Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34419
In Process
Anonymous
Asked: January 8, 20202020-01-08T21:53:44+03:00 2020-01-08T21:53:44+03:00Kubashiri

Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?
  • 2
  • 3,495
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 88 Answers
    • 0 Best Answers
    • 331 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2020-01-08T23:01:28+03:00Jibu - January 8, 2020 saa 11:01 pm

    Kutoa pesa zako ni rahisi kama kuweka pesa zako ndani.

    Kwa mfano kama unataka kutoa TZS 1200 kutoka kwenye akaunti yako ya SportPesa, uta:

    1. Tuma sms kwenda 15888: W#1200#8888 – ambapo W inasimama kama Kutoa; 1200 ni kiasi cha pesa unachotaka kutoa na 8888 ni namba yako ya siri ya SportPesa uliyopokea wakati wa kujisajili. Kumbuka: Mfumo wa kutoa ni ule ule kwa mitandao ya watoa huduma wote wa simu, yaani, Vodacom M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, Halopesa.
    2. Utapokea ujumbe wenye uthibitisho kutoka 15888 na Akaunti yako ya simu (Vodacom M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, Halopesa, etc) itaingiziwa pesa, utatumiwa ujumbe wa pili wenye uthibitisho kutoka kwa mtoa huduma wako.
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
    • Anonymous
      2021-07-11T12:22:48+03:00Reply - July 11, 2021 saa 12:22 pm

      Inakuaje kama nilifua sms yakwanza hvyo sina ile namba ya siri

      • 4
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Kampuni ipi bora kati ya Mkekabet na Premier bet katika kubeti?

      • Majibu 0
    • Kampuni za ku bet Tanzania online ni zipi?

      • Majibu 0
    • Kampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?

      • Jibu 1
    • Kampuni za kubeti soka Tanzania ni zipi?

      • Jibu 1
    • Kampuni gani ya kubet ambayo haina kodi?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kupata timu za kuaminika kwenye kubeti?

      • Majibu 0
    • Kiasi cha juu zaidi cha kushinda Mkekabet ni shilingi ngapi?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kujisajili SportPesa?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

      • Jibu 1
    • Namba ya kubet Mkekabet kwa USSD ni ipi?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.