Poll Results
Kucheza kamari ni dhambi?
Kucheza kamari ni dhambi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Katika Ulimwengu wa Sasa,Kumekuwepo na Wimbi la Michezo Mingi inayojulikana kama MICHEZO YA KAMARI(LOTTERING,BETTING,GAMBLING)iliyofanikiwa Kuchukua Ulimwengu mzima au Inaweza ikawa Taifa zima zima Kuvutiwa Kushiriki Katika Michezo hiyo wakiwa na Shauku ya Kujishindia Mamilioni ya Pesa na Matajiri kwa Ghafla au kwa siku Moja
Jambo hili limepelekea Kupendwa Sana Na watu wa aina zote hata na watu wanaojiita ni watu wa Mungu au Wakristo wengine ni Maaskofu,Wachungaji au Waumini mbalimbali wa dini zinazojiita za kikristo au zinazomuamini Mungu.Na hasa mijadala hii ipo karibu ulimwenguni pote ikijadiliwa bila kufikia maamuzi
Katika Nchi Yetu ya Tanzania,Kumekuwepo na Hii Michezo ya Bahati nasibu Kama TATU MZUKA Au BIKO AU MKEKA ambapo mtu atatoa pesa yake kama ni 500 au 1000 n.k kushiriki katika droo mbalimbali za kutafuta mshindi wa kujishindia Kitita cha Pesa Mil 60 mpaka mil 100.Na wakati mwingine hata kushinda pesa hizi ndogo ndogo.Na Matangazo ya biashara ya hii michezo yanatawala kwenye luninga channel zote na redio.Matangazo haya yanashindana na mashirika ya simu!Hii ni ishara kuna PESA nyingi sana zinazalishwa kwenye hii michezo Sasa Je,Tunajiuliza Ushiriki wa Mkristo katika Michezo hii ni halali kibiblia? Kabla Sijaanza Kueleza Ni halali au Si halali.Labda Nianze na Hoja zao kuu wanayokuja nayo hawa wakristo wanaoshiriki Michezo hii (Ni Hoja ya Kibiblia)
HOJA YA KWANZA HAKUNA ANDIKO LINALOKATAZA KUCHEZA BAHATI NASIBU(LOTTERY) AU KAMARI(GAMBLING) AU KUBETI KWENYE BIBLIA
Ni kweli hakuna Andiko la moja kwa Moja kama tunavyotaka kuona Kamari au Betting au Bahati nasibu lakini Ipo mifano ya wazi kabisa kwenye biblia inayonyesha Michezo ya Kamari Kufanyika.Nitaeleza mbeleni wakati natoa sababu za sisi kutoshiriki michezo kama hii
Pia Ni Muhimu Kufahamu,Si kweli Kwamba Kwa kuwa Neno Lottery au Gambling halipo direct kama neno lilivyo kwenye biblia basi tuseme hicho kitu hakipo au hatuwezi Kukiamini kama Maana yake inaelekea na Makatazo yaliyopo kwenye Biblia