Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 35379
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 25, 20202020-02-25T00:13:11+03:00 2020-02-25T00:13:11+03:00

Utaratibu wa kusajili jina la biashara ukoje?

Utaratibu wa kusajili jina la biashara ukoje?
  • 1
  • 246
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 437 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-02-25T00:16:34+03:00Jibu - February 25, 2020 saa 12:16 am

    Jina la biashara ni jina ambalo mtu au vyombo vingine vya kisheria, huuzia biashara. Jina hilo si kama linakutambulisha wewe na wateja wako tu, hukuwezesha pia kutofautisha na washindani wako kuonyesha msisimko wa biashara yako. Kwa biashara nyingi, jina mara ni rasilimali ya thamani kubwa sana.

    Masharti:

    • Mwombaji ni lazima sjaze fomu ya maombi ya kusajili jina la biashara:
      • Kwa mtu mmoja mmoja, jaza fomu namba 3
      • Kwa ubia, jaza fomu namba 2
      • Kwa shirika, jaza fomu namba 8.
    • BRELA hufanya utafutaji na uhakiki wa majina
    • Huthibitisha au kukataa ombi
    • Mwombaji hulipa ada zifuatazo:
      • Ada ya maombi y ash.5,000/=
      • Ada ya matunzo y ash. 1,000/= (hulipwa kila mwaka)
      • Ada ya utafutaji na uhakiki sh. 1,000/=
      • Mwombaji hupewa cheti na udondozi atakaotumia mwombajikufungulia akaunti.

     

    Kubadili Jina La Biashara

    • Mwombaji anajaza fomu namba 6
    • Baada ya kulipa ada zinazostahili, cheti cha kubadili jina kinatolewa pamoja na udondozi mpya.

     

    Kubatilisha Matumizi Ya Jina La Biashara

    • Mwombaji anajaza fomu Nam. BN7 (fomu ya kukoma/kuacha kwa muda)
    • Ataambatisha cheti cha usajili halisi
    • Atalipa ada ya kukoma/ kuacha kwa muda ya sh. 1,500/=

     

    Zingatia:  Ada zote zilizotajwa zinaweza kupitiwa upya kila baada ya muda.

    kutoka tovuti kuu ya serikali

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.