Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Nitafanyaje ili nishinde M Bet?
Zingatia haya ili kushinda M Bet Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi UsichaRead more
Zingatia haya ili kushinda M Bet
- Usiwe na papara kwenye kuchagua timu, chagua kwa umakini
- Weka mkeka wa timu chache, wingi wa mechi unapunguza nafasi ya kushinda
- Fuatilia habari na mienendo ya ligi au timu unazozitumia kubet
- Kumbuka mikeka iliyopita ili kufahamu unapatia wapi au unakosea wapi
- Usichague timu kwa kuangalia matokeo ya muda mfupi
- Usichague timu kwa sababu unaishabikia/unaikubali bora usiweke hiyo mechi kwenye mkeka
- Kuwa na kiasi katika kucheza. Cheza kwa kujifurahisha, usigeuze kuwa ajira
See lessApp ya M bet inapatikana wapi?
Download App ya M Bet HAPA
Download App ya M Bet HAPA
See lessNawezaje kucheza handicap kwenye M Bet?
Kwanza handicap ni nini. Handicap inakupa nafasi ya kuipa timu moja goli la faida. Hii inatumika sana sana kama zinacheza timu moja kubwa zaidi na ndogo Mfano:Manchester City Vs Fulham (+1) Hapa handcap inaongeza 1 kwenye magoli ya Fulham, maanake ni kwamba Fulham ni underdogs kwa kuwa wamepewa goRead more
Kwanza handicap ni nini.
Handicap inakupa nafasi ya kuipa timu moja goli la faida. Hii inatumika sana sana kama zinacheza timu moja kubwa zaidi na ndogo
Mfano:Manchester City Vs Fulham (+1)
Hapa handcap inaongeza 1 kwenye magoli ya Fulham, maanake ni kwamba Fulham ni underdogs kwa kuwa wamepewa goli moja kuanzia mwanzo.
Kama hakuna goli litakalofungwa na mechi itaisha (0-0) matokeo ya handicap yatakuwa (0-1) na itakuwa Fulham imeshinda
Kama Manchester City itashinda goli moja katika hio mechi (1-0), hapo matokeo ya handicap yatakua (1-1) maana yake ni droo
Kama Manchester City itafunga magoli mawili katika hiyo mechi yani (2-0), kwenye handicap itakuwa (2-1) na matokeo yatakuwa Manchester City imeshinda
Fuata hatua hizi kucheza
Nawezaje kucheza M Bet kawaida kwa kutumia SMS au USSD?
Fuata hatua hizi
Fuata hatua hizi
Viwango vya kuweka na kutoa pesa M Bet vikoje?
Katika tovuti yao wameandika. M-Pesa kiwango cha kuweka kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango cha juu: 100,000 Tsh M-Pesa kiwango cha kutoa kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango cha juu: 100,000 Tsh Tigo Pesa kiwango cha kuweka kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango chRead more
Katika tovuti yao wameandika. M-Pesa kiwango cha kuweka kikomo
M-Pesa kiwango cha kutoa kikomo
Tigo Pesa kiwango cha kuweka kikomo
Tigo Pesa kiwango cha kutoa kikomo
Airtel Money kiwango cha kuweka kikomo
Airtel Money kiwango cha kutoa kikomo
HaloPesa kiwango cha kuweka kikomo
HaloPesa kiwango cha kutoa kikomo
- Kiwango cha chini: 1,000 Tsh
- Kiwango cha juu: 100,000 Tsh
See lessM Bet ni nini?
M Bet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya ligi nyingi bora duniani. Maana yake ni kwamba unaweka pesa juu ya ushindi wa timu au matukio mengine yanayoweza kutokea katika mchezo husika. Baadhi ya michezo inayopatikana ni mpira kawaida yani unasema kama timu itashiRead more
M Bet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya ligi nyingi bora duniani. Maana yake ni kwamba unaweka pesa juu ya ushindi wa timu au matukio mengine yanayoweza kutokea katika mchezo husika.
Baadhi ya michezo inayopatikana ni mpira kawaida yani unasema kama timu itashinda itafungwa au droo , kubashiri michezo mchanganyiko hapa unachanganya matokeo ya michezo mingi, unaweza pia kutabiri kama timu ipi itaanza kufunga ama timu zote zitapata magoli na nyingine nyingi
See lessNawezaje kubet kwa kutumia M bet online?
Kubet kwa kutumia m bet katika mtandao ama tovuti yao ya m-bet.co.tz unapaswa kufuata hatua hizi. 1.Bonyeza kwenye kitufe cha bashiri za michezo. 2.Itapo funguka itakuonesha michezo yote ya kusisimua ya siku pamoja na pointi nzuri za ushindi, bonyeza/bofya kwenye pointi za michezo kuchagua ubashiriRead more
3.Ukimaliza utapelekwa kwenye kalkuleta ya m bet. Hapa utachagua kiasi cha pesa unachotaka kutumia na mtandao wa simu kama ni M-Pesa au Tigo Pesa au Airtel Money au HaloPesa.
Ukimaliza hayo yote bonyeza SUBMIT BETTING SLIP (MALIZA) ili uende kwenye hatua nyingine.
4. Kulipia Tiketi unatakiwa kwenda M-Pesa au Tigo Pesa au Airtel Money au HaloPesa na kufuata maelekezo kama ilivyoandikwa hapa chini:
Ni hivyo tu. Jaribu bahati yako