Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34138
In Process
Adv
Anonymous
Asked: December 25, 20192019-12-25T09:47:50+03:00 2019-12-25T09:47:50+03:00

Nini maana ya first goal na last goal kwenye Mkekabet?

Nini maana ya first goal na last goal kwenye Mkekabet?
  • 1
  • 527
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 314 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2019-12-25T09:51:10+03:00Jibu - December 25, 2019 saa 9:51 am

    First Goal:

    Mshindi ni atakae tabiri timu itakayofunga goli la kwanza ndani ya muda wa kawaida. Magoli ya kujifunga yanahesabiwa. Beti zinakuwa batili endapo mechi haikamiliki , isipokuwa goli lakwanza liwe limeshafungwa.

    Last Goal:

    Beti kwa timu itakayofunga goli la mwisho, magoli ya kujifunga pia yanahesabika.
    Beti inakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki.

    Muda kwa ajili ya First goal/Last goal:

    • Unahitaji kutabiri goli litapatikana katika muda gani wa pambano.
    • Muda utakao tumika ni sawa naa ule unao tumika na watangazajiwa mechi hiyo.
    • Goli likifungwa dakika ya 19 na sekunde 5 basi muda wa goli utahesabika kuwa dakika ya 20.
    • Mechi ikikatitshwa kabla ya dakika ya 90 lakini muda wko uliowekea bet umeshafika basi beti itaendelea. Mfano, Mechi ikatishwe dakika ya 25, waliobet dakika 1-10 and 11-20 watakuwa wameshapata matokeo yao.
    • Mechi ikikatishwa baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti zitaendelea.
    • Ukitokea mgogoro wowote basi taarifa kutoka watngazaji wa mchezo huo zitatumika.
    • Ikshindikana kupata mshindi kutoka kwa mtangazaji basi taarifa tutatoa kwa UK Data Provider.
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.