Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

1sky

New
5
1Question
Home» 1sky»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: May 4, 2019Simu

    Unarekodi vipi screen ya simu?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on September 20, 2020 at 12:13 pm

    Pale unapotaka kurekodi screen yako ya simu na usijue la kufanya unaweza kuwa katika wakati mgumu. Hii ndio njia rahisi ya kuweza kurekodi screen yako bila shida yoyote. Njia hii ni kwa kutumia screen recorder Hatua za kufata Ingia katika app ya Google Playstore kisha tafuta app “Lollipop Screen RecRead more

    Pale unapotaka kurekodi screen yako ya simu na usijue la kufanya unaweza kuwa katika wakati mgumu. Hii ndio njia rahisi ya kuweza kurekodi screen yako bila shida yoyote. Njia hii ni kwa kutumia screen recorder

    Hatua za kufata

    Ingia katika app ya Google Playstore kisha tafuta app “Lollipop Screen Recorder kisha install” (Unaweza kusoma njia nyingine za ku install apps hapa)

    Baada ya kudownload fungua app yako kisha bonyeza “START RECORDING”

    Endelea kurekodi kwa muda unaotaka halafu angalia katika eneo la notification halafu bonyeza STOP kwa ajili ya kusimamisha/kusave video yako

    Baada ya kurekodi video hizo zinapatikana katika faili la ‘ScreenRecordings’

    Kupiga screenshot soma hii Njia 3 rahisi za kupiga picha screen yako (screenshot)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: May 7, 2019Simu

    Nawezaje kufuta message niliyoituma WhatsApp?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on September 20, 2020 at 10:30 am

    Mtandao maarufu wenye watumiaji wengi duniani unaojulikana kama Whatsapp siku za nyuma uliongeza chaguo linalokuwezesha kufuta ujumbe uliokwishautuma. Hii inaweza kukusaidia katika nyakati mbalimbali mfano kama ulikosea au usingependa uendelee kuonekana kwa mtu au kundi(group) ulilotuma. Jinsi ya kuRead more

    Mtandao maarufu wenye watumiaji wengi duniani unaojulikana kama Whatsapp siku za nyuma uliongeza chaguo linalokuwezesha kufuta ujumbe uliokwishautuma. Hii inaweza kukusaidia katika nyakati mbalimbali mfano kama ulikosea au usingependa uendelee kuonekana kwa mtu au kundi(group) ulilotuma.

    Jinsi ya kufuta.

    1.Ingia katika sehemu yenye ujumbe unaotaka kuufuta.

    2.Shikilia kwa muda kdogo ujumbe unaotaka kuufuta mpaka uwe na kivuli(highlited).

    3.Bonyeza alama ya kufuta inayoonekana upande wa juu.

    4.Yatakuja machaguo matatu chagua DELETE FOR ME kama utataka ifutike kwako tu, chagua CANCEL kuahirisha au  DELETE FOR EVERYONE ili kufuta kwako na kwa aliyetumiwa kama maneno yanavyojieleza katika lugha ya kiingereza.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: May 7, 2019Kompyuta, Simu

    Nawezaje kutuma vitu kutoka kwenye kompyuta kwenda katika simu?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on September 20, 2020 at 9:40 am

    KUTUMA VITU KWENYE KOMPYUTA NA SIMU YAKO. KWA KUFUATA HATUA CHACHE UTAKUA UMEWEZA KUTUMA VITU KATIKA KOMPYUTA YAKO NA SIMU YAKO. Fungua bluetooth kwenye simu yako na hakikisha inaweza kuonekana. Kisha fungua bluetooth ya kompyuta yako. Baada ya hapo bonyeza window button kisha chagua control panel.Read more

    KUTUMA VITU KWENYE KOMPYUTA NA SIMU YAKO.
    KWA KUFUATA HATUA CHACHE UTAKUA UMEWEZA KUTUMA VITU KATIKA KOMPYUTA YAKO NA SIMU YAKO.

    • Fungua bluetooth kwenye simu yako na hakikisha inaweza kuonekana.
    • Kisha fungua bluetooth ya kompyuta yako.
    • Baada ya hapo bonyeza window button kisha chagua control panel.
    • Kisha bonyeza sehemu imeandikwa HARDWARE AND SOUND.
    • Kisha chagua add a device.
    • Hapa windows itaendelea kutafuta hadi bluetooth yako ionekane.
    • Baada ya bluetooth kuonekana utabonyeza kwenye hiyo bluetooth alafu next.
    • Zitakuja “compare pairing codes between your computer and this device”
    • Chagua YES kisha bonyeza NEXT.
    • Hapa simu yako itapokea ujumbe “bluetooth pairing request”
    • Angalia hizo codes kama zinafanana na kwenye kompyuta yako.
    • Kisha bonyeza “Accept”.
    • Sasa simu yako tayari imeunganishwa na kompyuta yako.
    • Bonyeza “close” kukamilisha hatua zako.
    • Kuona kama simu yako imeunganishwa bonyeza control panel>>view devices and printers.
    • Sasa unaweza kufungua folder lako mahali ambapo kuna vitu unavyotaka kutuma.
    • Right click file unalotaka kutuma kisha chagua send by bluetooth to>>others device.
    • Chagua simu yako kisha bonyeza next.
    • Sasa kompyuta yako inatuma kitu ulichotaka kutuma.

    KUMBUKA:SPEED YA KUTUMA AU KUPOKEA VITU KATIKA KOMPYUTA INATEGEMEA NA AINA YA SIMU NA KOMPYUTA YENYEWE.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: May 7, 2019Simu

    Nawezaje kufunga tatizo la “unfortunately app has stopped”?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on September 19, 2020 at 12:33 pm

    Umewahi kukutana na ujumbe unaosema unfortunately app has stopped?. Najua ni wengi mliokutana na hili tatizo la unfortunately app has stopped katika simu zenu za mkononi[smartphone]. Kwa kufuata njia kama zilivyoelekezwa hapo chini utakua umetibu tatizo hilo la simu. Fungua SETTINGS>APPLICATION MRead more

    Umewahi kukutana na ujumbe unaosema unfortunately app has stopped?. Najua ni wengi mliokutana na hili tatizo la unfortunately app has stopped katika simu zenu za mkononi[smartphone]. Kwa kufuata njia kama zilivyoelekezwa hapo chini utakua umetibu tatizo hilo la simu.

    Fungua
    SETTINGS>APPLICATION MANAGER>ALL APPS>OPTIONS>RESET APP PREFERENCES. Baada ya kubonyeza kwa kufuata mfululizo ulioonekana hapo juu itatokea kama hivi. Bonyeza reset apps.

    Baada ya kufungua kama ilivyo hapo juu utachagua iyo application iliyokua stopped kwa kuibonyeza itafunguka alafu utabonyeza CLEAR CACHE>CLEAR DATA. Hapo application yako iliyokua inasumbua itakaa vizuri na kurudi kama ilivyokua mwanzo. Baada kubonyeza kama inavyoonekana hapo juu kwa kuanza na clear cache alafu ikifatiwa na clear data itaonekana kama hapo chini kwenye picha. Kisha bonyeza OK.
     

     

    KUMBUKA:Hakuna application itakayofutwa zote zinabaki sawa sawa.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: July 23, 2020

    Uchumba nini

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on July 23, 2020 at 9:33 pm

    Jibu liko https://mojasky.com/uchumba-ni-nini/

    Jibu liko https://mojasky.com/uchumba-ni-nini/

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: March 11, 2020

    Mfano wa Swali?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on March 11, 2020 at 4:31 pm

    Aliquam consequat, risus ut aliquam gravida, ex turpis lacinia velit, in suscipit est quam eget nibh. Fusce blandit at risus non tempus. Aliquam eu imperdiet lacus. Duis at vestibulum risus. Nullam tincidunt sem ac nisl porttitor, vitae egestas magna hendrerit. Ut pellentesque nisi vel est euismod,Read more

    Aliquam consequat, risus ut aliquam gravida, ex turpis lacinia velit, in suscipit est quam eget nibh. Fusce blandit at risus non tempus. Aliquam eu imperdiet lacus. Duis at vestibulum risus. Nullam tincidunt sem ac nisl porttitor, vitae egestas magna hendrerit. Ut pellentesque nisi vel est euismod, vel aliquam felis aliquet. Etiam mollis mollis odio, in convallis urna dictum vitae. In fermentum tempus sagittis.

    Morbi tincidunt ultrices mi a laoreet. Maecenas congue erat et laoreet lobortis. Nunc ut lectus augue. Mauris faucibus mauris eget nulla cursus maximus. Integer egestas metus sed leo aliquet, nec posuere est elementum. Praesent dolor ligula, ultricies cursus dapibus id, viverra vitae eros. In viverra sed enim quis rhoncus. Duis dapibus eu mauris ut varius.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: March 11, 2020

    Mfano wa Swali?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on March 11, 2020 at 4:27 pm

    Aliquam consequat, risus ut aliquam gravida, ex turpis lacinia velit, in suscipit est quam eget nibh. Fusce blandit at risus non tempus. Aliquam eu imperdiet lacus. Duis at vestibulum risus. Nullam tincidunt sem ac nisl porttitor, vitae egestas magna hendrerit. Ut pellentesque nisi vel est euismod,Read more

    Aliquam consequat, risus ut aliquam gravida, ex turpis lacinia velit, in suscipit est quam eget nibh. Fusce blandit at risus non tempus. Aliquam eu imperdiet lacus. Duis at vestibulum risus. Nullam tincidunt sem ac nisl porttitor, vitae egestas magna hendrerit. Ut pellentesque nisi vel est euismod, vel aliquam felis aliquet. Etiam mollis mollis odio, in convallis urna dictum vitae. In fermentum tempus sagittis. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipiscing elit. Suspendisse potenti. Cras id consequat tortor. Nullam gravida sagittis libero et aliquet. Proin maximus aliquam eros, at placerat dui tempus eget. Morbi suscipit mollis nisl sed rhoncus. Nunc non diam nibh. Aliquam vitae aliquam turpis.

    Morbi tincidunt ultrices mi a laoreet. Maecenas congue erat et laoreet lobortis. N

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: August 18, 2019Kitambulisho cha Taifa

    Nitapata wapi fomu ya NIDA katika mfumo wa PDF?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on January 23, 2020 at 6:39 am

    Kupata fomu ya Kitambulisho cha Taifa NIDA tumia link hii NIDA PDF

    Kupata fomu ya Kitambulisho cha Taifa NIDA tumia link hii NIDA PDF

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: January 21, 2020Maana za Maneno

    Saikolojia ni nini?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on January 21, 2020 at 7:27 am

    SAIKOLOJIA ni neno lililotoholewa kutoka neno la kiingereza psychology, si elimu inayoeleweka sana katika jamii yetu. Asili ya 'psychology' ni neno 'psyche' lenye maana ya nafsi. Neno kuu linalobeba dhana ya saikolojia ni tabia. Tunapozungumzia tabia, tuna maana ya matendo, miitikio au mienendo inayRead more

    SAIKOLOJIA ni neno lililotoholewa kutoka neno la kiingereza psychology, si elimu inayoeleweka sana katika jamii yetu. Asili ya ‘psychology’ ni neno ‘psyche’ lenye maana ya nafsi.

    Neno kuu linalobeba dhana ya saikolojia ni tabia. Tunapozungumzia tabia, tuna maana ya matendo, miitikio au mienendo inayoweza kuonekana wazi, kupimwa na hata kuchunguzika kwa kufuata misingi ya kisayansi. Kwa maana hiyo, saikolojia ni sayansi ya kuchunguza tabia, mitazamo, imani walizonazo watu na namna inavyoathiri wayatendayo.

    Kwa hiyo, tunapozungumzia saikolojia, kimsingi tunazungumzia msingi wa tabia zetu na jinsi tabia hizo zinavyojiumba kwa maana ya namna zinavyoanzia mbali kwenye ufahamu kisha kuhamia kwenye mitazamo ambayo ndiyo huzaa matendo yanayoonekana na ambayo tunayaita tabia.Tabia hii, kama tulivyoona, huchunguzwa kwa kutumia majaribio ya kisayansi na wala sio hisia, maoni au bashiri za kimazoea.

    chanzo – Bwaya blog

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: January 11, 2020Wazazi

    Nifanyeje ili mtoto wangu anisikilize na kuniamini?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Added an answer on January 11, 2020 at 9:47 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    TAFITI zinaonesha kwamba watoto wengi  ni 'mayatima' wenye wazazi tunaoishi lakini hatupo kwenye maisha yao. Wazazi tupo lakini hatuna muda wa kujua hisia zao, fadhaa zao, maoni yao, hofu zao na hata matumaini yao. Aidha, tafiti hizo hizo zinasema wazazi wengi tunatumia muda mwingi na watoto wetu amRead more

    TAFITI zinaonesha kwamba watoto wengi  ni ‘mayatima’ wenye wazazi tunaoishi lakini hatupo kwenye maisha yao. Wazazi tupo lakini hatuna muda wa kujua hisia zao, fadhaa zao, maoni yao, hofu zao na hata matumaini yao. Aidha, tafiti hizo hizo zinasema wazazi wengi tunatumia muda mwingi na watoto wetu ama kuwaonya, kuwakosoa ama kuwapa hotuba/maagizo ya ‘fanya hivi, acha hiki’ kuliko tunavyowasaidia kujenga mahusiano ya moja kwa moja kati yetu na watoto.

     

    ‘Elimu ya kujitegemea’ inavyowaathiri watoto

    Wazazi wengi tunasubiri watoto ‘wapate akili’ ili tuanze dozi rasmi ya mihadhara ya maagizo, maelekezo, makanyo, maonyo na kadhalika, tukiamini mtoto hujifunza kwa mafundisho rasmi. Wakati mwingine tunaamini fimbo ndilo jibu la tabia njema ya mtoto. Tunatumia na vifungu vya biblia, ‘Usimnyime mtoto mapigo/fimbo’. Na tunawachapa kweli tukitarajia heshima na adabu.

     

    Mtoto huyu anapofikia umri wa kuanza kufanya mambo yake kwa uhuru kwa kutumia elimu hiyo aliyoipata kwa mfumo wa kujitegemea tangu amezaliwa , tena bila ‘ukaguzi’ wa mzazi, ndipo mzazi hukumbuka ‘shuka asubuhi’. Huurejea wajibu wake na huanza jitihada za kutafuta/kulazimisha urafiki na mtoto wakati ambao mtoto hana haja na urafiki huo. Too late wanasema wazungu. Shughuli pekee inayoweza kufanyika kwa ufanisi katika kipindi hiki kizito ni kulalamika, kufoka na kuadhibu, mahusiano ambayo kwa hakika huongeza umbali wa mawasiliano baina ya mtoto na mzazi. Mzazi humwona mtoto ameasi, na mtoto humwona mzazi anajipendekeza na kumfuata fuata.

     

    Tuyape malezi uzito unaostahili

    Ili kukwepa fedheha ya kulazimisha urafiki na mtoto hapo baadae, tunashauriwa sisi kama wazazi tuyape malezi uzito unaostahili kuanzia pale tunapofikiria kupata mtoto. Na kwa kweli malezi ndiyo fursa pekee ya mtu kubadili maisha ya mtu mwingine vile apendavyo. Fursa hii huwezi kuipata hata kwa mwenzi/mpenzi wako maana katika mahusiano ya ukubwani kinachotokea zaidi ni kuchukuliana na sio kubadilishana tabia. Kwa hiyo kama kuna fursa pekee ya kubadili mtu katika dunia hii ni malezi. Tuitumie.

     

    Tupatikane kwa watoto, tuwasiliane na mioyo yao mapema

    Hatuwezi kuwasiliana na moyo wa mtoto pasipo kupatikana. Kuwa nao, kucheza nao, kutembelea nao, kuzungumza nao na mambo yanayofanana na hayo huhakikisha tunaweka alama njema ya kudumu katika maisha ya mtoto. Kupatikana na kuwasiliana na moyo wa mtoto ni muhimu kuanze tangu anapozaliwa au hata anapohesabu majuma tumboni mwa mama.

     

    Hivi kwa jinsi maisha yalivyobana namna hii, wazazi tunapata hata dakika hizo kumi kwa siku kukaa na wanetu na kuwasikiliza na kuwasiliana nao kirafiki ukiacha kuonya na kuadhibu? Wengine tunaishi Dar es Salaam kikazi, watoto wako kwa bibi yao! Si ajabu hatufanikiwi kuwa na influence yoyote kwa watoto. Wakianza kufanya vitu vyao, tunaishia kulalamika ‘watoto wa siku hizi wameharibika.’

     

    Tuwe vile tunavyotaka watoto wawe

    Mtoto hujifunza kwa kiasi kikubwa kupitia kile kinachofanywa na watu wake muhimu wanaomzunguka. Ni muhimu kufanya kile tunachotaka mtoto akifanye. Tuwe na tabia na imani tunazotaka kuzihamisha kwa mtoto. Mathalani, kama ninatamani mtoto awe msomaji wa vitabu, ni lazima nihakikishe ninajenga mazingira ya usomaji nyumbani kwa kuonesha mfano mimi mwenyewe. Mtoto anakua akijua maisha ni kusoma. Na sihitaji kumwandalia somo la ‘umuhimu wa kusoma vitabu’ ili ajenge tabia ya kusoma. Nafanya ninachotaka afanye. Aone nikifanya ibada kama ningependa awe mwombaji na yeye. Niwe na upendo kwake na mke wangu kama ninataka awe mtu wa upendo kwa watu.

     

    Tuwapende watoto, wajisikie kukubalika

    Ninapompenda mtoto vile alivyo bila kujali alichokifanya ninamfanya aelewe maana ya upendo na aniamini. Simpendi ili nimdai tabia njema. Hapana. Nampenda hata anapokosea. Nampenda kwa sababu ni mwanangu apatie au akosee. Na wala si kumdekeza. Wakati mwingine tunakosea kama wazazi. Tunawapenda watoto kama malipo ya tabia njema. Na wakati mwingine hatufichi, tunawaambia waziwazi kuwa tutawapenda kama watafanya tulichowaagiza kukifanya. Tutawapa zawadi wakifanya vizuri. Conditions.

     

    Tushughulike na msongo wa nafsi zetu kwanza

    Kazi ya kulea inahitaji nafsi iliyotulia. Nafsi isiyotafuta amani kwa kuumiza wengine. Ninapokuwa mzazi mwenye nafsi iliyosongwa na matatizo siwezi kutekeleza ipasavyo jukumu nyeti la malezi yatakayomjenga mtoto anayejitambua, anayejiamini na atakayekabiliana na changamoto za maisha ya ukubwani. Nitajikuta nikimtumia mtoto kama dodoki la kufyoza ugonjwa unaoisumbua nafsi yangu. Nitakuwa mwepesi, pasipo mimi kujua, kusema maneno magumu yasiyolingana na umri wa mtoto. Nitajisikia kuridhika kumfanya mtoto alie na kukosa amani. Nitaadhibu na kukemea kuliko ninavyowajibika kujenga imani, mitazamo na tabia njema.

     

    Kusoma chapisho hili kwa urefu zaidi tembelea HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.