Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
What's your question?
  • Recent Questions
  • Answers
  1. Asked: January 15, 2020In: Betting, PrincessBet

    Namba ya malipo ya Princess bet tz ni ipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on April 10, 2021 at 11:09 am

    Namba ya kampuni ya kulipia Princessbet ni 262222

    Namba ya kampuni ya kulipia Princessbet ni 262222

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Asked: December 19, 2019In: Betting, BikoSports

    Code ya kubetia Biko Sport ni ipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on April 9, 2021 at 8:09 am

    Code ya USSD ya BikoSports ni *149*89# Unaweza kutumia Vodacom, Tigo au Airtel

    Code ya USSD ya BikoSports ni *149*89#

    Unaweza kutumia Vodacom, Tigo au Airtel

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  3. Asked: June 17, 2019In: Betting

    Kucheza kamari ni dhambi?

    Emmanuel Magessa
    Emmanuel Magessa
    Added an answer on April 8, 2021 at 8:40 pm

    Katika Ulimwengu wa Sasa,Kumekuwepo na Wimbi la Michezo Mingi inayojulikana kama MICHEZO YA KAMARI(LOTTERING,BETTING,GAMBLING)iliyofanikiwa Kuchukua Ulimwengu mzima au Inaweza ikawa Taifa zima zima Kuvutiwa Kushiriki Katika Michezo hiyo wakiwa na Shauku ya Kujishindia Mamilioni ya Pesa na Matajiri kRead more

    Katika Ulimwengu wa Sasa,Kumekuwepo na Wimbi la Michezo Mingi inayojulikana kama MICHEZO YA KAMARI(LOTTERING,BETTING,GAMBLING)iliyofanikiwa Kuchukua Ulimwengu mzima au Inaweza ikawa Taifa zima zima Kuvutiwa Kushiriki Katika Michezo hiyo wakiwa na Shauku ya Kujishindia Mamilioni ya Pesa na Matajiri kwa Ghafla au kwa siku Moja

    Jambo hili limepelekea Kupendwa Sana Na watu wa aina zote hata na watu wanaojiita ni watu wa Mungu au Wakristo wengine ni Maaskofu,Wachungaji au Waumini mbalimbali wa dini zinazojiita za kikristo au zinazomuamini Mungu.Na hasa mijadala hii ipo karibu ulimwenguni pote ikijadiliwa bila kufikia maamuzi

    Katika Nchi Yetu ya Tanzania,Kumekuwepo na Hii Michezo ya Bahati nasibu Kama TATU MZUKA Au BIKO AU MKEKA ambapo mtu atatoa pesa yake kama ni 500 au 1000 n.k kushiriki katika droo mbalimbali za kutafuta mshindi wa kujishindia Kitita cha Pesa Mil 60 mpaka mil 100.Na wakati mwingine hata kushinda pesa hizi ndogo ndogo.Na Matangazo ya biashara ya hii michezo yanatawala kwenye luninga channel zote na redio.Matangazo haya yanashindana na mashirika ya simu!Hii ni ishara kuna PESA nyingi sana zinazalishwa kwenye hii michezo Sasa Je,Tunajiuliza Ushiriki wa Mkristo katika Michezo hii ni halali kibiblia? Kabla Sijaanza Kueleza Ni halali au Si halali.Labda Nianze na Hoja zao kuu wanayokuja nayo hawa wakristo wanaoshiriki Michezo hii (Ni Hoja ya Kibiblia)

    HOJA YA KWANZA HAKUNA ANDIKO LINALOKATAZA KUCHEZA BAHATI NASIBU(LOTTERY) AU KAMARI(GAMBLING) AU KUBETI KWENYE BIBLIA
    Ni kweli hakuna Andiko la moja kwa Moja kama tunavyotaka kuona Kamari au Betting au Bahati nasibu lakini Ipo mifano ya wazi kabisa kwenye biblia inayonyesha Michezo ya Kamari Kufanyika.Nitaeleza mbeleni wakati natoa sababu za sisi kutoshiriki michezo kama hii

    Pia Ni Muhimu Kufahamu,Si kweli Kwamba Kwa kuwa Neno Lottery au Gambling halipo direct kama neno lilivyo kwenye biblia basi tuseme hicho kitu hakipo au hatuwezi Kukiamini kama Maana yake inaelekea na Makatazo yaliyopo kwenye Biblia

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Asked: December 3, 2019In: Betting

    Kampuni ya kubet inayotoa ofa siku ya kwanza ya kubet ni ipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 5, 2021 at 6:12 pm
    This answer was edited.

    Kampuni inayotoa ofa mara ya kwanza ukibet ni Premierbet. Ofa yenyewe ni kwamba ukifeli katika mkeka wa kwanza unarudishiwa hela yako kama free bet, kwaiyo utaweza kubet tena kwa kutumia pesa ileile.

    Kampuni inayotoa ofa mara ya kwanza ukibet ni Premierbet. Ofa yenyewe ni kwamba ukifeli katika mkeka wa kwanza unarudishiwa hela yako kama free bet, kwaiyo utaweza kubet tena kwa kutumia pesa ileile.

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  5. Asked: December 20, 2019In: Betting, BikoSports

    Namba ya kucheza BikoSport bila bando ni ipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 5, 2021 at 6:07 pm

    Namba ya kucheza bikosports bila mb au bando ni *149*89#. Lakini pia ukiingia bikosport.co.tz kwa sasa unaweza kucheza hata kama haujajiunga internet

    Namba ya kucheza bikosports bila mb au bando ni *149*89#. Lakini pia ukiingia bikosport.co.tz kwa sasa unaweza kucheza hata kama haujajiunga internet

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Asked: November 7, 2019In: Betting

    Mbinu mpya za kutabiri matokeo ya mpira wa miguu ni zipi?

    Zakayo Fue
    Zakayo Fue
    Added an answer on January 4, 2021 at 9:30 pm
    This answer was edited.

    Amna mbinu zozote mpya nnazozijua ila nachofahamu ni kwamba ukifatilia timu kwa umakini ukaondoa ushabiki na kubet mechi chache unakuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda kila siku.

    Amna mbinu zozote mpya nnazozijua ila nachofahamu ni kwamba ukifatilia timu kwa umakini ukaondoa ushabiki na kubet mechi chache unakuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda kila siku.

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  7. Asked: October 30, 2019In: Betting

    Nitajuaje namna ya kubet na kushinda?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 4, 2021 at 9:24 pm
    This answer was edited.

    Zingatia haya ili kubet na kushinda Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi UsiRead more

    Zingatia haya ili kubet na kushinda

    • Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini
    • Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda
    • Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet
    • Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi
    • Usichague timu kwa kuangalia matokeo ya muda mfupi
    • Usichague timu kwa sababu unaishabikia/unaikubali bora usiweke hiyo mechi kwenye mkeka
    • Kuwa na kiasi katika kucheza. Cheza kwa kujifurahisha, usigeuze kuwa ajira
    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Asked: October 30, 2019In: Betting, InstaMoja

    Nitajuaje jinsi ya kucheza insta moja

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 4, 2021 at 9:17 pm

    Jinsi ya kucheza Insta Moja TIGO PIGA *150*01# CHAGUA LIPA BILI INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255 INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652 WEKA KIASI VODACOM PIGA *150*00# CHAGUA LIPA KWA MPESA INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255 INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652 WEKA KIASI WEKA NAMBA YA SIRI BONYEZA 1 KUTHIBITISHA AIRTEL PRead more

    Jinsi ya kucheza Insta Moja

    TIGO

    • PIGA *150*01#
    • CHAGUA LIPA BILI
    • INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255
    • INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652
    • WEKA KIASI

    VODACOM

    • PIGA *150*00#
    • CHAGUA LIPA KWA MPESA
    • INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255
    • INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652
    • WEKA KIASI
    • WEKA NAMBA YA SIRI
    • BONYEZA 1 KUTHIBITISHA

    AIRTEL

    • PIGA *150*60#
    • CHAGUA LIPA BILI
    • INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255
    • WEKA KIASI
    • INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652
    • WEKA NAMBA YA SIRI

    HALOTEL

    • PIGA *150*88#
    • CHAGUA LIPA KWA HALOPESA
    • INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255
    • INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652
    • WEKA KIASI
    • WEKA NAMBA YA SIRI KUTHIBITISHA
    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  9. Asked: October 24, 2019In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kurudisha file la SportPesa?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 3, 2021 at 9:35 pm

    Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw

    Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Asked: October 24, 2019In: Betting, BikoSports

    Namba za Bikosport ni zipi?

    Bet1
    Bet1
    Added an answer on January 3, 2021 at 9:04 pm

    Namba ya simu - 0746811190 Namba ya kumbukumbu - 101010

    Namba ya simu – 0746811190

    Namba ya kumbukumbu – 101010

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load More Answers

Sidebar

Promo

  • Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky