Umri wa kupata kitambulisho cha taifa ni kuanzia miaka mingapi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Salim Jumbe
Wanaoweza kupata vitambuliso vya taifa ni raia wenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Kumbuka kuwa zoezi hili ni endelevu hivyo ambao watafikisha miaka 18 siku zijazo wanaweza kuomba vitambulisho pia.