Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In


Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here


Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Please briefly explain why you feel this question should be reported.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Please briefly explain why you feel this user should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi

Mobile menu

Close
Ask A Question
  • Home
  • Maswali
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
Home»Questions»Q 34370
In Process

1Sky Latest Questions

1sky
Asked: January 6, 20202020-01-06T17:34:22+03:00 2020-01-06T17:34:22+03:00In: Betting, SportPesa

Nawezaje kubet jackpot ya SportPesa?

Nawezaje kubet jackpot ya SportPesa?
  • 22
  • 869
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
Answer
  • Report

2 Answers

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Anonymous
    Anonymous
    2020-01-15T07:23:17+03:00Added an answer on January 15, 2020 at 7:23 am
    This answer was edited.

    Hatua ya 1

    Ingia kwenye akaunti yako ya SportPesa na bofya kwenye bango lililopo juu ya skrini yako.

    Hatua ya 2

    Ili kuweka bet ya Jackpot, bofya kwenye timu unayotabiri ishinde. Bofya kwenye ama timu ya Nyumbani (timu iliyotajwa kwanza) au timu ya Ugenini (timu iliyotajwa ya pili).

    Kama unataka kutabiri kuwa matokeo ya mchezo yatakuwa suluhu, bofya katikati ya timu mbili na chagua X (SULUHU).

    Chagua utabiri wako kwa michezo yote 13 ya Jackpot.

    Mkeka utatokea ukiwa na utabiri wako wote.

    Kwenye mkeka, utaweza pia kuona namba za mchanganyiko uliofanyika. Kama haujaweka bet ya mchanganyiko, idadi ya mchanganyiko itakuwa 1.

    Hatua ya 3

    Bofya kwenye weka bet

    Hatua ya 4

    Bofya SAWA kuthibitisha au Futa kukataa.

    Ujumbe utatokea kwenye skrini yako kuthibitisha uwekwaji wa bet yako ya Jackpot.

    Kumb 1: Utashinda endapo utabiri wako wote 13 utalingana na matokeo ya michezo. Jackpot hugawiwa sawa sawa kwa washindi wote.

      • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Musa Adam
    Musa Adam
    2020-01-06T17:36:41+03:00Added an answer on January 6, 2020 at 5:36 pm
    This answer was edited.

    Kwa njia ya SMS fuata hatua hizi

    Hatua ya 1

    Jackpot ina mechi 13 zilizochaguliwa awali ambazo huchezwa katikati ya wiki

    Zawadi ya fedha kwa Jackpot huanzia TZS 200,000,000 na kiwango huendelea kuongezeka kila wiki endapo mshindi hajapatikana.

    Kuweka bet kwenye Jackpot, tuma SMS kwenda 15888 “JP” ikifuatiwa na ‘#’ kisha tabiri 13 za michezo ya Jackpot iliyochaguliwa awali.

    e.g. JP#12121XX1212X1

    Kumbuka: Hulazimiki kuweka dau kwasababu kiasi cha Jackpot ni TZS 2000.

    Hatua ya 2

    Utapokea ujumbe wa kuthibitisha kutoka 15888 ukionyesha Bet namba ya Jackpot, tabiri zote 13 ulizofanya, kiasi na salio la akaunti yako ya SportPesa.

    Kumbuka: Unashinda endapo tabiri zako zote 13 zitalingana na matokeo ya michezo

    Jackpot hugawanywa sawa sawa kwa washindi wote.

    Bonasi zinatolewa kwa tabiri sahihi 10, 11 na 12

    Unaweza kuweka bet nyingi kwenye Jackpot kadri utakavyo na kila bet itagharimu TZS 2000

    Hatua ya 3

    Bet za mchanganyiko mara mbili hufanya urahisi kuweka bet nyingi wakati mmoja badala ya kurudia mlolongo ule ule mara nyingi endapo utataka kuweka bet za Jackpot (JP) zaidi ya moja kwa njia ya sms.

    Hii inakuruhusu kuweka bet yenye tabiri mbili kwenye mchezo mmoja, kwa mpaka michezo 7 iliyopo kwenye orodha ya michezo 13 ya Jackpot katika bet moja!

    Kwa mfano: kama unataka kuweka tabiri 2 kwenye michezo 3 ya JP, utakuwa umeweka bet 8 kwa ujumla, yani 2^3 (2*2*2 = bet 8 za JP)

    Mfano JP#1X#X#2#12#2#X#X#X#X#1#1#2X#1

    Katika mfano hapo juu, tabiri 2 zipo katika mchezo wa kwanza, wa nne na wa kumi na mbili

    Bet hii ni sawa na bet 8 za JP:

    JP#1X212XXXX1121

    JP#1X222XXXX1121

    JP#1X222XXXX11X1

    JP#1X212XXXX11X1

    JP#XX212XXXX1121

    JP#XX222XXXX1121

    JP#XX212XXXX11X1

    JP#XX222XXXX11X1

      • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report

You have already answered this question.

Leave an answer
Cancel reply

You must login to add an answer.


Forgot Password?

Need An Account, Sign Up Here

Sidebar

Promo

  • Related Questions

    • Namna gani ya kuangalia beti yako kwenye biko sport

    • Nahitaji kubashiri mpira wa miguu je nifanyeje?

    • Mkekabet ni kampuni bora ya kubet?

    • Premier bet ni kampuni bora ya kubet?

    • Kwa nini nitumie Mkekabet kubet?

    • Kampuni bora ya kubashiri mpira ni ipi?

    • Namba ya simu ya SportPesa ni ipi?

    Popular Questions

    • Ni kampuni gani za kubet TZ?

    • Nawezaje kutoa pesa SportPesa kwa njia ya SMS?

    • Unajua app za kubet Tanzania?

    • Nawezaje kuweka pesa BetPawa?

    • Nawezaje kujisajili Mkekabet?

    • Nawezaje kuweka pesa SportPesa wakati wa kucheza kwa njia ya SMS?

    • Namba ya kampuni ya Premier bet ni ipi?

    • Nawezaje kutoa pesa BetPawa?

    • Nitajuaje jinsi ya kufungua account ya Betpawa?

    • Nawezaje kufuta bet kwa njia ya SMS kwenye SportPesa?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Miongozo

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.