Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30001
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 19, 20192019-02-19T09:53:51+03:00 2019-02-19T09:53:51+03:00Biashara/Ujasiriamali, Simu

Whatsapp inapataje faida?

Whatsapp inapataje faida?
  • 1
  • 870
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 437 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-04-08T09:23:05+03:00Jibu - April 8, 2020 saa 9:23 am

    WhatsApp iligunduliwa mwaka 2009 na Brian Acton na Jan Koum na baadae kuamua kuiuza kwa Facebook, hivyo inamilikiwa na facebook ambayo pia inamiliki mesenger na instagram. Baadhi ya watu wanasema kuwa lengo kubwa zaidi la kuinunua whatsapp halikuwa kupata faida bali ni kuondoa kwanza ushindani kati yake na facebook messenger.

    Kipindi cha nyuma whatsapp ilianza kuchaji kiasi cha 1$(kama 2300 za Tanzania) kwa kila mwaka baada ya mwaka mmoja wa bure, baada ya muda fulani waliamua kuachana na ilo.

    bure

    Msemo fulani(sijui aliyesema) uliwahi kusema “kama haulipii huduma wewe sio mteja, wewe ni bidhaa inayouzwa” kwa kuangalia msemo huu inamaanisha nini? kuna uwezekano mkubwa whatsapp inatengeneza faida kwa kutumia data zinazotokana na chat za watu kwenye mtandao wao na baadaye kuzitumia kwenye mtandao wao wa facebook kuonesha matangazo.

    Umewahi kujiuliza kwa nini ukiingia facebook unaona matangazo kutokana na vitu unavyovipenda? ilo linaweza kuwa jibu.

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.