Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 33976
In Process
Adv
Anonymous
Asked: December 20, 20192019-12-20T06:32:32+03:00 2019-12-20T06:32:32+03:00SportPesa

SportPesa ni nini?

SportPesa ni nini?
  • 1
  • 344
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 315 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2019-12-21T05:43:57+03:00Jibu - December 21, 2019 saa 5:43 am

    Umeiona katika jezi za Simba na Yanga. Umeona mabango mengi yaliyoandikwa Sportpesa, lakini hiyo ni nini hasa mpaka inaandikwa sehemu nyingi.

    SportPesa ni mtandao wa kubashiri. Na unafanya matangazo mengi sana ili kuzidi kujulikana na watu wengine waweze kujiunga nao katika kubashiri michezo.

    Kwa kutumia Sportpesa unaweza kuweka pesa na kisha kutabiri matokeo na matukio ya michezo yenye uwezekano wa kutokea na kama ubashiri wako utakuwa sahihi utashinda pesa nyingi zaidi na ukikosea utapoteza kiasi cha pesa ulichoweka. Dau la kuchezea linaanzia Sh 500. Unaweza kubashiri mechi kila siku tena kwenye michezo kibao kama vile Soka, Masumbwi, Tennis, Volleyball, Cricket, Raga na mingine mingi.

    Kujiunga na Sportpesa unaweza tumia njia ya simu yako ya kawaida au kwa kutumia app yao au tovuti yao iliyopo mtandaoni.

    Zaidi kuhusu SportPesa

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

    • Namba ya malipo ya SportPesa ni ipi?

    • Nawezaje kuwasiliana na SportPesa?

    • Nawezaje kubet mechi nyingi kwa pamoja kwenye SportPesa?

    • Nawezaje kuweka bet moja SportPesa?

    • Nawezaje kujisajili SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.