Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31105
In Process
Adv
Anonymous
Asked: May 1, 20192019-05-01T09:40:15+03:00 2019-05-01T09:40:15+03:00Kompyuta

Unajua jinsi ya kupiga window PC?

Unajua jinsi ya kupiga window PC?
  • 1
  • 1,446
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Hassan
    2019-12-19T06:29:22+03:00Jibu - December 19, 2019 saa 6:29 am

    Hapana sijui, ila labda hii inaweza kukusaidia

    MAMBO YA MUHIMU YA KUZINGATIA

    Kabla ya kuinstall Windows 10 kwenye kompyuta yako yapo baadhi ya mambo ya kuzingatia, mambo haya yanatofautina kulingana na hali ya kompyuta yako hivyo ni vyema kama ukisoma mambo yote yaliyipo kwenye sehemu hii.

    Jambo la kwanza, unatakiwa kuhakikisha unakuwa na programu ya Windows 10 kwaajili ya kuinstall kwenye kompyuta yako. Hapa ningependa kukushauri kuwa na Flash yenye programu hiyo kuliko kuwa na CD, kwani mara nyingi CD zinakuwa ni rahisi kupata michubuko na hivyo unaweza kukwama unapokuwa una install Windows kwenye kompyuta yako.

    Jambo la pili, unatakiwa kujua kama kompyuta yako inayo Windows au Haina, hili ni muhimu kwani kuna watu unakuta tayari kompyuta zao zinayo programu ya Windows hivyo wanataka kuweka toleo jipya la Windows au kufuta lile la zamani na kuweka toleo jipya, kama unataka kufuta toleo la zamani ni vyema kufanya hivyo wakati una install windows kwani hii itakuwa ni rahisi zaidi.

    Jambo la tatu, hakikisha kama unatumia laptop basi laptop yako ina chaji kwa kiwango fulani pia kama ni muhimu jaribu kuhakikisha laptop hiyo imechomekwa kwenye chaji. Kama unatumia desktop hakikisha unakuwa na uhakika kuhusu tatizo la umeme kwani kuna wakati kukitokea tatizo la umeme basi unaweza kuharibu hatua nzima na kujikuta una anza upya.

    JINSI YA KUNSTALL WINDOWS

    Kama tayari unavyo vitu vyote sasa twende hatua kwa hatua tukajifunze jinsi ya kunstall Windows kwenye kompyuta yako.

    Chomeka USB au CD iliyokuwa na Windows hakikisha kompyuta yako imezimwa (kama unatumia CD weka kwanza CD kisha zima kompyuta yako au Restart), baada ya kuchomeka washa kompyuta yako kisha bofya kitufe chenye kusema boot on chagua CD kama unatumia CD na chagua USB kama unatumia USB.

    Baada ya kompyuta kuwaka utaona Screen ya Blue ikitaka uchague lugha ambayo ungependelea kutumia, Chagua English kisha endelea kwenye hatua inayofuata.

    Baada ya hapo utaona kitufe cha Install bofya hapo kuendendelea.

    Baada ya hapo unachotakiwa kufanya ni kuweka KEY za programu ya Windows ambayo unataka kuweka kwenye kompyuta yako, kumbuka KEY hizi ni kama leseni hivyo ni muhimu kuwa nazo kabla ya kuamua kuanza process nzima.

    Baada ya kuweka KEY na kubofya NEXT sasa ni wakati wa kukubali vigezo na masharti bofya ACCEPT iliyopo chini upande wa kulia.

    Hatua inayofuata ni muhimu sana kwani hapa ndipo pale ambapo unaweza kuchagua kati ya kuweka Windows upya kwenye kompyuta yako au kupandisha toleo jipya la Windows. Kama unataka kuweka toleo jipya basi itakubidi kuchagua CUSTOM : na kama unataka tu kuweka toleo jipya basi chagua sehemu ya UPGRADE :

    Unapo chagua sehemu ya CUSTOM utapelekwa kwenye ukurasa mpya ambapo unatakiwa ku-format partition unayotaka kuweka Windows, Chagua partition kisha bofya Format iliyopo chini.

    Baada ya hapo utapelewa sasa kwenye ukurasa wa kuinstall Windows na utaona Windows imeanza kuinstall, Subiri kwa muda kisha endelea kwenye hatua zinazofuata.

    Baada ya kukamilika utatakiwa kuseti kompyuta yako, bofya kitufe cha USE EXPERSS SETTINGS kuseti kompyuta yako kwa haraka.

    Hadi hapo utakuwa umemaliza kuinstall Windows 10 kwenye kompyuta yako, Kama una swali au kuna mahali umekwama usiache kuuliza hapo chini.

    Kujifunza kwa kina zaidi(Kuna picha zinazoelekeza vema zaidi)

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje ku download app store kwenye PC?

    • Nawezaje ku install Gmail kwenye PC?

    • Programu nzuri ya kuedit picha kwenye PC ni ipi?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Nawezaje ku download Android Studio?

    • Nawezaje kufuta history ya computer?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.