Uovu ni nini?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Uovu ni jambo ambalo ni baya sana kimaadili. Mara nyingi humaanisha jambo linalodhuru, lenye nia mbovu, au lenye uvutano unaoharibu.
Maana nyingine kwa kuangalia katika Biblia, uovu ni dhambi iliyokomaa na kuwa ya kujirudiarudia kwa mhusika
Isaya 59:2 ” lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na MUNGU wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.”