Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Betting»Page 9
  • Recent Questions
  • Answers
  • No Answers
  • Most Visited
  1. Asked: January 4, 2020In: Betting, SportPesa

    Ni namna gani ya kuweka bet moja SportPesa kwa njia ya ujumbe?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on January 4, 2020 at 6:33 am

    Fuata hatua hizi Hatua ya 1 Tuma SMS kwenda 15888, Game ID ambayo unataka kuwekea bet, utabiri wako na kiasi unachotaka kubet. Mfano: 8692#2#2000 ambapo "8692" ni Game ID, "2" ni utabiri wako kwa timu ya Ugenini kushinda, na "2000" ni kiasi cha kubet Hatua ya 2 Utapokea ujumbe wa uthibitisho kutokaRead more

    Fuata hatua hizi

    Hatua ya 1
    Tuma SMS kwenda 15888, Game ID ambayo unataka kuwekea bet, utabiri wako na kiasi unachotaka kubet.

    Mfano: 8692#2#2000 ambapo “8692” ni Game ID, “2” ni utabiri wako kwa timu ya Ugenini kushinda, na “2000” ni kiasi cha kubet

    Hatua ya 2
    Utapokea ujumbe wa uthibitisho kutoka 15888 kuonyesha namba ya Bet, kiasi cha kushinda na salio la akaunti yako ya SportPesa. Kiasi unachoweza kushinda kinahesabiwa kwa kuzidisha jumla ya Odds zako kwa kiasi cha kubet. (Mfan0 2.36 x 100 = TZS 2360)

    Mfano. Uliweka Bet namba 6934 ya Crystal Palace vs FC West Ham, 2. Kiasi: TZS 2000. KIASI UNACHOWEZA KUSHINDA TZS 2360. Salio la S-PESA: TZS 38093.

    Hatua ya 3
    Umeweka bet yako na unachohitaji kufanya sasa ni kukaa pembeni na kufurahia mchezo uliowekea bet yako.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Asked: December 31, 2019In: Betting, M-Bet

    Nawezaje kucheza handicap kwenye M Bet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 31, 2019 at 2:05 pm

    Kwanza handicap ni nini. Handicap inakupa nafasi ya kuipa timu moja goli la faida. Hii inatumika sana sana kama zinacheza timu moja kubwa zaidi na ndogo Mfano:Manchester City Vs Fulham (+1) Hapa handcap inaongeza 1 kwenye magoli ya Fulham, maanake ni kwamba  Fulham ni underdogs kwa kuwa  wamepewa goRead more

    Kwanza handicap ni nini.

    Handicap inakupa nafasi ya kuipa timu moja goli la faida. Hii inatumika sana sana kama zinacheza timu moja kubwa zaidi na ndogo

    Mfano:Manchester City Vs Fulham (+1)

    Hapa handcap inaongeza 1 kwenye magoli ya Fulham, maanake ni kwamba  Fulham ni underdogs kwa kuwa  wamepewa goli moja kuanzia mwanzo.

    Kama hakuna goli litakalofungwa na mechi itaisha (0-0) matokeo ya handicap yatakuwa (0-1) na itakuwa Fulham imeshinda

    Kama Manchester City itashinda goli moja katika hio mechi (1-0), hapo matokeo ya handicap yatakua (1-1) maana yake ni droo

    Kama Manchester City itafunga magoli mawili katika hiyo mechi yani (2-0), kwenye handicap itakuwa (2-1) na matokeo yatakuwa Manchester City imeshinda

    Fuata hatua hizi kucheza

    caja1
    caja2
    caja3
    caja4
    caja5
    caja6
    caja7
    caja8
    caja7
    caja8
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  3. Asked: December 31, 2019In: Betting, MkekaBet

    Mkekabet ina ofa zipi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 31, 2019 at 1:47 pm
    This answer was edited.

    Champions League Winner Special Chagua timu yoyote inayoshiriki Champions League(UEFA) kama timu yako na kila ikishinda utapata 10% ya pesa yako kama Free bet. One Out Money Back Utarudishiwa hela yako hadi mara 10 kama utakosea mechi moja katika mkeka wako. Hii ni kama utabet mkeka kuanzia mechi 7Read more

    Champions League Winner Special

    Chagua timu yoyote inayoshiriki Champions League(UEFA) kama timu yako na kila ikishinda utapata 10% ya pesa yako kama Free bet.

    One Out Money Back

    Utarudishiwa hela yako hadi mara 10 kama utakosea mechi moja katika mkeka wako. Hii ni kama utabet mkeka kuanzia mechi 7 au zaidi. Kadri unavyoweka mechi nyingi zaidi ndio uwezekano mkubwa zaidi wa kupata pesa nyingi zaidi.

    Money Back

    Utarudishiwa pesa yako ukiweka bet. Ofa hii inapatikana kwa watumiaji wote wenye zaidi ya miaka 18 ambao hawajawahi kuweka pesa au kucheza Mkekabet

    Cash Out

    Hautahitaji kusubiri hadi mechi iishe ndo uchukue hela yako. Unaweza kuchukua kabla mechi haijaisha.

    Multi-Bet Bonus

    Ongeza uwezekano wa kupata ela nyingi zaidi kwa asilimia 25 kama utachagua zaidi ya mechi 5 katika mkeka wako.

    Power Play

    Beti bure kila Jumatatu kupitia ofa hii.

    Na nyingine nyingi Tembelea hapa

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Asked: December 31, 2019In: Betting, SportPesa

    Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 31, 2019 at 1:25 pm

    Ukishamaliza kujisajili(Kama bado haujajisajili, Soma jinsi ya kujisajili), kuweka pesa kwenye akaunti yako ya SportPesa ni rahisi, fuata hatua zifuatazo: Hatua ya kwanza Fungua menu ya kutuma pesa kwenye simu yako kisha tuma pesa kwa kutumia namba ya biashara iliyotumwa kwako wakati wa kujisajili.Read more

    Ukishamaliza kujisajili(Kama bado haujajisajili, Soma jinsi ya kujisajili), kuweka pesa kwenye akaunti yako ya SportPesa ni rahisi, fuata hatua zifuatazo:

    Hatua ya kwanza
    Fungua menu ya kutuma pesa kwenye simu yako kisha tuma pesa kwa kutumia namba ya biashara iliyotumwa kwako wakati wa kujisajili.

    Vodacom M-Pesa: 150888
    Airtel Money: 150888
    Tigo Pesa: 150888
    Halopesa: 150888

    Hatua ya pili
    Akaunti yako ya SportPesa itaongezewa pesa moja kwa moja. Kisha utapokea ujumbe wa uthibitisho kutoka SportPesa kwa muamala huo

    Mf. TZS 2000 imepokelewa! Salio kwenye akaunti yako ya S-PESA ni: TZS 2000.

    Hatua ya tatu
    Sasa upo tayari kucheza. Anza sasa!

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  5. Asked: December 27, 2019In: Betting, SportPesa

    Kiwango cha juu zaidi cha pesa unachoweza kubetia Sportpesa ni sh ngapi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 27, 2019 at 9:45 am

    Majukwaa yote ya SportPesa yana kikomo cha kiwango cha juu cha TZS 500,000 kwa bet moja.

    Majukwaa yote ya SportPesa yana kikomo cha kiwango cha juu cha TZS 500,000 kwa bet moja.

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Asked: December 25, 2019In: Betting, MkekaBet

    Nini maana ya first goal na last goal kwenye Mkekabet?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 25, 2019 at 9:51 am

    First Goal: Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa. Last Goal: Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga piaRead more

    First Goal:

    Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa.

    Last Goal:

    Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga pia yanahesabika.
    Beti inakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki.

    Muda kwa ajili ya First goal/Last goal:

    • Unahitaji kutabiri goli litapatikana katika muda gani wa pambano.
    • Muda utakao tumika ni sawa naa ule unao tumika na watangazajiwa mechi hiyo.
    • Goli likifungwa dakika ya 19 na sekunde 5 basi muda wa goli utahesabika kuwa dakika ya 20.
    • Mechi ikikatitshwa kabla ya dakika ya 90 lakini muda wko uliowekea bet umeshafika basi beti itaendelea. Mfano, Mechi ikatishwe dakika ya 25, waliobet dakika 1-10 and 11-20 watakuwa wameshapata matokeo yao.
    • Mechi ikikatishwa baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti zitaendelea.
    • Ukitokea mgogoro wowote basi taarifa kutoka watngazaji wa mchezo huo zitatumika.
    • Ikshindikana kupata mshindi kutoka kwa mtangazaji basi taarifa tutatoa kwa UK Data Provider.
    See less
      • 2
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  7. Asked: December 25, 2019In: Betting, MkekaBet

    First goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 25, 2019 at 9:44 am
    This answer was edited.

    First Goalscorer: Kushinda tabiri mfungaji wa kwanza wa goli . Magoli ya kujifunga hayahesabiki kwenye hili soko . Bet inakuwa batili kwa wachezaji ambao hawahusiki kwenye mchezo. Mchezaji husika akitolewa kwa kadi nyekundu au kwa substitution basi beti inaendelea na utakuwa umekosa. Beti itakuwa baRead more

    First Goalscorer:

    • Kushinda tabiri mfungaji wa kwanza wa goli .
    • Magoli ya kujifunga hayahesabiki kwenye hili soko .
    • Bet inakuwa batili kwa wachezaji ambao hawahusiki kwenye mchezo.
    • Mchezaji husika akitolewa kwa kadi nyekundu au kwa substitution basi beti inaendelea na utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama mchezaji husika anaingia uwanjani na kukuta goli limeshafungwa, labda goli la kwanza liwe la kujifunga, kama ni hivyo basi beti itaendelea
    • Mechi ikimalizika kabla dakika za kawaida kutimia na goli la kwanza bado halijapatikana basi beti inakuwa batili.
    • Mechi ikimalizika baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti itakuwa imekamilika.
    • beti za First Goalscorer zinatumia taarifa kutoka mashirika husika wa mchezo kupata washindi baada ya mechi kukamilika.
    • Matokeo ya mechi au matukio yoyote unayohitaji kuhusiana na mchezo yanapatikana kwa kupigia namba yeu ya huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.

     
    Last Goalscorer:

    • Kushinda beti hii inabidi utabiri mfungaji wa goli la mwisho kwenye mchezo ndani ya muda wa kawaida .
    • Wachezaji wote waliopo uwanjani wanahesabika kama washiriki kwenye kinyanganyiro cha last goal scorer hata kama hawatakuwa uwanjani muda wa goli la mwisho.
    • Beti zote zitakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki labda itanganzwa hapo awali.
    • Beti zitakuwa batili kwa wachezaji ambao hawatashiriki kwenye mchezo.
    • Ukibet kwa mchezaji alietolewa sub au kwa kadi nyekundu kabla ya goli la mwisho basi utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama goli la mwisho limeshafungwa na mchezaji ndo anaingia uwanjani, Labda goli la mwisho liwe la kujifunga ambapo beti zote zitaendelea..
    • Beti za Last Goalscorer zinaamuliwa kulingana na sheria za shirika kuu la mchezo huo.
    • Ukihitaji matokeo muda wowote tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Asked: December 25, 2019In: Betting, MkekaBet

    Kiwango cha juu cha kushinda kwenye Mkekabet ni sh ngapi?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 25, 2019 at 9:37 am

    Kiasi cha juu unachoweza kushinda ndani ya muda wa masaa 24 ni <20,000,000 Tsh> (au kiwango kulingana na kiasi hiki).

    Kiasi cha juu unachoweza kushinda ndani ya muda wa masaa 24 ni <20,000,000 Tsh> (au kiwango kulingana na kiasi hiki).

    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  9. Asked: December 25, 2019In: Betting, MkekaBet

    Mkekabet wana haki gani juu ya bet yangu?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 25, 2019 at 9:35 am

    Wameandika hivi  Wana haki ya kukataa au kukubali bet yako yote au kipanda cha beti hiyo. Hawawezi kulaumiwa kwa makosa yakuandika iwe computer au binadamu inayosababisha makosa kwenye mtandao wao. Wana haki ya kubatilisha bet zozote zinazochukuliwa kwa bei isiyosahihi. Hawawezi kulaumiwa kwa ukosefRead more

    Wameandika hivi

    •  Wana haki ya kukataa au kukubali bet yako yote au kipanda cha beti hiyo.
    • Hawawezi kulaumiwa kwa makosa yakuandika iwe computer au binadamu inayosababisha makosa kwenye mtandao wao. Wana haki ya kubatilisha bet zozote zinazochukuliwa kwa bei isiyosahihi.
    • Hawawezi kulaumiwa kwa ukosefu kwenye ofa, bei au taarifa zozote zingine zinazotokana na website zingine na hawatahusika na kufidia taarifa hizo.
    • Ni jukumu lako kuelewa misemo ya betting inayotumukia kwenye mtandao wao na njia nyingine yoyote unayotumia kubet na kama una maswali yoyote kuhusiana na betting wasiliana na huduma kwa wateja kabla hujabashiri. Hawatachukua lawama yoyote kam uliweka bet bila ya kuelewa.
    • Wakipata bet nyingi za wateja wengi la tukio moja ndani ya muda mfupi mmoja wana haki ya kubatilisha beti hizo hata kama tukio limeshakamilika.
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Asked: December 25, 2019In: Betting, M-Bet

    Nawezaje kucheza M Bet kawaida kwa kutumia SMS au USSD?

    Musa Adam
    Musa Adam
    Added an answer on December 25, 2019 at 9:26 am

    Fuata hatua hizi

    Fuata hatua hizi

    caja1
    caja2
    caja3
    caja4
    caja5
    caja6
    caja7
    caja8
    See less
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load More Answers

Sidebar

ChuiTec

Contact us for Website Design, Ads, SEO and Digital Marketing

Popular Questions

  • Ni kampuni gani za kubet TZ?

  • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

  • Unajua app za kubet Tanzania?

  • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

  • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

  • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

  • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

  • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

  • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

  • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

Explore

  • Home
  • Maswali
  • Miongozo

MojaSky