Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Adv
Je! Una swali lolote?
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: May 1, 2019Elimu

    Nawezaje kucheat nikiwa nafanya mitihani shuleni?

    Anonymous
    Jibu - March 22, 2022 saa 12:21 pm

    Kuna njia nyingi tu za ku cheat ila nadhani unajua fika kuwa hairuhusiwi, ukikamatwa inakula kwako. kuna njia kama kuandika kwenye vidole vya mikono kuandika kwenye dawati ambalo utalitumia kuandika kwenye nguo Mamboi mengine ya kukumbuka usitake kuandika kila kitu, andika vitu muhimu vichache usiweSoma Zaidi

    Kuna njia nyingi tu za ku cheat ila nadhani unajua fika kuwa hairuhusiwi, ukikamatwa inakula kwako. kuna njia kama

    • kuandika kwenye vidole vya mikono
    • kuandika kwenye dawati ambalo utalitumia
    • kuandika kwenye nguo

    Mamboi mengine ya kukumbuka

    • usitake kuandika kila kitu, andika vitu muhimu vichache
    • usiwe na wasiwasi wakati wa mtihani uaweza kujulikana kirahisi

    Mengine jiongeze mwenyewe kuwa mbunifu bana

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: January 20, 2020Ku-bet

    Kampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?

    Bet1

    Bet1

    • Tanzania
    • 0 Questions
    • 37 Answers
    • 0 Best Answers
    • 97 Points
    View Profile
    Bet1 Intermediate
    Jibu - October 26, 2021 saa 4:15 pm

    Kampuni bora ya kubashiri mpira ni Mkekabet Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kamaSoma Zaidi

    Kampuni bora ya kubashiri mpira ni Mkekabet

    Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha.

    Baadhi ya ofa zinazopatikana Mkekabet ni kama

    • Champions League Winner Special. Chagua timu moja inayoshiriki Champions League na utapata %10 ya free bet kama timuliyoichagua itashinda.
    • One Out Money Back. Utarudishiwa hela yako kama utafeli mechi moja katika mkeka wako.
    • Money back. Unarudishiwa hela yako kama bet yako ya kwanza itafeli.
    • Cash Out. Unaweza kutoa hela yako hata kama mechi haijaisha.

    Jiunge sasa Upate ofa

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: January 15, 2020Ku-bet

    Kampuni gani ya kubet ambayo haina kodi?

    Anonymous
    Jibu - October 26, 2021 saa 4:06 pm

    Hakuna kampuni ya kubet ambayo haina kodi kwa sababu kodi inalipwa kutokana na sheria za nchi hivyo kutokuweka kodi itakua ni kosa kwa kampuni husika kisheria

    Hakuna kampuni ya kubet ambayo haina kodi kwa sababu kodi inalipwa kutokana na sheria za nchi hivyo kutokuweka kodi itakua ni kosa kwa kampuni husika kisheria

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: December 3, 2019Ku-bet

    Kubet na kushinda ni kujua au ni bahati tu?

    Bet1

    Bet1

    • Tanzania
    • 0 Questions
    • 37 Answers
    • 0 Best Answers
    • 97 Points
    View Profile
    Bet1 Intermediate
    Jibu - October 26, 2021 saa 3:50 pm

    Kubet ni kubashiri, maana yake ni kama kutabiri kwa iyo lolote linaweza kutokea matokeo yakawa sawa na utabiri au yasiwe sawa. Kwa hiyo kubet na kushinda ni bahati tu lakini ukiweka umakini na kuzingatia mambo muhimu katika kubashiri unaongeza nafasi yako ya kuwa na bahati Mambo ya kuzingatia ili kuSoma Zaidi

    Kubet ni kubashiri, maana yake ni kama kutabiri kwa iyo lolote linaweza kutokea matokeo yakawa sawa na utabiri au yasiwe sawa.

    Kwa hiyo kubet na kushinda ni bahati tu lakini ukiweka umakini na kuzingatia mambo muhimu katika kubashiri unaongeza nafasi yako ya kuwa na bahati

    Mambo ya kuzingatia ili kuongeza bahati/nafasi ya ushindi ni kama

    • Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini
    • Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda
    • Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet
    • Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi
    • Usichague timu kwa kuangalia matokeo ya muda mfupi
    • Usichague timu kwa sababu unaishabikia/unaikubali bora usiweke hiyo mechi kwenye mkeka
    • Kuwa na kiasi katika kucheza. Cheza kwa kujifurahisha, usigeuze kuwa ajira

    Kama unajiona uko tayari nakushauri upitie hii >>Mwongozo. Mkekabet imetumika kama mfano

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: September 25, 2019Maana za Maneno

    Kuna tofauti gani kati ya mwezi na mbalamwezi?

    Idrisa maluka
    Jibu - September 16, 2021 saa 7:40 pm

    Mwezi,ni lile mfano wa tufe,linaloelea angani,ambalo hutegemea jua ili kutoa mwanga.   Mbalamwezi ni ule mwanga utokanao na mwezi.

    Mwezi,ni lile mfano wa tufe,linaloelea angani,ambalo hutegemea jua ili kutoa mwanga.

     

    Mbalamwezi ni ule mwanga utokanao na mwezi.

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: October 27, 2019

    Kirefu cha neno MKUKUTA ni nini?

    David gireida
    Jibu - August 17, 2021 saa 11:13 pm
    Home

    Mkukuta

    Mkukuta

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: February 16, 2020

    Nawezaje kupata tik Youtube?

    Yellow101

    Yellow101

    • 0 Questions
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 20 Points
    View Profile
    Yellow101 New
    Jibu - July 19, 2021 saa 6:51 am

    Ili kupakua video kutoka kwa YouTube au wavuti zingine, vifaa tofauti vinasaidia njia tofauti. Kwangu, napendelea kupata video ya YouTube kwenye PC, ambayo inaweza kuhifadhiwa kwenye kompyuta na nafasi kubwa ya diski. Zana nyingi mkondoni tunazopata kwenye mtandao zinaweza kutusaidia kupakua video.Soma Zaidi

    Ili kupakua video kutoka kwa YouTube au wavuti zingine, vifaa tofauti vinasaidia njia tofauti. Kwangu, napendelea kupata video ya YouTube kwenye PC, ambayo inaweza kuhifadhiwa kwenye kompyuta na nafasi kubwa ya diski. Zana nyingi mkondoni tunazopata kwenye mtandao zinaweza kutusaidia kupakua video. Lakini huduma kama hizo mkondoni zitaathiriwa na huduma za mtandao. Kwangu, napendelea kutumia programu ambayo inaweza kunisaidia kupakua video kutoka kwa wavuti ya mtandao na pia kuhariri video iliyopakuliwa. Hapa ni pamoja na njia za jinsi ya kupakua video ya YouTube kwenye vifaa tofauti na jinsi ya kuhariri video.

    https://www.reneelab.com/download-youtube-1080p-video.html

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: January 15, 2020Biko

    Nawezaje kutoa pesa Bikosports?

    Anonymous
    Jibu - May 27, 2021 saa 1:09 pm

    Nimecheza biko matokeo yake naambiwa hela imeingia kwenye akaunti ya bikosports sasa silewi ndo nimeliwa au vipi

    Nimecheza biko matokeo yake naambiwa hela imeingia kwenye akaunti ya bikosports sasa silewi ndo nimeliwa au vipi

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: November 19, 2019TRA

    Nawezaje kuwasiliana na TRA?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - April 11, 2021 saa 4:29 pm

    Wasiliana na TRA kwa njia hizi Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania Simu:+255 22 2119591-4 Kituo cha huduma kwa Wateja  Tafadhali piga simu  kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hiziSoma Zaidi

    Wasiliana na TRA kwa njia hizi

    Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania

    Simu:+255 22 2119591-4

    Kituo cha huduma kwa Wateja 

    Tafadhali piga simu  kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hizi popote pale walipo.

    Simu za Tanzania zitakuwa bure:

    0800 750 075

    0800 780 078

    Muda wa kazi Kituoni utakuwa kuanzia Saa 02:00 Asubuhi mpaka 01:00 Usiku kwa saa za Afrika Mashariki Jumatatu hadi Ijumaa isipokuwa siku za sikukuu.

    Ofisi za TRA za Mkoa

    Tafuta taarifa zote za mawasiliano kwa ofisi za mikoani hapa.

    • Kituo cha mawasiliano ya simu Mawasiliano ya TRA
      Dar es salaam, Tanzania
      Phone: 0800 750075 (Vodacom )
    • Arusha Meneja wa Mkoa
      Arusha, Tanzania
      Phone: +255 27 2502946
    • Mkoa wa Pwani Meneja wa Mkoa
      Kibaha
      Phone: +255 23 240 2905
    • Kinondoni Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2771846
    • Ilala Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2185545
    • Temeke Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2861122
    • Mwanza Meneja wa Mkoa
      Mwanza
      Phone: +255 28 2500906
    • Tanga Meneja wa Mkoa
      Phone: +255 27 2642200
    • Kilimanjaro Meneja wa Mkoa
      Moshi
      Phone: +255 27 2753268
    • Tabora Meneja wa Mkoa
      Tabora
      Phone: +255 26 2604609
    • Rukwa Meneja wa Mkoa
      Sumbawanga
      Phone: +255 25 2801089
    • Ruvuma Meneja wa Mkoa
      Songea
      Phone: +255 25 2602140
    • Shinyanga Meneja wa Mkoa
      Shinyanga
      Phone: +255 28 2762385
    • Singida Meneja wa Mkoa
      Singida
      Phone: +255 26 2502320
    • Mtwara Meneja wa Mkoa
      Mtwara
      Phone: +255 23 2333662
    • Mbeya Meneja wa Mkoa
      Mbeya
      Phone: +255 25 2502165
    • Mara Meneja wa Mkoa
      Musoma
      Phone: +255 28 2622551
    • Manyara Meneja wa Mkoa
      Babati
      Phone: +255 27 2531006
    • Lindi Meneja wa Mkoa
      Lindi
      Phone: +255 23 2202662
    • Kigoma Meneja wa Mkoa
      Kigoma
      Phone: +255 28 2802054
    • Kagera Meneja wa Mkoa
      Bukoba
      Phone: +255 28 2220390
    • Iringa Meneja wa Mkoa
      Iringa
      Phone: +255 26 270144
    • Morogoro Meneja wa Mkoa
      Morogoro
      Phone: +255 23 261 4192
    • Dodoma Meneja wa Mkoa
      Dodoma
      Phone: +255 26 232 2912
    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: February 22, 2019Urembo/Utanashati

    Mishono gani simple ya vitenge uliyowahi kuiona?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 99 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Jibu - April 11, 2021 saa 4:25 pm

    Credit : jollyannie7.blogspot.com





















    Credit : jollyannie7.blogspot.com

    See less
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load Majibu Zaidi
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.