Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Calvin Mlay

Proffesional
6
0Questions
Home» Calvin Mlay»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: May 31, 2019Kitambulisho cha Taifa

    Nawezaje kupata namba ya kitambulisho cha taifa NIDA?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Replied to answer on November 29, 2020 at 5:06 pm

    Kama taarifa zako hazipo usijaribu tena. Jaribu kuangalia katika link hii -> LINK YA KUPATA NAMBA weka taarifa zako kwa usahihi. Kama ikishindikana hapa, suluhisho pekee ni kwenda ofisi za NIDA zilizopo karibu.

    Kama taarifa zako hazipo usijaribu tena. Jaribu kuangalia katika link hii -> LINK YA KUPATA NAMBA weka taarifa zako kwa usahihi. Kama ikishindikana hapa, suluhisho pekee ni kwenda ofisi za NIDA zilizopo karibu.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: May 1, 2019Simu

    Jinsi gani ya kufungua account store?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on November 4, 2020 at 9:28 am

    Sijui unamaanisha nini haswa lakini ntajaribu kukupa jibu kwa kadri nilivyoelewa. Kama unazungumzia kufungua akaunti ya PlayStore au Ios store kama mtumiaji yani kwa ajili ya kudownload apps games na movie basi ni rahisi. Kwa Playstore ukiwa na email ya gmail kwenye simu yakop basi na store inafunguRead more

    Sijui unamaanisha nini haswa lakini ntajaribu kukupa jibu kwa kadri nilivyoelewa.

    Kama unazungumzia kufungua akaunti ya PlayStore au Ios store kama mtumiaji yani kwa ajili ya kudownload apps games na movie basi ni rahisi. Kwa Playstore ukiwa na email ya gmail kwenye simu yakop basi na store inafunguka. Kwenye ios unaingia kwenye app store unaenda sign in una create Apple id alafu unafuata maelekezo.

    Kuhusu kufungua akaunti kwa ajili ya kuweka au kuuza apps na vitu vingine link hizi apa

    PlayStore – https://play.google.com/apps/publish

    AppStore – https://appstoreconnect.apple.com/

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: May 2, 2019Ukristo

    Nitapata wapi nyimbo za Kristo za SDA church?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on November 4, 2020 at 8:54 am

    Kwa watumiaji wa simu za android, nenda tu katika PlayStore alafu andika Nyimbo za Kristo katika sehemu ya kutafuta alafu chagua app utakayoipenda. kumbuka: App yenye nyota nyingi ndiyo app yenyeuwezekano wa kuwa nzuri kulingana na maoni ya watumiaji. Au Pitia link hii https://docplayer.net/21133102Read more

    Kwa watumiaji wa simu za android, nenda tu katika PlayStore alafu andika Nyimbo za Kristo katika sehemu ya kutafuta alafu chagua app utakayoipenda.

    kumbuka: App yenye nyota nyingi ndiyo app yenyeuwezekano wa kuwa nzuri kulingana na maoni ya watumiaji.

    Au Pitia link hii https://docplayer.net/21133102-Sda-church-nyimbo-za-kristo.html then bonyeza kwenye download kuiweka kwenye kifaa chako

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: October 29, 2020

    Nawezaje kudownliad vidmate kwenye pc

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on October 31, 2020 at 11:36 am

    Vidmate haipatikani katika mfumo wa kompyuta. Kama unataka kudownload video bonteza Hapa kujua zaidi

    Vidmate haipatikani katika mfumo wa kompyuta.

    Kama unataka kudownload video bonteza Hapa kujua zaidi

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: May 1, 2019Biashara/Ujasiriamali, Internet

    YouTube wanalipa views ngapi?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on October 25, 2020 at 8:10 am

    Youtube wanalipa kwa kuonesha matangazo katika video husika hivyo kwa makadirio ni kwamba video yenye views nyingi itaweza kukuongezea pesa zaidi kwa sababu kuna uwezekano mkubwa zaidi wa kuwafikia watu wengi. Chanzo kimoja kinasema kwa wastani unaweza kupata $4.18 ~ Tsh 10,000 kwa kila views 1,000Read more

    Youtube wanalipa kwa kuonesha matangazo katika video husika hivyo kwa makadirio ni kwamba video yenye views nyingi itaweza kukuongezea pesa zaidi kwa sababu kuna uwezekano mkubwa zaidi wa kuwafikia watu wengi.

    Chanzo kimoja kinasema kwa wastani unaweza kupata $4.18 ~ Tsh 10,000 kwa kila views 1,000 za matangazo yaliyooneshwa kwenye video yako.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: April 27, 2019Internet, Kiswahili

    Naweza ku Google kwa Kiswahili?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on October 24, 2020 at 3:02 pm

    Ndio unaweza. Ni kitendo cha wewe kuandika chochote unachohitaji kwa Kiswahili na utapata matokeo kwa ajili yako. Ukiandika google.co.tz inakuja google itakayozingatia majibu yanayohusiana na lugha ya kiswahili zaidi kuliko yale ya kiingereza. Lakini hata hivyo google imetengenezwa vema kwa hiyo ukiRead more

    Ndio unaweza. Ni kitendo cha wewe kuandika chochote unachohitaji kwa Kiswahili na utapata matokeo kwa ajili yako.

    Ukiandika google.co.tz inakuja google itakayozingatia majibu yanayohusiana na lugha ya kiswahili zaidi kuliko yale ya kiingereza. Lakini hata hivyo google imetengenezwa vema kwa hiyo ukiingia google tu kwa browser yako ya kawaida ita detect nchi na itakupeleka moja kwa moja katika lugha ya kiswahili.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: March 29, 2019Elimu, Vyuo

    Unakifahamu Chuo cha Ualimu Kasulu?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on October 15, 2020 at 3:53 pm

    Sikifahamu vizuri Chuo cha Ualimu cha Kasulu lakini kwa zama hizi taarifa zote zinapatikana mtandaoni. Cheki website yao kasulutc.ac.tz

    Sikifahamu vizuri Chuo cha Ualimu cha Kasulu lakini kwa zama hizi taarifa zote zinapatikana mtandaoni. Cheki website yao kasulutc.ac.tz

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: September 19, 2020

    Game la mpira bora zaidi kwa ajili ya simu ni lipi?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on September 19, 2020 at 12:19 pm

    Gemu la mpira bora zaidi ni lipi?, linapatikana wapi?, kwa nini ni bora zaidi?. Endelea kusoma na utapata majibu ya maswali yote hayo kadri unavyoendelea. Game la mpira bora zaidi ni lipi? Dream League Soccer(DLS). Kati ya magemu yote ya mpira niliyowahi kucheza katika simu yangu  Dream League SocceRead more

    Gemu la mpira bora zaidi ni lipi?, linapatikana wapi?, kwa nini ni bora zaidi?. Endelea kusoma na utapata majibu ya maswali yote hayo kadri unavyoendelea.

    Game la mpira bora zaidi ni lipi?

    Dream League Soccer(DLS). Kati ya magemu yote ya mpira niliyowahi kucheza katika simu yangu  Dream League Soccer ndio game bora zaidi kwa vigezo nilivyokua nimeviweka.

    Kwa nini DLS ndio game bora zaidi?

    Kuna sababu nyingi zinazosababisha nitoe nafasi hii kwa DLS licha ya uwepo wa magemu mengine

    1. Unapata experience ya soka halisi kutokana na uwepo wa wachezaji halisi kabisa. Japo hii inapatikana pia katika games nyingine ila ni moja ya sababu.
    2. Linahitaji space ndogo(lina mb chache). Hauhitaji nafasi kubwa katika simu yako au kutumia kiasi kikubwa cha kifurushi chako kudownload game hili kutokana na udogo wake. Ni kama mb 300 ukilinganisha na mengine yaliyo na kama gb 1 na kuendelea
    3. Ni rahisi zaidi katika kucheza. Siongelei urahisi wa mechi bali nazungumzia kuelewa vitu unavyohitajika kufanya kama kununua au kuuza wachezaji na mengine mengi.
    4. Kuna mtiririko mzima wa mechi kuanzia mwanzo hadi mwisho. Hapa unaona matukio yote ya mechi ikianza hadi mwisho ukilinganisha na games nyingine ambazo matukio yapo kwa vipande vipande.

    Game hili linapatikana wapi?

    Sehemu bora zaidi ya kulipata game ili ni kwenye Google PlayStore. Lakini unaweza kulipata kwa kusearch tu internet au sehemu kama uptodown softonic au mobogenie store

    Kwa nini Google PlayStore?

    Kwa sababu unakuwa na uhakika wa kudownload game halisi likiwa full na usalama wa kifaa chako pia ni uhakika. Kwa kutumia njia nyingine unaweza kudownload game nusu na usijue jinsi ya ku install baadae.

    Nifanyeje ili kupata coins nyingi zaidi?

    Njia ya kwanza ni kununua coins hizo kwa pesa halali ndani ya game hilo. Lakini pia kuna njia rahisi ya kufanya hivyo bila kutumia pesa lakini sio halali, kuitumia angalia hapa.

    Game hili lina udhaifu gani?

    KIla kizuri hakikosi udhaifu. Graphics katika game hili ni za kuridhisha lakini zinazidiwa sana na game kama PES. Na pia katika swala la uhalisia wa wachezaji apo FIFA ipo juu zaidi ya DLS. KAtika gemu hili pia ni ngumu sana kutafuta hela kwa njia ya kawaida ya game.

    Sipendi DLS game gani zuri zaidi?

    Kama hutopenda chaguo hili napendekeza uchukue FIFA Football au PES Mobile

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: May 2, 2019Simu

    Nawezaje kuroot simu yangu?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on May 15, 2020 at 8:44 am

    Nini maana ya kuroot?? Kuroot simu ni kitendo cha kuifanya simu iweze kufanya mambo ambayo hayawezi kufanyika katika mfumo wa kawaida wa android. Nini faida ya kuroot simu yako? Kubadili mwandiko Kuweka custom ROM Kununua vitu bure katika apps Kufuta app zilizokuja na simu Kuondoa matangazo KuongezaRead more

    Nini maana ya kuroot??
    Kuroot simu ni kitendo cha kuifanya simu iweze kufanya mambo ambayo hayawezi kufanyika katika mfumo wa kawaida wa android.

    Nini faida ya kuroot simu yako?

    • Kubadili mwandiko
    • Kuweka custom ROM
    • Kununua vitu bure katika apps
    • Kufuta app zilizokuja na simu
    • Kuondoa matangazo
    • Kuongeza kasi ya simu
    • Kupunguza matumizi ya battery

     

    Hasara za kuroot

    • Kuondoa warranty
    • Hutoweza kupata updates na ukipata hutoweza kuziinstall
    • Uwezekano mkubwa wa kuharibu simu yako


    JINSI YA KUROOT
    Kuna njia nyingi za kuroot lakini njia hii nayoenda kukufundisha ndio njia nzuri zaidi!

    HATUA:

    • Pakua KINGROOT PAKUA HAPA
    • Hakikisha umeunganishwa na mtandao wa internet
    • Bonyeza “TRY ROOT” nasubiri mpaka itapofika 100% (Simu inaweza kuzima na kuwaka wakati wa hatua hii, ni kitu cha kawaida na hakina madhara yoyote)
    • Baada ya kumalizika utapokea ujumbe”ROOT SUCCESSFULLY” pamoja na tiki

    Hongera, umefanikiwa kuroot simu yakoEndapo umekutana na ugumu wowote, nijulishe katika sehemu ya maoni

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: February 19, 2019Simu

    Nawezaje kuangalia status ya mtu bila ya yeye kujua?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 367 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Added an answer on April 20, 2020 at 10:46 am

    1.Ingia katika application ya File Manager/File Explorer 2.Tafuta file lenye jina  >WhatsApp<  kisha ingia  >Media< (file la WhatsApp liunaweza kuwa katika Phone Storage au SD card) Phone Storage/SD card>>WhatsApp>>Media 3.Bonyeza alama ya ‘dot tatu’ kisha bonyeza  >Show HRead more

    1.Ingia katika application ya File Manager/File Explorer

    2.Tafuta file lenye jina  >WhatsApp<  kisha ingia  >Media< (file la WhatsApp liunaweza kuwa katika Phone Storage au SD card)

    Phone Storage/SD card>>WhatsApp>>Media

    3.Bonyeza alama ya ‘dot tatu’ kisha bonyeza  >Show Hidden Files< (sio simu zote zitakua na alama hii unachotakiwa kufanya ni kutafuta suhemu inayosema Show Hidden Files)

    4.Ingia katika file la >Statusses< hapo utaona status zote yaani video na picha.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2 3 … 9
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.