Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Nawezaje kucheat nikiwa nafanya mitihani shuleni?
Kuna njia nyingi tu za ku cheat ila nadhani unajua fika kuwa hairuhusiwi, ukikamatwa inakula kwako. kuna njia kama kuandika kwenye vidole vya mikono kuandika kwenye dawati ambalo utalitumia kuandika kwenye nguo Mamboi mengine ya kukumbuka usitake kuandika kila kitu, andika vitu muhimu vichache usiweSoma Zaidi
Kuna njia nyingi tu za ku cheat ila nadhani unajua fika kuwa hairuhusiwi, ukikamatwa inakula kwako. kuna njia kama
Mamboi mengine ya kukumbuka
Mengine jiongeze mwenyewe kuwa mbunifu bana
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaKampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?
Bet1
Kampuni bora ya kubashiri mpira ni Mkekabet Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kamaSoma Zaidi
Kampuni bora ya kubashiri mpira ni Mkekabet
Kikubwa zaidi ni urahisi wa kucheza. Unaweza kucheza kuanzia sh 200. Utapata ofa kibao kama free bet ukikosea mchezo mmoja. Pia kuna price boosts ambayo inaongeza uwezekano wa kushinda pesa nyingi zaidi na unaweza kutoa hela katika baadhi ya bet hata kama mechi haijaisha.
Baadhi ya ofa zinazopatikana Mkekabet ni kama
Jiunge sasa Upate ofa
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaKampuni gani ya kubet ambayo haina kodi?
Hakuna kampuni ya kubet ambayo haina kodi kwa sababu kodi inalipwa kutokana na sheria za nchi hivyo kutokuweka kodi itakua ni kosa kwa kampuni husika kisheria
Hakuna kampuni ya kubet ambayo haina kodi kwa sababu kodi inalipwa kutokana na sheria za nchi hivyo kutokuweka kodi itakua ni kosa kwa kampuni husika kisheria
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaKubet na kushinda ni kujua au ni bahati tu?
Bet1
Kubet ni kubashiri, maana yake ni kama kutabiri kwa iyo lolote linaweza kutokea matokeo yakawa sawa na utabiri au yasiwe sawa. Kwa hiyo kubet na kushinda ni bahati tu lakini ukiweka umakini na kuzingatia mambo muhimu katika kubashiri unaongeza nafasi yako ya kuwa na bahati Mambo ya kuzingatia ili kuSoma Zaidi
Kubet ni kubashiri, maana yake ni kama kutabiri kwa iyo lolote linaweza kutokea matokeo yakawa sawa na utabiri au yasiwe sawa.
Kwa hiyo kubet na kushinda ni bahati tu lakini ukiweka umakini na kuzingatia mambo muhimu katika kubashiri unaongeza nafasi yako ya kuwa na bahati
Mambo ya kuzingatia ili kuongeza bahati/nafasi ya ushindi ni kama
Kama unajiona uko tayari nakushauri upitie hii >>Mwongozo. Mkekabet imetumika kama mfano
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaKuna tofauti gani kati ya mwezi na mbalamwezi?
Mwezi,ni lile mfano wa tufe,linaloelea angani,ambalo hutegemea jua ili kutoa mwanga. Mbalamwezi ni ule mwanga utokanao na mwezi.
Mwezi,ni lile mfano wa tufe,linaloelea angani,ambalo hutegemea jua ili kutoa mwanga.
Mbalamwezi ni ule mwanga utokanao na mwezi.
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaKirefu cha neno MKUKUTA ni nini?
Mkukuta
Mkukuta
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaNawezaje kupata tik Youtube?
Yellow101
Ili kupakua video kutoka kwa YouTube au wavuti zingine, vifaa tofauti vinasaidia njia tofauti. Kwangu, napendelea kupata video ya YouTube kwenye PC, ambayo inaweza kuhifadhiwa kwenye kompyuta na nafasi kubwa ya diski. Zana nyingi mkondoni tunazopata kwenye mtandao zinaweza kutusaidia kupakua video.Soma Zaidi
Ili kupakua video kutoka kwa YouTube au wavuti zingine, vifaa tofauti vinasaidia njia tofauti. Kwangu, napendelea kupata video ya YouTube kwenye PC, ambayo inaweza kuhifadhiwa kwenye kompyuta na nafasi kubwa ya diski. Zana nyingi mkondoni tunazopata kwenye mtandao zinaweza kutusaidia kupakua video. Lakini huduma kama hizo mkondoni zitaathiriwa na huduma za mtandao. Kwangu, napendelea kutumia programu ambayo inaweza kunisaidia kupakua video kutoka kwa wavuti ya mtandao na pia kuhariri video iliyopakuliwa. Hapa ni pamoja na njia za jinsi ya kupakua video ya YouTube kwenye vifaa tofauti na jinsi ya kuhariri video.
https://www.reneelab.com/download-youtube-1080p-video.html
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaNawezaje kutoa pesa Bikosports?
Nimecheza biko matokeo yake naambiwa hela imeingia kwenye akaunti ya bikosports sasa silewi ndo nimeliwa au vipi
Nimecheza biko matokeo yake naambiwa hela imeingia kwenye akaunti ya bikosports sasa silewi ndo nimeliwa au vipi
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaNawezaje kuwasiliana na TRA?
Salim Jumbe
Wasiliana na TRA kwa njia hizi Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania Simu:+255 22 2119591-4 Kituo cha huduma kwa Wateja Tafadhali piga simu kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hiziSoma Zaidi
Wasiliana na TRA kwa njia hizi
Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania
Simu:+255 22 2119591-4
Kituo cha huduma kwa Wateja
Tafadhali piga simu kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hizi popote pale walipo.
Simu za Tanzania zitakuwa bure:
0800 750 075
0800 780 078
Muda wa kazi Kituoni utakuwa kuanzia Saa 02:00 Asubuhi mpaka 01:00 Usiku kwa saa za Afrika Mashariki Jumatatu hadi Ijumaa isipokuwa siku za sikukuu.
Ofisi za TRA za Mkoa
Tafuta taarifa zote za mawasiliano kwa ofisi za mikoani hapa.
Dar es salaam, Tanzania
Phone: 0800 750075 (Vodacom )
Arusha, Tanzania
Phone: +255 27 2502946
Kibaha
Phone: +255 23 240 2905
Dar es salaam
Phone: +255 22 2771846
Dar es salaam
Phone: +255 22 2185545
Dar es salaam
Phone: +255 22 2861122
Mwanza
Phone: +255 28 2500906
Phone: +255 27 2642200
Moshi
Phone: +255 27 2753268
Tabora
Phone: +255 26 2604609
Sumbawanga
Phone: +255 25 2801089
Songea
Phone: +255 25 2602140
Shinyanga
Phone: +255 28 2762385
Singida
Phone: +255 26 2502320
Mtwara
Phone: +255 23 2333662
Mbeya
Phone: +255 25 2502165
Musoma
Phone: +255 28 2622551
Babati
Phone: +255 27 2531006
Lindi
Phone: +255 23 2202662
Kigoma
Phone: +255 28 2802054
Bukoba
Phone: +255 28 2220390
Iringa
Phone: +255 26 270144
Morogoro
Phone: +255 23 261 4192
Dodoma
Phone: +255 26 232 2912
Promo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaMishono gani simple ya vitenge uliyowahi kuiona?
Flora Jumanne
Credit : jollyannie7.blogspot.com
Credit : jollyannie7.blogspot.com
See less