Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Musa Adam»Answers
  • About
    1. Asked: January 15, 2020In: Betting, BikoSports

      Nawezaje kutoa pesa Bikosports?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on July 31, 2022 at 9:03 pm

      Nenda sehemu iliyoandikwa My Account Bonyeza Withdraw Chagua njia ya malipo Andika kiasi Toa pesa

      Nenda sehemu iliyoandikwa My Account

      Bonyeza Withdraw

      Chagua njia ya malipo

      Andika kiasi

      Toa pesa

      See less
        • 4
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    2. Asked: January 16, 2020In: Betting, SportPesa

      Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 16, 2020 at 1:13 pm
      This answer was edited.

      0764-115588  0685-115588  0692-115588  0677-115588

      0764-115588 
      0685-115588 
      0692-115588 
      0677-115588

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    3. Asked: January 16, 2020In: Betting, SportPesa

      Namba ya malipo ya SportPesa ni ipi?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 16, 2020 at 1:11 pm

      150888

      150888

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    4. Asked: January 16, 2020In: Betting, MkekaBet

      Cash out ya Mkekabet inamaanisha nini?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 16, 2020 at 1:02 pm
      This answer was edited.

      Cash Out ni njia inayokuwezesha kuwa na muongozo kwa beti zako na inakupa nafasi ya kutoa sehemu ya dau lako baada ya kubeti kabla mchezo haujakamilika. Huitaji kusubiri hadi mwisho wa mchezo kumalizika na kupoteza dau lako ikiwa unahisi unaweza kupoteza hio beti unaweza kupata sehemu ya dau lako kwRead more

      Cash Out ni njia inayokuwezesha kuwa na muongozo kwa beti zako na inakupa nafasi ya kutoa sehemu ya dau lako baada ya kubeti kabla mchezo haujakamilika.

      Huitaji kusubiri hadi mwisho wa mchezo kumalizika na kupoteza dau lako ikiwa unahisi unaweza kupoteza hio beti unaweza kupata sehemu ya dau lako kwa kufanya cash out kabla mchezo hujamalizika kuepuka hasara ya kupoteza dau lako lote.

       

      NAWEZA KUFANYA CASH OUT KWA NJIA ZIPI?

       

      Cash out mchezo unaoendelea

      Unaweza kufanya cash out kwa bet ambayo michezo inaendelea. Hii inakuruhusu kufanya cash out ikiwa una michezo imefanya vizuri lakini mmoja kati ya mchezo umefanya vibaya na bado unaendelea unaweza kufanya cash out . mfano una michezo 10 kwenye tiketi na michezo 9 imefanya vizuri isipokuwa mchezo mmoja ambao unaoneka utapoteza na mchezo unaendelea unaweza kufanya cash out.

       

      Kabla ya mchezo cash out

      Unaweza kufanya cash out hata kabla michezo haijaanza ikiwa umebadili mawazo kuhusu michezo au mchezo husika.

       

      NAWEZAJE KUFANYA CASH OUT?

       

      Cash out mtandaoni

      Ukiwa kwenye akaunti yako bofya profile sehemu ambayo ina jina /namba yako ya simu na utapata orodha, nenda sehemu ya cash out na utaona beti zote zilizopo kwenye orodha na unaweza kufanya cash out mara moja.

      Kumbuka beti ambayo imefanywa kwa dau la bonasi au beti ya bure huwezi kufanya cash out.

       

      Natashinda kiasi gani?

      Kiasi cha Cash out yako kinategemeana na uwezekano wa matokeo ya beti yako kadri unapokuwa na uwezekano wa kushinda ndio kiasi cha cash out kinakuwa kikubwa.

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    5. Asked: January 15, 2020In: Betting, MkekaBet

      Nawezaje kujua salio langu la Mkekabet?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 15, 2020 at 7:09 am

      Kuangalia salio Tuma neno SALIO kwenda 15739 utapata ujumbe wa salio lako la akaunti ya mkekabet

      Kuangalia salio Tuma neno SALIO kwenda 15739 utapata ujumbe wa salio lako la akaunti ya mkekabet

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    6. Asked: January 14, 2020In: Betting, SportPesa

      Nawezaje kubet mechi nyingi kwa pamoja kwenye SportPesa?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 14, 2020 at 7:32 am
      This answer was edited.

      Hakikisha kwanza umejisajili na ume log in katika akaunti yako ya SportPesa.   Tovuti ya SportPesa ni rahisi kutumia, unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaopendelea yaani, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi unazotaka kuwekea bet nyingi.  Read more

      Hakikisha kwanza umejisajili na ume log in katika akaunti yako ya SportPesa.

       

      Tovuti ya SportPesa ni rahisi kutumia, unachotakiwa kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaopendelea yaani, Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi unazotaka kuwekea bet nyingi.

       

      Ili kuweka bet nyingi, bofya kwenye timu ambayo unatabiri itashinda ama timu ya Nyumbani (timu iliyowekwa kwanza) au Timu ya Ugenini (timu iliyotajwa ya pili)

      Kama utataka kutabiri matokeo ya mchezo kuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili kuchaguwa X (SULUHU)

       

      Kama unatka kutabiri kwenye masoko zaidi, bofya kwenye chaguo la masoko zaidi lilioonyeshwa kama (+12, +2, +8 n.k) zaidi ya michezo unayotaka kuwekea bet ili upate chaguzi zaidi za kubet.

       

      Mara baada ya kuchagua tabiri zako, Mkeka utaoneka ukionesha utabiri uliochagua, Odds za utabiri wako, na kiasi cha fedha chini ya mkeka, ambacho kinaweza kubadilishwa kulingana na kiasi ambacho ungependa kubet.

       

      Kumbuka kuwa unaweza kuhariri bet zako zilizopo kwenye mkeka kuhakikisha kuwa umefanya uchaguzi unaotaka.

      Kama utataka kutoa bet yote na kuanza upya, bofya kwenye ONDOA ZOTE

      Bofya kwenye ‘WEKA BET’ ili kuweka bet yako.

      Ujumbe utatokea utakaokuomba ku “THIBITISHA BET YAKO”. Sasa unaweza kubofya kwenye “FUTA” na kurudi kwenye mkeka wako, au kubofya “SAWA”.

       

      Baada ya kubofya “SAWA” ujumbe wa uthibitisho utatokea kwenye skrini yako ukikuonyesha:

      • Michezo uliyochagua
      • Utabiri wako
      • Aina ya bet ulizoweka – Bet Nyingi
      • Kiasi unachotaka kubet
      • ID ya Bet yako
      • Uwezekano wako wa kushinda
      • Salio la akaunti yako ya SportPesa

      Kumbuka: Kutoka kwenye ujumbe huu wa uthibitisho, unaweza kwenda moja kwa moja kweye Historia ya Bet yako kwa kubofya kwenye “Tazama Historia”

      Pia utapata ujumbe wa uthibitisho kwenye simu yako kutoka 15888 kuthibitisha hilo.

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    7. Asked: January 14, 2020In: Betting, MkekaBet

      Nawezaje kutoa pesa katika akaunti yangu ya Mkekabet?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 14, 2020 at 7:26 am

      Kutoa pesa kutoka akaunti ya mkekabet kwenda mpesa/tigopesa/airtel money andika neno TOA acha nafasi kisha kiasi tuma kwenda 15739 MFANO: Toa 2000 Kwenda kwa 15739.

      Kutoa pesa kutoka akaunti ya mkekabet kwenda mpesa/tigopesa/airtel money andika neno TOA acha nafasi kisha kiasi tuma kwenda 15739

      MFANO: Toa 2000 Kwenda kwa 15739.

      See less
        • 1
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    8. Asked: January 12, 2020In: Betting, SportPesa

      Nawezaje kuweka bet moja SportPesa?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 12, 2020 at 7:21 am
      This answer was edited.

      Kwanza kabisa inabidi ujisajili au uingie katika akaunti yako kama ulishajisajili. Soma jinsi ya kujisajili   Tovuti ya Sportpesa ni rahisi kuitumia, unachohitaji kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaokuvutia yaani Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi ambazoRead more

      Kwanza kabisa inabidi ujisajili au uingie katika akaunti yako kama ulishajisajili. Soma jinsi ya kujisajili

       

      Tovuti ya Sportpesa ni rahisi kuitumia, unachohitaji kufanya ni kubofya kwenye mchezo unaokuvutia yaani Mpira wa Miguu, Mpira wa Kikapu, Tennis, Kriketi au Raga ili kupata mechi ambazo unataka kuwekea bet.

       

      Kuweka bet moja, bofya kwenye timu unayotabiri kushinda. Bofya ama kwenye timu ya Nyumbani (timu iliyowekwa kwanza) au timu ya Ugenini (timu iliyowekwa ya pili).

       

      Kama ungependa kutabiri matokeo ya mchezo kuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili kuchagua X (SULUHU).

       

      Kama ungependa kutabiri masoko ya ziada, bofya kwenye chaguo la masoko zaidi ambalo huoneshwa kama (+12, +2, +8 nk) mbali na mchezo unaotaka kuwekea bet, ili kupata chaguzi za kubet zilizopo.

       

      Mara baada ya kuchagua utabiri wako, Mkeka utajitokeza kukuonesha utabiri uliochagua, Odds za utabiri wako, na kiasi cha kubet chini ya mkeka, ambayo inaweza kurekebishwa kulingana na kiasi unachopenda kufanyia bet.

       

      Kumbuka kwamba unaweza kuhariri bet yako iliyopo kwenye kikapu ili kujithibitishia kuwa umefanya uchaguzi unaotaka.

       

      Kama unataka kuondoa bet yote na kuanza upya, bonyeza “ONDOA ZOTE”

       

      Bonyeza kwenye “WEKA BET” ili kuweka bet.

       

      Ujumbe wa kukuomba ku “THIBITISHA BET YAKO” utaonekana. Unaweza ku “FUTA” na kurudi nyuma kwenye mkeka wako, au kubofya “SAWA”.

       

      Baada ya kubofya “SAWA” ujumbe wa uthibitisho utatokea kwenye skrini yako ukikuonyesha:

      • Mchezo uliochagua
      • Utabiri wako
      • Aina ya bet ulizoweka – Multibet
      • Kiasi cha bet ulichoweka
      • Bet namba yako
      • Kiasi unachoweza kushinda
      • Salio lako la akaunti ya Sportpesa

       

      Kumbuka: Kutoka kwenye ujumbe huu wa uthibitisho, unaweza kwenda moja kwa moja kwenye Historia ya Kubet kwa kubofya kwenye “Tazama Historia”. Pia utapokea ujumbe wa uthibitisho kwenye simu yako ya kiganjani kutoka 15888 kuthibitisha bet ile ile.

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    9. Asked: January 12, 2020In: Betting, MkekaBet

      Kiasi cha chini cha kuchezea Mkekabet ni kipi?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 12, 2020 at 6:45 am

      Kiasi cha chini kucheza ni Tsh. 200 (shilingi mia mbili).

      Kiasi cha chini kucheza ni Tsh. 200 (shilingi mia mbili).

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    10. Asked: January 11, 2020In: Betting, MkekaBet

      Kiasi cha juu zaidi cha kushinda Mkekabet ni shilingi ngapi?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on January 11, 2020 at 7:29 am

      Kwa tiketi moja kiasi cha juu kushinda ni Tsh 20,000,000 (shilingi milioni ishirini).

      Kwa tiketi moja kiasi cha juu kushinda ni Tsh 20,000,000 (shilingi milioni ishirini).

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    1 2 3 … 7

    Sidebar

    Promo

  • Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky