Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Musa Adam»Answers
  • About
    1. Asked: December 20, 2019In: Betting, PrincessBet

      First goal kwenye Princessbet ina maana gani?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on December 20, 2019 at 7:45 am

      Hii maana yake ni timu ya kwanza kufunga goli. Magoli ya kujifunga hayahesabiwi. Magoli yatakayofungwa katika dakika za nyongeza yatahesabiwa. Ila magoli ambayo hayatahesabiwa ni yote yatakayofungwa katika dakika za ziada, yani 30 zinazoongezwa kama dakika tisini zikiisha bila mshindi na magoli ya pRead more

      Hii maana yake ni timu ya kwanza kufunga goli. Magoli ya kujifunga hayahesabiwi. Magoli yatakayofungwa katika dakika za nyongeza yatahesabiwa. Ila magoli ambayo hayatahesabiwa ni yote yatakayofungwa katika dakika za ziada, yani 30 zinazoongezwa kama dakika tisini zikiisha bila mshindi na magoli ya penati.

      See less
        • 0
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    2. Asked: April 20, 2019In: Betting

      Kubet ndo nini?

      Musa Adam
      Musa Adam
      Added an answer on December 1, 2019 at 8:35 am
      This answer was edited.

      Kubet ni kucheza kamari. Maana yake ni unaweka pesa katika kile unachokiamini kitatokea au unatabiri kuwa kitu fulani kitatokea na unakiwekea pesa juu yake. Kama utabiri wako utakua sahihi unashinda kiasi kulingana na makubaliano. Kuna namna nyingi za kubet, unaweza kubetia matukio ya mpira yani magRead more

      Kubet ni kucheza kamari. Maana yake ni unaweka pesa katika kile unachokiamini kitatokea au unatabiri kuwa kitu fulani kitatokea na unakiwekea pesa juu yake. Kama utabiri wako utakua sahihi unashinda kiasi kulingana na makubaliano.

      Kuna namna nyingi za kubet, unaweza kubetia matukio ya mpira yani magoli, matokeo, na matukio mengine. Pia unaweza kubet kwa kuchagua namba za bahati, na nyingine ni kama jackpot ambazo zinafanyika vipindi kwa vipindi na kila moja ina utofauti wake.

      Kama unataka kubetia matokeo ya mechi napendekeza uanzie hapa BetWinner

      Kwa michezo ya namba za bahati unaweza jaribu Biko au Tatu Mzuka

      See less
        • 1
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
    1 … 5 6 7

    Sidebar

    Promo

  • Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky