Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Namba ya malipo ya Princess bet tz ni ipi?
Namba ya kampuni ya kulipia Princessbet ni 262222
Namba ya kampuni ya kulipia Princessbet ni 262222
See lessCode ya kubetia Biko Sport ni ipi?
Code ya USSD ya BikoSports ni *149*89# Unaweza kutumia Vodacom, Tigo au Airtel
Code ya USSD ya BikoSports ni *149*89#
Unaweza kutumia Vodacom, Tigo au Airtel
See lessKucheza kamari ni dhambi?
Katika Ulimwengu wa Sasa,Kumekuwepo na Wimbi la Michezo Mingi inayojulikana kama MICHEZO YA KAMARI(LOTTERING,BETTING,GAMBLING)iliyofanikiwa Kuchukua Ulimwengu mzima au Inaweza ikawa Taifa zima zima Kuvutiwa Kushiriki Katika Michezo hiyo wakiwa na Shauku ya Kujishindia Mamilioni ya Pesa na Matajiri kRead more
Katika Ulimwengu wa Sasa,Kumekuwepo na Wimbi la Michezo Mingi inayojulikana kama MICHEZO YA KAMARI(LOTTERING,BETTING,GAMBLING)iliyofanikiwa Kuchukua Ulimwengu mzima au Inaweza ikawa Taifa zima zima Kuvutiwa Kushiriki Katika Michezo hiyo wakiwa na Shauku ya Kujishindia Mamilioni ya Pesa na Matajiri kwa Ghafla au kwa siku Moja
Jambo hili limepelekea Kupendwa Sana Na watu wa aina zote hata na watu wanaojiita ni watu wa Mungu au Wakristo wengine ni Maaskofu,Wachungaji au Waumini mbalimbali wa dini zinazojiita za kikristo au zinazomuamini Mungu.Na hasa mijadala hii ipo karibu ulimwenguni pote ikijadiliwa bila kufikia maamuzi
Katika Nchi Yetu ya Tanzania,Kumekuwepo na Hii Michezo ya Bahati nasibu Kama TATU MZUKA Au BIKO AU MKEKA ambapo mtu atatoa pesa yake kama ni 500 au 1000 n.k kushiriki katika droo mbalimbali za kutafuta mshindi wa kujishindia Kitita cha Pesa Mil 60 mpaka mil 100.Na wakati mwingine hata kushinda pesa hizi ndogo ndogo.Na Matangazo ya biashara ya hii michezo yanatawala kwenye luninga channel zote na redio.Matangazo haya yanashindana na mashirika ya simu!Hii ni ishara kuna PESA nyingi sana zinazalishwa kwenye hii michezo Sasa Je,Tunajiuliza Ushiriki wa Mkristo katika Michezo hii ni halali kibiblia? Kabla Sijaanza Kueleza Ni halali au Si halali.Labda Nianze na Hoja zao kuu wanayokuja nayo hawa wakristo wanaoshiriki Michezo hii (Ni Hoja ya Kibiblia)
HOJA YA KWANZA HAKUNA ANDIKO LINALOKATAZA KUCHEZA BAHATI NASIBU(LOTTERY) AU KAMARI(GAMBLING) AU KUBETI KWENYE BIBLIA
Ni kweli hakuna Andiko la moja kwa Moja kama tunavyotaka kuona Kamari au Betting au Bahati nasibu lakini Ipo mifano ya wazi kabisa kwenye biblia inayonyesha Michezo ya Kamari Kufanyika.Nitaeleza mbeleni wakati natoa sababu za sisi kutoshiriki michezo kama hii
Pia Ni Muhimu Kufahamu,Si kweli Kwamba Kwa kuwa Neno Lottery au Gambling halipo direct kama neno lilivyo kwenye biblia basi tuseme hicho kitu hakipo au hatuwezi Kukiamini kama Maana yake inaelekea na Makatazo yaliyopo kwenye Biblia
See lessKampuni ya kubet inayotoa ofa siku ya kwanza ya kubet ni ipi?
Kampuni inayotoa ofa mara ya kwanza ukibet ni Premierbet. Ofa yenyewe ni kwamba ukifeli katika mkeka wa kwanza unarudishiwa hela yako kama free bet, kwaiyo utaweza kubet tena kwa kutumia pesa ileile.
Kampuni inayotoa ofa mara ya kwanza ukibet ni Premierbet. Ofa yenyewe ni kwamba ukifeli katika mkeka wa kwanza unarudishiwa hela yako kama free bet, kwaiyo utaweza kubet tena kwa kutumia pesa ileile.
See lessNamba ya kucheza BikoSport bila bando ni ipi?
Namba ya kucheza bikosports bila mb au bando ni *149*89#. Lakini pia ukiingia bikosport.co.tz kwa sasa unaweza kucheza hata kama haujajiunga internet
Namba ya kucheza bikosports bila mb au bando ni *149*89#. Lakini pia ukiingia bikosport.co.tz kwa sasa unaweza kucheza hata kama haujajiunga internet
See lessMbinu mpya za kutabiri matokeo ya mpira wa miguu ni zipi?
Amna mbinu zozote mpya nnazozijua ila nachofahamu ni kwamba ukifatilia timu kwa umakini ukaondoa ushabiki na kubet mechi chache unakuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda kila siku.
Amna mbinu zozote mpya nnazozijua ila nachofahamu ni kwamba ukifatilia timu kwa umakini ukaondoa ushabiki na kubet mechi chache unakuwa na uwezekano mkubwa wa kushinda kila siku.
See lessNitajuaje namna ya kubet na kushinda?
Zingatia haya ili kubet na kushinda Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi UsiRead more
Zingatia haya ili kubet na kushinda
- Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini
- Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda
- Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet
- Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi
- Usichague timu kwa kuangalia matokeo ya muda mfupi
- Usichague timu kwa sababu unaishabikia/unaikubali bora usiweke hiyo mechi kwenye mkeka
- Kuwa na kiasi katika kucheza. Cheza kwa kujifurahisha, usigeuze kuwa ajira
See lessNitajuaje jinsi ya kucheza insta moja
Jinsi ya kucheza Insta Moja TIGO PIGA *150*01# CHAGUA LIPA BILI INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255 INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652 WEKA KIASI VODACOM PIGA *150*00# CHAGUA LIPA KWA MPESA INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255 INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652 WEKA KIASI WEKA NAMBA YA SIRI BONYEZA 1 KUTHIBITISHA AIRTEL PRead more
Jinsi ya kucheza Insta Moja
TIGO
VODACOM
AIRTEL
HALOTEL
- PIGA *150*88#
- CHAGUA LIPA KWA HALOPESA
- INGIZA NAMBA YA KAMPUNI 123255
- INGIZA KUMBUKUMBU NAMBA 6652
- WEKA KIASI
- WEKA NAMBA YA SIRI KUTHIBITISHA
See lessNawezaje kurudisha file la SportPesa?
Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw
Ukisema file la sportpesa unamaanisha nini? Kama ni app ya sportpesa kwenye simu yako unaweza kuipata kupitia link hii https://sportpesa.co.tz/app?_locale=sw
See lessNamba za Bikosport ni zipi?
Namba ya simu - 0746811190 Namba ya kumbukumbu - 101010
Namba ya simu – 0746811190
Namba ya kumbukumbu – 101010
See less