Nini maana ya first goal na last goal kwenye Mkekabet?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
First Goal:
Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa.
Last Goal:
Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga pia yanahesabika.
Beti inakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki.
Muda kwa ajili ya First goal/Last goal: