Unachezaje Mkekabet?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Bet1
Mchezo wa kubashiri wa Mkekabet unachezwa kwa njia mbalimbali.
Njia mojawapo na rahisi ni kwa kutumia app ya Mkekabet. Hapa unadownload na ku install app ya mkeka bet halafu unaanza kubashiri. Bonyeza Hapa Ku Download app ya mkekabet
Kama hauna uhakika kuhusu uwezo wako wa kubashiri soma mwongozo wa kubashiri kupitia mkekabet katika post hii Mwongozo wa kubashiri kupitia Mkekabet
Njia nyingine ni kwa kubet mtandaoni tu kwa kutumia browser. Kwa njia hii lazima unaingia katika internet unadungua mkekabet.com kisha unaanza kucheza.
Njia nyingine ni kwa kutumia USSD. Njia hii unabet kwa kutumia menyu unayopiga katika simu yako. Menyu yenyewe ni *149*87#.
Na njia ya mwishoni kwa kutumia SMS. Njia hii unacheza kwa kutuma ujumbe kwa namba maalumu kama unachat na namba hiyo. Namba ni 15739.