lazima unaingia katika internet unadungua mkekabet.com kisha unaanza kucheza. Njia nyingine ni kwa kutumia USSD. Njia hii unabet kwa kutumia menyu unayopiga katikaRead more

    Mchezo wa kubashiri wa Mkekabet unachezwa kwa njia mbalimbali.

    Njia nyingine ni kwa kubet mtandaoni tu kwa kutumia browser. Kwa njia hii lazima unaingia katika internet unadungua mkekabet.com kisha unaanza kucheza.

    Njia nyingine ni kwa kutumia USSD. Njia hii unabet kwa kutumia menyu unayopiga katika simu yako. Menyu yenyewe ni *149*87#.

    Na njia ya mwishoni kwa kutumia SMS. Njia hii unacheza kwa kutuma ujumbe kwa namba maalumu kama unachat na namba hiyo. Namba ni 15739.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Asked: December 21, 2019In: Betting, MkekaBet

    Mkekabet ni nini?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on February 29, 2020 at 1:36 pm
    This answer was edited.

    Mkekabet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali. Baadhi ya michezo inayopatikana ni American Football, Baseball, Mpira wa kikapu, Ndondi, Cricket, Mpira wa Miguu, Golf, Handball, Ice Hockey, Tennis na Volleyball.

    Mkekabet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya michezo mbalimbali. Baadhi ya michezo inayopatikana ni American Football, Baseball, Mpira wa kikapu, Ndondi, Cricket, Mpira wa Miguu, Golf, Handball, Ice Hockey, Tennis na Volleyball.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  5. Asked: February 19, 2019In: Betting, MkekaBet

    Nitafanyaje nishinde Mkekabet?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on February 22, 2020 at 12:46 pm
    This answer was edited.

    Katika kupitapita kwenye internet nikaona hii imeandikwa na mwandishi wa tandikamikeka kuhusu vitu vya kuzingatia ili ushinde 1. Usiweke mechi nyingi kwa mkeka mmoja/ticket. Hii ni kwa sababu unapoweka mechi nyingi katika mkeka mmoja unapunguza uwezekano wa wewe kushinda. Japo kuwa wengi wanawaza kuRead more

    Katika kupitapita kwenye internet nikaona hii imeandikwa na mwandishi wa tandikamikeka kuhusu vitu vya kuzingatia ili ushinde

    1. Usiweke mechi nyingi kwa mkeka mmoja/ticket. Hii ni kwa sababu unapoweka mechi nyingi katika mkeka mmoja unapunguza uwezekano wa wewe kushinda. Japo kuwa wengi wanawaza kupata hela nyingi lakini wanasahau kuangalia uwezekano wa kushinda. Ni kweli kwamba ukiweka mechi nyingi ndio hela inaongezeka ila uwezekano wakushinda unapungua, ndiyo maana wenye makampuni hawaruhusu kubeti/kutandika mkeka wa mechi moja.

    2. Zijue timu unazozibetia / ambazo unazitabiria : kujua timu kabla ya kubeti ni jambo muhimu sana kwa sababu kuna timu ni mahasimu sana katika ligi fulani. Kwa mfano ligi kuu vodacom wakicheza Simba na Yanga, hata kama Simba akiwa anashika nafasi za mwishoni katika ligi hatakubali kufungwa kirahisi na Yanga kwa hiyo mechi itakua naupinzani mkali. Mara nyingi zikikutana timu kama hizi matokeo huishia kuwa droo/draw au utofauti mdogo wa magoli kwa mfano mechi inaweza kuisha 0-0, 1-1, 2-2, na sare nyinine au 1-0, 0-1, 2-1, 3-2. Kwa hiyo kwa timu kama hizi usibeti kwamba timu fulani itashinda kwa tofauti ya magoli mawili au zaidi. Pia kingine atika kuzijua timu jaribu kuangalia kama kuna timu ni kibonde wa mwingine. Kwa mfano Arsenal ni mteja wa Man United mara kwa mara, kwahiyo jaribu kuangalia nani anamfunga mwenzake mara kwa mara kisha mpe.

    3.Usibetie timu kwa sababu ya ushabiki: hiki ni kitu cha kuzingatia kwani wengi wamekua wakibet kwa sababu tu ya mapenzi ya katika timu fulani. Ushauri ni bora usibetie timu unayoipenda kama uwezi kazuia hisia zako, kwani hisia zinamzuia mtu kuichambua timu anayo ishabikia

    4.Angalia goal differences/ tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa: ni vizuri kuangalia tofauti ya magoli kwa zile timu ambazo unataka kuzibetia na hii ni nzuri hususani kwa wale ambao watakua wanabeti kama timu zote zitafunga. Kwa mfano kama timu inamagoli mengi ya kufunga kuliko ya kufungwa ni wazi kwamba timu hii haifungwi mara kwa mara kwa hiyo ikikikutana/kucheza na timu ambayo ina magoli mengi sana ya kufugwa kuliko ya kufunga, hii inaonyesha kuwa hii timu itafungwa bila yenyewe kufunga kwahiyo kama uliweka both team will score “yes” huo mkeka utakua umechanika.

    NB: hii haimanishi kwamba itakua hivyo kwa mechi zote ila ni kwamba uwezekano mkubwa / possibility ipo hivyo

    5. Cheza kwa kiasi mchezo huu. Usiwe na tamaa kwamba unaweza pata pesa nyingi kwa mara moja kwahiyo ukacheza hovyo bila mpangilio, utaumia. Jaribu kuweka mikakati na mipangilio juu ya uchezaji wako, hakika hutajuta. Cheza mechi chache kwa siku unazoamini zinaweza kukupatia ushindi sio lazima ubashiri mechi nyingi kwa mkupuo. Hii itakusaidia wewe kukupa ushindi mara nyingi

    6. Usibashiri kwa mapenzi ama ushabiki, eti kwa kuwa mimi ni mshabiki wa Liverpool Fc basi ndo nakuwa naitabiria ushindi kila mara, angalia uwezo wa timu yako dhidi ya timu pinzani kama inaweza shinda na hii itakuwa rahisi endapo utakuwa mfuatiliaji mzuri pia wa ligi ama mchezo unaobashiri.

    Anza kubeti sasa kwa kutumia BetWinner , BetWay au MeridianBet

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Asked: January 16, 2020In: Betting, MkekaBet

    Cash out ya Mkekabet inamaanisha nini?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 16, 2020 at 1:02 pm
    This answer was edited.

    Cash Out ni njia inayokuwezesha kuwa na muongozo kwa beti zako na inakupa nafasi ya kutoa sehemu ya dau lako baada ya kubeti kabla mchezo haujakamilika. Huitaji kusubiri hadi mwisho wa mchezo kumalizika na kupoteza dau lako ikiwa unahisi unaweza kupoteza hio beti unaweza kupata sehemu ya dau lako kwRead more

    Cash Out ni njia inayokuwezesha kuwa na muongozo kwa beti zako na inakupa nafasi ya kutoa sehemu ya dau lako baada ya kubeti kabla mchezo haujakamilika.

    Huitaji kusubiri hadi mwisho wa mchezo kumalizika na kupoteza dau lako ikiwa unahisi unaweza kupoteza hio beti unaweza kupata sehemu ya dau lako kwa kufanya cash out kabla mchezo hujamalizika kuepuka hasara ya kupoteza dau lako lote.

     

    NAWEZA KUFANYA CASH OUT KWA NJIA ZIPI?

     

    Cash out mchezo unaoendelea

    Unaweza kufanya cash out kwa bet ambayo michezo inaendelea. Hii inakuruhusu kufanya cash out ikiwa una michezo imefanya vizuri lakini mmoja kati ya mchezo umefanya vibaya na bado unaendelea unaweza kufanya cash out . mfano una michezo 10 kwenye tiketi na michezo 9 imefanya vizuri isipokuwa mchezo mmoja ambao unaoneka utapoteza na mchezo unaendelea unaweza kufanya cash out.

     

    Kabla ya mchezo cash out

    Unaweza kufanya cash out hata kabla michezo haijaanza ikiwa umebadili mawazo kuhusu michezo au mchezo husika.

     

    NAWEZAJE KUFANYA CASH OUT?

     

    Cash out mtandaoni

    Ukiwa kwenye akaunti yako bofya profile sehemu ambayo ina jina /namba yako ya simu na utapata orodha, nenda sehemu ya cash out na utaona beti zote zilizopo kwenye orodha na unaweza kufanya cash out mara moja.

    Kumbuka beti ambayo imefanywa kwa dau la bonasi au beti ya bure huwezi kufanya cash out.

     

    Natashinda kiasi gani?

    Kiasi cha Cash out yako kinategemeana na uwezekano wa matokeo ya beti yako kadri unapokuwa na uwezekano wa kushinda ndio kiasi cha cash out kinakuwa kikubwa.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  7. Asked: January 15, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kujua salio langu la Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 15, 2020 at 7:09 am

    Kuangalia salio Tuma neno SALIO kwenda 15739 utapata ujumbe wa salio lako la akaunti ya mkekabet

    Kuangalia salio Tuma neno SALIO kwenda 15739 utapata ujumbe wa salio lako la akaunti ya mkekabet

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Asked: January 14, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kutoa pesa katika akaunti yangu ya Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 14, 2020 at 7:26 am

    Kutoa pesa kutoka akaunti ya mkekabet kwenda mpesa/tigopesa/airtel money andika neno TOA acha nafasi kisha kiasi tuma kwenda 15739 MFANO: Toa 2000 Kwenda kwa 15739.

    Kutoa pesa kutoka akaunti ya mkekabet kwenda mpesa/tigopesa/airtel money andika neno TOA acha nafasi kisha kiasi tuma kwenda 15739

    MFANO: Toa 2000 Kwenda kwa 15739.

    See less
      • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  9. Asked: January 12, 2020In: Betting, MkekaBet

    Kiasi cha chini cha kuchezea Mkekabet ni kipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 12, 2020 at 6:45 am

    Kiasi cha chini kucheza ni Tsh. 200 (shilingi mia mbili).

    Kiasi cha chini kucheza ni Tsh. 200 (shilingi mia mbili).

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Asked: January 11, 2020In: Betting, MkekaBet

    Kiasi cha juu zaidi cha kushinda Mkekabet ni shilingi ngapi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 11, 2020 at 7:29 am

    Kwa tiketi moja kiasi cha juu kushinda ni Tsh 20,000,000 (shilingi milioni ishirini).

    Kwa tiketi moja kiasi cha juu kushinda ni Tsh 20,000,000 (shilingi milioni ishirini).

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load More Answers

Sidebar

Promo

  • Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky