Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Nini maana ya first goal na last goal kwenye Mkekabet?
First Goal: Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa. Last Goal: Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga piaRead more
First Goal:
Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa.
Last Goal:
Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga pia yanahesabika.
Beti inakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki.
Muda kwa ajili ya First goal/Last goal:
- Unahitaji kutabiri goli litapatikana katika muda gani wa pambano.
- Muda utakao tumika ni sawa naa ule unao tumika na watangazajiwa mechi hiyo.
- Goli likifungwa dakika ya 19 na sekunde 5 basi muda wa goli utahesabika kuwa dakika ya 20.
- Mechi ikikatitshwa kabla ya dakika ya 90 lakini muda wko uliowekea bet umeshafika basi beti itaendelea. Mfano, Mechi ikatishwe dakika ya 25, waliobet dakika 1-10 and 11-20 watakuwa wameshapata matokeo yao.
- Mechi ikikatishwa baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti zitaendelea.
- Ukitokea mgogoro wowote basi taarifa kutoka watngazaji wa mchezo huo zitatumika.
- Ikshindikana kupata mshindi kutoka kwa mtangazaji basi taarifa tutatoa kwa UK Data Provider.
See lessFirst goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?
First Goalscorer: Kushinda tabiri mfungaji wa kwanza wa goli . Magoli ya kujifunga hayahesabiki kwenye hili soko . Bet inakuwa batili kwa wachezaji ambao hawahusiki kwenye mchezo. Mchezaji husika akitolewa kwa kadi nyekundu au kwa substitution basi beti inaendelea na utakuwa umekosa. Beti itakuwa baRead more
First Goalscorer:
Last Goalscorer:
- Kushinda beti hii inabidi utabiri mfungaji wa goli la mwisho kwenye mchezo ndani ya muda wa kawaida .
- Wachezaji wote waliopo uwanjani wanahesabika kama washiriki kwenye kinyanganyiro cha last goal scorer hata kama hawatakuwa uwanjani muda wa goli la mwisho.
- Beti zote zitakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki labda itanganzwa hapo awali.
- Beti zitakuwa batili kwa wachezaji ambao hawatashiriki kwenye mchezo.
- Ukibet kwa mchezaji alietolewa sub au kwa kadi nyekundu kabla ya goli la mwisho basi utakuwa umekosa.
- Beti itakuwa batili kama goli la mwisho limeshafungwa na mchezaji ndo anaingia uwanjani, Labda goli la mwisho liwe la kujifunga ambapo beti zote zitaendelea..
- Beti za Last Goalscorer zinaamuliwa kulingana na sheria za shirika kuu la mchezo huo.
- Ukihitaji matokeo muda wowote tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja.
- Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.
See lessKiwango cha juu cha kushinda kwenye Mkekabet ni sh ngapi?
Kiasi cha juu unachoweza kushinda ndani ya muda wa masaa 24 ni <20,000,000 Tsh> (au kiwango kulingana na kiasi hiki).
Kiasi cha juu unachoweza kushinda ndani ya muda wa masaa 24 ni <20,000,000 Tsh> (au kiwango kulingana na kiasi hiki).
See lessMkekabet wana haki gani juu ya bet yangu?
Wameandika hivi Wana haki ya kukataa au kukubali bet yako yote au kipanda cha beti hiyo. Hawawezi kulaumiwa kwa makosa yakuandika iwe computer au binadamu inayosababisha makosa kwenye mtandao wao. Wana haki ya kubatilisha bet zozote zinazochukuliwa kwa bei isiyosahihi. Hawawezi kulaumiwa kwa ukosefRead more
Wameandika hivi
- Wana haki ya kukataa au kukubali bet yako yote au kipanda cha beti hiyo.
- Hawawezi kulaumiwa kwa makosa yakuandika iwe computer au binadamu inayosababisha makosa kwenye mtandao wao. Wana haki ya kubatilisha bet zozote zinazochukuliwa kwa bei isiyosahihi.
- Hawawezi kulaumiwa kwa ukosefu kwenye ofa, bei au taarifa zozote zingine zinazotokana na website zingine na hawatahusika na kufidia taarifa hizo.
- Ni jukumu lako kuelewa misemo ya betting inayotumukia kwenye mtandao wao na njia nyingine yoyote unayotumia kubet na kama una maswali yoyote kuhusiana na betting wasiliana na huduma kwa wateja kabla hujabashiri. Hawatachukua lawama yoyote kam uliweka bet bila ya kuelewa.
- Wakipata bet nyingi za wateja wengi la tukio moja ndani ya muda mfupi mmoja wana haki ya kubatilisha beti hizo hata kama tukio limeshakamilika.
See lessKiwango cha chini cha kutoa pesa Mkekabet ni sh ngapi?
Kiwango cha chini cha kutoa katika Mkekabet ni Tsh. 2000
Kiwango cha chini cha kutoa katika Mkekabet ni Tsh. 2000
See less