Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Betting»MkekaBet»Page 2
  • Recent Questions
  • Answers
  • No Answers
  • Most Visited
  1. Asked: January 10, 2020In: Betting, MkekaBet

    Namba ya kubet Mkekabet kwa USSD ni ipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 10, 2020 at 8:29 am

    USSD code ya Mkekabet ni *149*87#

    USSD code ya Mkekabet ni *149*87#

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Asked: January 9, 2020In: Betting, MkekaBet

    Bonasi ya kubet zaidi ya mchezo mmoja Mkekabet inafanyaje kazi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 9, 2020 at 4:24 pm

    Unapocheza michezo kuanzia mitano (5) na kuendelea kwenye tiketi moja una nafasi ya kupata bonasi ya kuanzia 10% hadi 25% kwenye ushindi wako. Unaweza kuona kiasi cha ushindi wa bonasi kwa asilimia baada ya kuweka dau lako na kabla hujatuma beti yako. Mgawanyo wa hesabu za Asilimia za Bonasi kwa idaRead more

    Unapocheza michezo kuanzia mitano (5) na kuendelea kwenye tiketi moja una nafasi ya kupata bonasi ya kuanzia 10% hadi 25% kwenye ushindi wako.

    Unaweza kuona kiasi cha ushindi wa bonasi kwa asilimia baada ya kuweka dau lako na kabla hujatuma beti yako.

    Mgawanyo wa hesabu za Asilimia za Bonasi kwa idadi ya michezo;

     

    Idadi ya MechiBonasi
    510%
    7-815%
    9-1020%
    11-1325%
    13-1525%
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  3. Asked: January 8, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kubet mchezo zaidi ya mmoja kwa njia ya SMS katika Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 8, 2020 at 6:04 pm

    Event Code Event 1 X 2 5555 Liverpool vs Chelsea 2.00 3.00 3.20 6666 Man Utd vs Arsenal 3.2 3.1 2 Timu ya nyumbani kushinda = (1), Sare = (X), Timu ya ugenini = (2) Mfano: Liverpool na Arsenal Washinde; Andika Neno Bet(AchaNafasi)Code ya Mechi#Ubashiri+Code ya Mechi#Ubashiri*kiasi cha pesa kisha TUMRead more

    Event CodeEvent1X2
    5555Liverpool vs Chelsea2.003.003.20
    6666Man Utd vs Arsenal3.23.12

    Timu ya nyumbani kushinda = (1), Sare = (X), Timu ya ugenini = (2)

    Mfano: Liverpool na Arsenal Washinde;
    Andika Neno Bet(AchaNafasi)Code ya Mechi#Ubashiri+Code ya Mechi#Ubashiri*kiasi cha pesa kisha TUMA KWENDA 15739

    Mfano :Bet 5555#1+6666#2*1000 TUMA KWENDA 15739

    “5555” na “6666” = Ni Code za Mechi, “1” na “2” = Ubashiri, “1000” = kiasi cha pesa.

    Idadi ya mwisho kucheza ni michezo 15 kwa tiketi moja

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Asked: January 6, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kubet na Mkekabet mtandaoni?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 6, 2020 at 5:42 pm
    This answer was edited.

    Kwanza kabisa inabidi ujiunge. Tumia link hii kujiunga ⇒Mkekabet 1. Ingia tumia namba yako ya simu na pin namba uliyopewa baada ya kujisajili (usianze na sifuri) 2. Ukisha ingia chagua michezo unayohitaji kwa kuangalia ligi na aina ya michezo kwenye menu upande wa kushoto. 3. Fanya machaguo yako kwaRead more

    Kwanza kabisa inabidi ujiunge. Tumia link hii kujiunga ⇒Mkekabet

    1. Ingia tumia namba yako ya simu na pin namba uliyopewa baada ya kujisajili (usianze na sifuri)

    2. Ukisha ingia chagua michezo unayohitaji kwa kuangalia ligi na aina ya michezo kwenye menu upande wa kushoto.

    3. Fanya machaguo yako kwa kubofya moja kati ya vibox vitatu ambavyo vina odds ndani yake na utapata betslip upande wa kulia kwa wanaotumia mfumo wa kompyuta na kwa mfumo wa simu utaiona upande wa chini kulia.

    4. Ukimaliza utaweka dau lako na kubofya sehemu imeandikwa “Bet now”

    5. Unaweza kupitia na kuangalia beti ulizofanya kwa kubofya sehemu yenye namba yako ya simu au jina lako hapo juu utapata menyu na utaenda sehemu ya “Bet History”

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  5. Asked: January 5, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 5, 2020 at 9:21 am

    Namna ya kwanza Weka pesa kwa: Tigo pesa (*150*01#) au Vodacom m-pesa (*150*00#) au Airtel Money (*150*60#) Namba ya Kampuni : 238844 Namba ya kumbukumbu : 12345/MKEKA. Utapokea PIN kwa njia ya ujumbe mfupi (SMS) Ukipokea ujumbe utaingia kwenye tovuti yetu www.mkekabet.com sehemu ya log in utaweka nRead more

    Namna ya kwanza

    Weka pesa kwa:

    Tigo pesa (*150*01#) au Vodacom m-pesa (*150*00#) au Airtel Money (*150*60#)

    Namba ya Kampuni : 238844

    Namba ya kumbukumbu : 12345/MKEKA.

    Utapokea PIN kwa njia ya ujumbe mfupi (SMS)

    Ukipokea ujumbe utaingia kwenye tovuti yetu http://www.mkekabet.com sehemu ya log in utaweka namba ya simu (bila kuanza na sifuri) kisha weka PIN namba yako.

    Namna ya pili

    Tuma ujumbe wa neno PIN kwenda 15739

    Utapokea PIN kwa njia ya ujumbe mfupi (SMS)

    See less
      • -1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Asked: January 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kuweka pesa Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 4, 2020 at 6:58 am
    This answer was edited.

    MPesa – Ingia katika menyu ya MPesa *150*00# – Chagua Lipa kwa Mpesa – Weka namba ya kampuni 238844 – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345 – Chagua kiasi unachotaka kuweka – Weka PIN yako kuthibitisha – Utapokea ujumbe mfupi kutoka M-pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala   TigoPesa – Ingia katiRead more

    MPesa

    – Ingia katika menyu ya MPesa *150*00#

    – Chagua Lipa kwa Mpesa

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako kuthibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka M-pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

     

    TigoPesa

    – Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*01#

    – Chagua Lipa bili

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako ya TigoPesa halafu Thibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka Tigo-Pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

     

    AirtelMoney

    – Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*60#

    – Chagua Lipa bili

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako ya Airtel Money halafu Thibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka Airtel-Money na Mkekabet kuthibitisha muamala

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  7. Asked: January 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kuweka pesa Mkekabet kwa kutumia AirtelMoney?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 4, 2020 at 6:56 am

    - Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*60# - Chagua Lipa bili - Weka namba ya kampuni 238844 - Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345 - Chagua kiasi unachotaka kuweka - Weka PIN yako ya Airtel Money halafu Thibitisha - Utapokea ujumbe mfupi kutoka Airtel-Money na Mkekabet kuthibitisha muamala

    – Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*60#

    – Chagua Lipa bili

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako ya Airtel Money halafu Thibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka Airtel-Money na Mkekabet kuthibitisha muamala

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Asked: January 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kuweka pesa Mkekabet kwa kutumia TigoPesa?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 4, 2020 at 6:56 am

    - Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*01# - Chagua Lipa bili - Weka namba ya kampuni 238844 - Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345 - Chagua kiasi unachotaka kuweka - Weka PIN yako ya TigoPesa halafu Thibitisha - Utapokea ujumbe mfupi kutoka Tigo-Pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    – Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*01#

    – Chagua Lipa bili

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako ya TigoPesa halafu Thibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka Tigo-Pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  9. Asked: January 4, 2020In: Betting, MkekaBet

    Nawezaje kuweka pesa Mkekabet kwa kutumia MPesa?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 4, 2020 at 6:56 am

    - Ingia katika menyu ya MPesa *150*00# - Chagua Lipa kwa Mpesa - Weka namba ya kampuni 238844 - Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345 - Chagua kiasi unachotaka kuweka - Weka PIN yako kuthibitisha - Utapokea ujumbe mfupi kutoka M-pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    – Ingia katika menyu ya MPesa *150*00#

    – Chagua Lipa kwa Mpesa

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako kuthibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka M-pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Asked: December 31, 2019In: Betting, MkekaBet

    Mkekabet ina ofa zipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 31, 2019 at 1:47 pm
    This answer was edited.

    Champions League Winner Special Chagua timu yoyote inayoshiriki Champions League(UEFA) kama timu yako na kila ikishinda utapata 10% ya pesa yako kama Free bet. One Out Money Back Utarudishiwa hela yako hadi mara 10 kama utakosea mechi moja katika mkeka wako. Hii ni kama utabet mkeka kuanzia mechi 7Read more

    Champions League Winner Special

    Chagua timu yoyote inayoshiriki Champions League(UEFA) kama timu yako na kila ikishinda utapata 10% ya pesa yako kama Free bet.

    One Out Money Back

    Utarudishiwa hela yako hadi mara 10 kama utakosea mechi moja katika mkeka wako. Hii ni kama utabet mkeka kuanzia mechi 7 au zaidi. Kadri unavyoweka mechi nyingi zaidi ndio uwezekano mkubwa zaidi wa kupata pesa nyingi zaidi.

    Money Back

    Utarudishiwa pesa yako ukiweka bet. Ofa hii inapatikana kwa watumiaji wote wenye zaidi ya miaka 18 ambao hawajawahi kuweka pesa au kucheza Mkekabet

    Cash Out

    Hautahitaji kusubiri hadi mechi iishe ndo uchukue hela yako. Unaweza kuchukua kabla mechi haijaisha.

    Multi-Bet Bonus

    Ongeza uwezekano wa kupata ela nyingi zaidi kwa asilimia 25 kama utachagua zaidi ya mechi 5 katika mkeka wako.

    Power Play

    Beti bure kila Jumatatu kupitia ofa hii.

    Na nyingine nyingi Tembelea hapa

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load More Answers

Sidebar

ChuiTec

Contact us for Website Design, Ads, SEO and Digital Marketing

Popular Questions

  • Ni kampuni gani za kubet TZ?

  • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

  • Unajua app za kubet Tanzania?

  • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

  • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

  • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

  • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

  • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

  • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

  • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

Explore

  • Home
  • Maswali
  • Miongozo

MojaSky