Kubet ndo nini?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Musa Adam
Kubet ni kucheza kamari. Maana yake ni unaweka pesa katika kile unachokiamini kitatokea au unatabiri kuwa kitu fulani kitatokea na unakiwekea pesa juu yake. Kama utabiri wako utakua sahihi unashinda kiasi kulingana na makubaliano.
Kuna namna nyingi za kubet, unaweza kubetia matukio ya mpira yani magoli, matokeo, na matukio mengine. Pia unaweza kubet kwa kuchagua namba za bahati, na nyingine ni kama jackpot ambazo zinafanyika vipindi kwa vipindi na kila moja ina utofauti wake.
Kama unataka kubetia matokeo ya mechi napendekeza uanzie hapa PremierBet
Kwa michezo ya namba za bahati unaweza jaribu Biko au Tatu Mzuka
Promo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppRickyllobbe
Kubeti ni kubashiri au kuotea jibu au kitu mfano kucheza biko,tatumzuka nanyinginezo nyingi