Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30970
In Process
Adv
Anonymous
Asked: April 24, 20192019-04-24T08:31:16+03:00 2019-04-24T08:31:16+03:00SMS, Vichekesho

Unazo SMS kali za vichekesho?

Unazo SMS kali za vichekesho?
  • 1
  • 1,375
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 248 Points
    View Profile
    Faustine John Advanced
    2020-03-18T11:12:00+03:00Jibu - March 18, 2020 saa 11:12 am

    Chukua hizi apa


    Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
    akamwambia kwa ukali
    “Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
    zako na……..

    Kabla hajamalizia sentensi simu
    ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
    Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
    jamaa anasikia

    “Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
    nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
    20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
    Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
    ana mradi mwingine nimpe hela kidogo”.Baada
    ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
    akamuuliza,”eeenhee!!! ulikuwa unasema
    umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
    iweje? Jamaa kwa upole akajibu “Nilikuwa
    nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue”.

    😂😂 😂 😂😂


    Pale unapokuwa umefulia sana…

    Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee 😂😂😂😂😂😂😂😂

    😂😂 😂 😂😂


    Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza “Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

    Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza “are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!


    GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
    BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
    GIRL: Enhee…
    BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng’ombe napeleka kwa babu yako
    GIRL: Ooh baby u care..
    BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
    GIRL: Baby u are awesome…
    BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
    GIRL: Enhee…na sisi??

    BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
    Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
    GIRL: Baby I love you
    BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
    GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
    BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo


    NAMNA WAZAZI WANAVYOONGEA NA MABINTI
    ZAO KATIKA UMRI TOFAUTI!

    Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
    Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
    Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
    Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
    Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
    kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
    Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
    anaombea unaweza kupata mchumba
    Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
    Miaka 39: We will take care of all the wedding
    bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
    Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

    😂😂😂 changamkia fulsa umri ukifika

    😂😂 😂 😂😂


    Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
    MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
    duniani?
    BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
    Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
    wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
    akamfuta mamake)
    MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
    duniani?
    MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
    manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
    kwa baba)
    MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
    manyani mwanzo?Au wanidanganya?
    BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
    wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo wao😂😂🚶🏼🚶🏼🚶🏼


    Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo.
    Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal:
    Jamaa: dada mi nakupenda saana
    Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
    Jamaa: nipe nafasi uwe msimamizi wa serikali ya moyo wangu…
    Dem: niache…
    Jamaa: kweli nakupenda mpnz
    Dem: (kwa sauti kubwa) nmesema NIACHEEEE!!
    Watu wote kanisani wakageuka… Jamaa kaona noma na ili atulize msala
    Jamaa: sikuachi hadi ukiri YESU kuwa Bwana na mwokozi wa Maisha yako.

    😂😂 😂 😂😂

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    • SMS gani ya msichana mwema ni nzuri?

    • Nini kirefu cha SMS?

    • Nitapata wapi text za kusisimua?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.