Nawezaje kubet na Mkekabet mtandaoni?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Kwanza kabisa inabidi ujiunge. Tumia link hii kujiunga ⇒Mkekabet
1. Ingia tumia namba yako ya simu na pin namba uliyopewa baada ya kujisajili (usianze na sifuri)
2. Ukisha ingia chagua michezo unayohitaji kwa kuangalia ligi na aina ya michezo kwenye menu upande wa kushoto.
3. Fanya machaguo yako kwa kubofya moja kati ya vibox vitatu ambavyo vina odds ndani yake na utapata betslip upande wa kulia kwa wanaotumia mfumo wa kompyuta na kwa mfumo wa simu utaiona upande wa chini kulia.
4. Ukimaliza utaweka dau lako na kubofya sehemu imeandikwa “Bet now”
5. Unaweza kupitia na kuangalia beti ulizofanya kwa kubofya sehemu yenye namba yako ya simu au jina lako hapo juu utapata menyu na utaenda sehemu ya “Bet History”