Kubet ndo nini?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Musa Adam
Kubet ni kucheza kamari. Maana yake ni unaweka pesa katika kile unachokiamini kitatokea au unatabiri kuwa kitu fulani kitatokea na unakiwekea pesa juu yake. Kama utabiri wako utakua sahihi unashinda kiasi kulingana na makubaliano.
Kuna namna nyingi za kubet, unaweza kubetia matukio ya mpira yani magoli, matokeo, na matukio mengine. Pia unaweza kubet kwa kuchagua namba za bahati, na nyingine ni kama jackpot ambazo zinafanyika vipindi kwa vipindi na kila moja ina utofauti wake.
Kama unataka kubetia matokeo ya mechi napendekeza uanzie hapa MkekaBet au PremierBet
Kwa michezo ya namba za bahati unaweza jaribu Biko au Tatu Mzuka
Promo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaRickyllobbe
Kubeti ni kubashiri au kuotea jibu au kitu mfano kucheza biko,tatumzuka nanyinginezo nyingi