Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Kiwango cha chini cha kutoa pesa Mkekabet ni sh ngapi?
Kiwango cha chini cha kutoa katika Mkekabet ni Tsh. 2000
Kiwango cha chini cha kutoa katika Mkekabet ni Tsh. 2000
See lessViwango vya kuweka na kutoa pesa M Bet vikoje?
Katika tovuti yao wameandika. M-Pesa kiwango cha kuweka kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango cha juu: 100,000 Tsh M-Pesa kiwango cha kutoa kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango cha juu: 100,000 Tsh Tigo Pesa kiwango cha kuweka kikomo Kiwango cha chini: 1,000 Tsh Kiwango chRead more
Katika tovuti yao wameandika. M-Pesa kiwango cha kuweka kikomo
M-Pesa kiwango cha kutoa kikomo
Tigo Pesa kiwango cha kuweka kikomo
Tigo Pesa kiwango cha kutoa kikomo
Airtel Money kiwango cha kuweka kikomo
Airtel Money kiwango cha kutoa kikomo
HaloPesa kiwango cha kuweka kikomo
HaloPesa kiwango cha kutoa kikomo
- Kiwango cha chini: 1,000 Tsh
- Kiwango cha juu: 100,000 Tsh
See lessNitajuaje kama nimeathiriwa na michezo ya kubeti?
Endapo una wasiwasi kuwa kucheza michezo ya kubashiri kunaweza kuwa kumeteka maisha yako (au ya mtu mwingine) basi maswali yafuatayo yanaweza kukusaidia kutambua hilo: Je, watu wengine wameshawahi kukukosoa kuhusu uchezaji wako wa michezo ya kubashiri? Umeshawahi kusema uongo ili kuficha kiasi ulichRead more
Endapo una wasiwasi kuwa kucheza michezo ya kubashiri kunaweza kuwa kumeteka maisha yako (au ya mtu mwingine) basi maswali yafuatayo yanaweza kukusaidia kutambua hilo:
Kama majibu yako mengi ni Ndio katiak maswali hayo hapo juu, basi wewe ni muathirika wa michezo hii. Unapaswa kutafuta msaada haraka sana.
See lessOfisi za Sportpesa ziko wapi?
Ofisi za Sportpesa nchini Tanzania zipo Peninsula House, Plot 251, Toure Drive, Dar es Salaam, Tanzania.
Ofisi za Sportpesa nchini Tanzania zipo Peninsula House, Plot 251, Toure Drive, Dar es Salaam, Tanzania.
See lessContacts za Princess Bet ni zipi?
Kam unataka kuwasiliana na Princessbet, njia rahisi zaidi ni Live chat iliyopo katika tovuti yao ya princessbet.co.tz bonyeza kwenye 'CHAT NOW' kuanzisha chat. Namba ya simu +255768987888 Mitandao ya Kijamii Facebook: Princess Bet Tanzania Instagram: @princessbet.africa Twitter: @PrincessBetTz
Kam unataka kuwasiliana na Princessbet, njia rahisi zaidi ni Live chat iliyopo katika tovuti yao ya princessbet.co.tz bonyeza kwenye ‘CHAT NOW’ kuanzisha chat.
Namba ya simu
+255768987888
Mitandao ya Kijamii
Facebook: Princess Bet Tanzania
Instagram: @princessbet.africa
Twitter: @PrincessBetTz
See lessSportPesa ni nini?
Umeiona katika jezi za Simba na Yanga. Umeona mabango mengi yaliyoandikwa Sportpesa, lakini hiyo ni nini hasa mpaka inaandikwa sehemu nyingi. SportPesa ni mtandao wa kubashiri. Na unafanya matangazo mengi sana ili kuzidi kujulikana na watu wengine waweze kujiunga nao katika kubashiri michezo. Kwa kuRead more
Umeiona katika jezi za Simba na Yanga. Umeona mabango mengi yaliyoandikwa Sportpesa, lakini hiyo ni nini hasa mpaka inaandikwa sehemu nyingi.
SportPesa ni mtandao wa kubashiri. Na unafanya matangazo mengi sana ili kuzidi kujulikana na watu wengine waweze kujiunga nao katika kubashiri michezo.
Kwa kutumia Sportpesa unaweza kuweka pesa na kisha kutabiri matokeo na matukio ya michezo yenye uwezekano wa kutokea na kama ubashiri wako utakuwa sahihi utashinda pesa nyingi zaidi na ukikosea utapoteza kiasi cha pesa ulichoweka. Dau la kuchezea linaanzia Sh 500. Unaweza kubashiri mechi kila siku tena kwenye michezo kibao kama vile Soka, Masumbwi, Tennis, Volleyball, Cricket, Raga na mingine mingi.
Kujiunga na Sportpesa unaweza tumia njia ya simu yako ya kawaida au kwa kutumia app yao au tovuti yao iliyopo mtandaoni.
See lessM Bet ni nini?
M Bet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya ligi nyingi bora duniani. Maana yake ni kwamba unaweka pesa juu ya ushindi wa timu au matukio mengine yanayoweza kutokea katika mchezo husika. Baadhi ya michezo inayopatikana ni mpira kawaida yani unasema kama timu itashiRead more
M Bet ni kampuni ya michezo ya kubahatisha inayokuwezesha kubashiri matokeo ya ligi nyingi bora duniani. Maana yake ni kwamba unaweka pesa juu ya ushindi wa timu au matukio mengine yanayoweza kutokea katika mchezo husika.
Baadhi ya michezo inayopatikana ni mpira kawaida yani unasema kama timu itashinda itafungwa au droo , kubashiri michezo mchanganyiko hapa unachanganya matokeo ya michezo mingi, unaweza pia kutabiri kama timu ipi itaanza kufunga ama timu zote zitapata magoli na nyingine nyingi
See lessNawezaje kubet kwa kutumia M bet online?
Kubet kwa kutumia m bet katika mtandao ama tovuti yao ya m-bet.co.tz unapaswa kufuata hatua hizi. 1.Bonyeza kwenye kitufe cha bashiri za michezo. 2.Itapo funguka itakuonesha michezo yote ya kusisimua ya siku pamoja na pointi nzuri za ushindi, bonyeza/bofya kwenye pointi za michezo kuchagua ubashiriRead more
3.Ukimaliza utapelekwa kwenye kalkuleta ya m bet. Hapa utachagua kiasi cha pesa unachotaka kutumia na mtandao wa simu kama ni M-Pesa au Tigo Pesa au Airtel Money au HaloPesa.
Ukimaliza hayo yote bonyeza SUBMIT BETTING SLIP (MALIZA) ili uende kwenye hatua nyingine.
4. Kulipia Tiketi unatakiwa kwenda M-Pesa au Tigo Pesa au Airtel Money au HaloPesa na kufuata maelekezo kama ilivyoandikwa hapa chini:
Ni hivyo tu. Jaribu bahati yako
Nawezaje kujisajili SportPesa kwa njia ya SMS?
Kujisajili kwa njia ya SMS, fuata hatua hizi tatu rahisi: Hatua ya 1 Kujisajili kwa njia ya sms tuma "Mchezo" kwenda 15888. Utapokea ujumbe wa uthibitisho wenye link itakayokupeleka kusoma Vigezo na Masharti kwenye tovuti ya SportPesa. Mara baada ya kusoma na kuelewa Vigezo na Masharti, tuma "KUBALIRead more
Kujisajili kwa njia ya SMS, fuata hatua hizi tatu rahisi:
See lessHatua ya 1
Kujisajili kwa njia ya sms tuma “Mchezo” kwenda 15888. Utapokea ujumbe wa uthibitisho wenye link itakayokupeleka kusoma Vigezo na Masharti kwenye tovuti ya SportPesa. Mara baada ya kusoma na kuelewa Vigezo na Masharti, tuma “KUBALI” kwenda 15888 kukamilisha usajli.
Hatua ya 2
Baada ya kutuma “Kubali” kwenda 15888, utapokea ujumbe wa uthibitisho utakaokupa jina la mtumiaji, ambayo ni namba yako ya simu, namba ya siri yenye tarakimu 4 na namba ya Pay bill.
Kuna njia gani za kuweka bet SportPesa?
SportPesa inakuwezesha kutabiri na kuweka bet kwenye mechi unayoipenda. Wanatoa nafasi ya kutabiri kwa michezo ya kitaifa na kimataifa. Unaweza kuweka bet zako kwa njia ya sms kwenda 15888, au kupitia Programu ya android ya SportPesa, au mtandaoni kwenye www.sportpesa.co.tz au kupitia USSD kwa kupigRead more
SportPesa inakuwezesha kutabiri na kuweka bet kwenye mechi unayoipenda. Wanatoa nafasi ya kutabiri kwa michezo ya kitaifa na kimataifa.
Unaweza kuweka bet zako kwa njia ya sms kwenda 15888, au kupitia Programu ya android ya SportPesa, au mtandaoni kwenye http://www.sportpesa.co.tz au kupitia USSD kwa kupiga *150*87#. Unaweza kuweka bet zako ukiwa mahali popote, kabla ya filimbi ya kwanza ya mwamuzi kwa ajili ya masoko ya kabla ya mechi au kucheza moja kwa moja kwenye masoko ya kubet mubashara.
Cheza pia kwenye Jackpot kwa TZS 2000 tu. Sasa, TZS 2000 ni DONGE NONO kwani unaweza kushinda angalau TZS 200,000,000 unapocheza kwenye Jackpot.
See less