Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30085
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 22, 20192019-02-22T11:28:14+03:00 2019-02-22T11:28:14+03:00Siasa, Tanzania

Unazionaje siasa za Tanzania?

Unazionaje siasa za Tanzania?
  • 1
  • 471
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Paschal Aidan Lihumbo
    2019-06-23T16:24:28+03:00Jibu - June 23, 2019 saa 4:24 pm

    siasa ya Tanzania ishaanza kuwa komavu kwani imeshatoka katika kuamini kuwa siasa ni kuzodoana na badala yake kuwa chombo hasa cha kukosoa ili kujenga jamii inayoamini katika misingi chanya ya kuielewa ni nini hasa maana ya siasa safi. Siasa safi ni ile inayotaka hasa maendeleo ya watu na si mtu. Tanzania imeelewa sasa kuwa siasa ni maisha na si propaganda hasi. penye siasa safi kuna maendeleo mazuri ya kiuchumi na kijamii. Na hicho ndicho kinachojidhihirisha sasa katika siasa ya sasa ya Tanzania. Mataifa mengi makubwa yamejaribu na kufanikiwa kuziangusha siasa safi za nchi nyingi za Afrika na kuwaaminisha waafrika kuwa wanatawaliwa kimabavu ili na ili tu kuleta machafuko. Tanzania iligundua hilo mara tu baada ya uongozi huu wa awamu ya tano kuingia madarakani na kanza kutoa elimu kwa wananchi wake kupitia vyombo vya habari na hata mikusanyiko ya kisiasa. I personally see Tanzania’s politics has reached to its real desirable peak. It is in our side now whether to construct it or destruct it. THANK YOU IN ADVANCE

    • 2
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Taratibu za kuanzisha chama za siasa ziko vipi?

    • Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?

    • Taratibu za serikali za kuchimba kisima zikoje?

    • Namba ya zimamoto Tanzania ni ipi?

    • Namba ya Polisi Tanzania ni ipi?

    • Historia ya TAKUKURU ikoje?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.