Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Questions»Q 34137
In Process

1Sky Latest Questions

1sky
Asked: December 25, 20192019-12-25T09:40:12+03:00 2019-12-25T09:40:12+03:00In: Betting, MkekaBet

First goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?

First goal scorer na Last goal scorer kwenye Mkekabet inamaanisha nini?
  • 11
  • 328
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
Answer
  • Report

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Musa Adam
    Musa Adam
    2019-12-25T09:44:28+03:00Added an answer on December 25, 2019 at 9:44 am
    This answer was edited.

    First Goalscorer:

    • Kushinda tabiri mfungaji wa kwanza wa goli .
    • Magoli ya kujifunga hayahesabiki kwenye hili soko .
    • Bet inakuwa batili kwa wachezaji ambao hawahusiki kwenye mchezo.
    • Mchezaji husika akitolewa kwa kadi nyekundu au kwa substitution basi beti inaendelea na utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama mchezaji husika anaingia uwanjani na kukuta goli limeshafungwa, labda goli la kwanza liwe la kujifunga, kama ni hivyo basi beti itaendelea
    • Mechi ikimalizika kabla dakika za kawaida kutimia na goli la kwanza bado halijapatikana basi beti inakuwa batili.
    • Mechi ikimalizika baada ya goli la kwanza kufungwa basi beti itakuwa imekamilika.
    • beti za First Goalscorer zinatumia taarifa kutoka mashirika husika wa mchezo kupata washindi baada ya mechi kukamilika.
    • Matokeo ya mechi au matukio yoyote unayohitaji kuhusiana na mchezo yanapatikana kwa kupigia namba yeu ya huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.

     
    Last Goalscorer:

    • Kushinda beti hii inabidi utabiri mfungaji wa goli la mwisho kwenye mchezo ndani ya muda wa kawaida .
    • Wachezaji wote waliopo uwanjani wanahesabika kama washiriki kwenye kinyanganyiro cha last goal scorer hata kama hawatakuwa uwanjani muda wa goli la mwisho.
    • Beti zote zitakuwa batili kama muda wa kawaida wa mechi haukamiliki labda itanganzwa hapo awali.
    • Beti zitakuwa batili kwa wachezaji ambao hawatashiriki kwenye mchezo.
    • Ukibet kwa mchezaji alietolewa sub au kwa kadi nyekundu kabla ya goli la mwisho basi utakuwa umekosa.
    • Beti itakuwa batili kama goli la mwisho limeshafungwa na mchezaji ndo anaingia uwanjani, Labda goli la mwisho liwe la kujifunga ambapo beti zote zitaendelea..
    • Beti za Last Goalscorer zinaamuliwa kulingana na sheria za shirika kuu la mchezo huo.
    • Ukihitaji matokeo muda wowote tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja.
    • Machuguo kwenye kwenye first goal scorer yanakuwa mengi lakini siyo wachezaji wote kwenye timu atakuwepo kwenye orodha na hao tu ndo utaweza kuchagua kama chaguo lako.
      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report

Leave an answer
Cancel reply

You must login to add an answer.


Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Sidebar

Promo

  • Related Questions

    • Namna gani ya kuangalia beti yako kwenye biko sport

    • Nahitaji kubashiri mpira wa miguu je nifanyeje?

    • Mkekabet ni kampuni bora ya kubet?

    • Premier bet ni kampuni bora ya kubet?

    • Kwa nini nitumie Mkekabet kubet?

    • Kampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?

    • Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

    Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.