Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 33416
In Process
Adv
Anonymous
Asked: October 26, 20192019-10-26T09:31:12+03:00 2019-10-26T09:31:12+03:00

Unamuelezeaje Diamond Platnumz

Unamuelezeaje Diamond Platnumz
  • 1
  • 320
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 248 Points
    View Profile
    Faustine John Advanced
    2019-11-04T11:41:56+03:00Jibu - November 4, 2019 saa 11:41 am

    Diamond ana kipaji. Wengi watasema kwamba ooh jamaa hana kipaji ni bahati lakini mimi nasema huyu bwana ana kipaji sana cha kuimba na zaidi ya hicho pia anajua sana kucheza

    Diamond ana nidhamu. Nidhamu ninayoizungumzia apa ni nidhamu ya kazi. Anaonekana ni mtu ambaye hataki utani linapokuja swala la kazi. Anajitahidi sana na ukitaka kuhakikisha hilo angalia video zake za behind the scene.

    Mengine ni kwamba ana uwezo wa biashara, ana pesa nyingi, haogopi kufata ndoto zake, anaweasaidia vijana wengine anaonekana kukomaa kaika fani yake.

    Sisemi kuwa hana mapungufu, anayo mengi tu kwa sababu yeye ni binadamu kama wengine ila nimechagua kutaja sifa zile zilizo nzuri ili tujifunze kupitia hizo.

     

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.