Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Questions»Q 34663
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 15, 20202020-01-15T10:28:07+03:00 2020-01-15T10:28:07+03:00In: Mapenzi, Wanaume

Wanaume wanahitaji nini katika mahusiano?

Wanaume wanahitaji nini katika mahusiano?
  • 1
  • 585
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Answer
  • Report
Adv

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Jose Mandingo

    Jose Mandingo

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 35 Answers
    • 0 Best Answers
    • 182 Points
    View Profile
    Jose Mandingo Advanced
    2020-01-15T10:37:35+03:00Added an answer on January 15, 2020 at 10:37 am

    Mwanaume anahitaji mambo haya kutoka kwa mwanamke

     
    Kutambuliwa uwezo wake
    Kama unatamani mwanaume umpendaye aanze (aendelee) kuvutiwa na wewe, chukua hatua ya kubaini vitu vya pekee alivyonavyo na onesha  kwa dhati kuwa unavitambua. Kwa kawaida kila mwanaume anayo maeneo yake anayoyaweza vizuri kuliko wengine.
     
    Anahitaji kuheshimiwa
    Kwa mwanaume hitaji la kuheshimiwa ni kubwa zaidi. Tunapozungumzia heshima kwa mwanaume, katika mazingira yetu, tunamaanisha hali ya kutamani kujiona yu na hadhi ya juu, yu na mamlaka zaidi pengine kuliko mwanamke. Kinyume chake ni kudharauliwa, kuwekwa katika mazingira ya kujiona hana hadhi, hana mamlaka, asiye na kauli wala uwezo kufanya lolote bila mwongozo wa mwanamke.
     
    Anatamani kusikilizwa, sio kukosolewa
    Wanaume wengi hawapendi kukosolewa hata kama hawasemi. Unapomkosoa mwanaume unamfanya apoteze hali ya kujiamini na hivyo hujisikia kama mtu anayeongozwa. Si wanaume wengi hufurahia kuongozwa. Kinyume na kumkosoa, ifanye sauti yake isikike.
     
    Anahitaji uhuru, faragha
    Uhuru na faragha kwa hakika ni kinyume kabisa na kile ambacho wanawake wanakihitaji kama tutakavyoona mbeleni. Lakini kwa mwanaume, ukweli ni kuwa anahitaji kujiona ni mtu mwenye uhuru wa kufanya mambo anayoyafurahia bila kuambiwa kingine cha tofauti anapaswa kukifanya.
     
    Mbinafsi anayevutiwa na mwili
    Ikiwa unataka kumwutia mwanaume, hakikisha unaendelea kumvutia kimwili. Fahamu kinachomvutia na jitahidi kujiweka katika namna anayoitarajia. Kosa kubwa wanalolifanya wanawake wengi ni kujisahau mara wanapoolewa. Unaposahau kuendelea kuwa vile ulivyokuwa kabla ya ndoa, unachochea ubinafsi wa mwanaume.
     
    Mfanye ajione anahitajika
    Jaribio lolote la kumwonesha mwanaume kuwa hata asipokuwepo, hata asipofanya chochote, hata asipotoa wazo lolote, hakuna kitakachoharibika linaweza kumfanya ‘akahujumu’ mahusiano. Kumfanya ajione hahitajiki, kunaathiri kiburi chake cha uanaume (ego) na inaweza kuwa mwanzo wa matatizo.
     
    Hapendi kubadilishwa
    Ukitaka mwanaume afuate yale unayotaka ayafanye, mkubali vile alivyo na ajue umempokea bila masharti. Kukubaliwa ni motisha ya kubadilika. Hiyo ndio kanuni. Mume wako anapojua pamoja na mapungufu yake bado umemkubali alivyo, kubadilika ni suala la muda.
    Kama utapenda kusoma kwa urefu zaidi INGIA HAPA

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Browse

Adv

Sidebar

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.