Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34610
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 13, 20202020-01-13T13:53:06+03:00 2020-01-13T13:53:06+03:00Maji

Vitu gani vya kujua kabla ya kuweka bomba la maji nyumbani?

Vitu gani vya kujua kabla ya kuweka bomba la maji nyumbani?
  • 1
  • 252
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-13T13:55:37+03:00Jibu - January 13, 2020 saa 1:55 pm

    Huduma ya maji ni muhimu sana kwa maisha – tunatumia maji kwa kunywa, kunawa, kupikia na kumwagilia mimea. Bila maji mimea, wanyama na watu watakufa. Upatikanaji wa maji hutolewa na taasisi za umma, mashirika ya biashara, juhudi za jamii au watu binafsi.

    Serikali kupitia tovuti yao wameweka haya wazi

    Taratibu:

    • Nenda kwenye ofisi ya ugavi wa maji iliyo karibu yako ukiwa na kitambulisho.
    • Jaza Fomu ya Maombi katika ofisi za ugavi wa maji kuomba kuunganishwa maji.
    • Ofisa wa kanda atapima eneo/majengo yako na kukupatia makisio ya gharama.
    • Mwombaji atarajie kuunganishiwa huduma ya maji katika kipindi cha siku 14 baada ya kukamilisha malipo ya ada /gharama ya kuunganishiwa maji
    • Kila mteja ahakikishe ameungiwa dira ya maji
    • Ankara ya kwanza ya mteja itamfikia mwezi mmoja baada ya kuunganishiwa maji
    • Picha mbili za pasipoti

     

    Gharama za uunganishaji maji.

    • Gharama za vifaa
    • Uchimbaji na ufukiaji
    • Gharama za usimamizi
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Taratibu za serikali za kuchimba kisima zikoje?

    • Kuna chuo cha maji Dodoma?

    • Namba ya kampuni ya DAWASCO ni ipi?

    • Maji yanayotengenezwa viwandani ni pure?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.