Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34137
In Process
Adv
Anonymous
Asked: December 25, 20192019-12-25T09:40:12+03:00 2019-12-25T09:40:12+03:00

First goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?

First goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?
  • 1
  • 253
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 314 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2019-12-25T09:44:28+03:00Jibu - December 25, 2019 saa 9:44 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    First Goalscorer:

    • Kushinda tabiri mfungaji wa kwanza wa goli .
    • Magoli ya kujifunga hayahesabiki kwenye hili soko .
    • Bet inakuwa batili kwa wachezaji ambao hawahusiki kwenye mchezo.
    • Mchezaji husika akitolewa kwa kadi nyekundu au kwa substitution basi beti inaendelea na utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama mchezaji husika anaingia uwanjani na kukuta goli limeshafungwa, labda goli la kwanza liwe la kujifunga, kama ni hivyo basi beti itaendelea
    • Mechi ikimalizika kabla dakika za kawaida kutimia na goli la kwanza bado halijapatikana basi beti inakuwa batili.
    • Mechi ikimalizika baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti itakuwa imekamilika.
    • beti za First Goalscorer zinatumia taarifa kutoka mashirika husika wa mchezo kupata washindi baada ya mechi kukamilika.
    • Matokeo ya mechi au matukio yoyote unayohitaji kuhusiana na mchezo yanapatikana kwa kupigia namba yeu ya huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.

     
    Last Goalscorer:

    • Kushinda beti hii inabidi utabiri mfungaji wa goli la mwisho kwenye mchezo ndani ya muda wa kawaida .
    • Wachezaji wote waliopo uwanjani wanahesabika kama washiriki kwenye kinyanganyiro cha last goal scorer hata kama hawatakuwa uwanjani muda wa goli la mwisho.
    • Beti zote zitakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki labda itanganzwa hapo awali.
    • Beti zitakuwa batili kwa wachezaji ambao hawatashiriki kwenye mchezo.
    • Ukibet kwa mchezaji alietolewa sub au kwa kadi nyekundu kabla ya goli la mwisho basi utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama goli la mwisho limeshafungwa na mchezaji ndo anaingia uwanjani, Labda goli la mwisho liwe la kujifunga ambapo beti zote zitaendelea..
    • Beti za Last Goalscorer zinaamuliwa kulingana na sheria za shirika kuu la mchezo huo.
    • Ukihitaji matokeo muda wowote tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.