Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31903
In Process
Anonymous
Asked: June 5, 20192019-06-05T08:35:17+03:00 2019-06-05T08:35:17+03:00Lugha, Mapenzi

Uchumba ni nini?

Uchumba ni nini?
  • 1
  • 705
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 32 Answers
    • 0 Best Answers
    • 65 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2020-11-29T15:19:29+03:00Jibu - November 29, 2020 saa 3:19 pm

    Uchumba ni nini?
    Uchumba ni mahusiano ya awali ambayo wawili (mwanamume na mwanamke) ambao bado hawajaingia ktk ndoa wanakubaliana kuoana, na hivyo wanaanzisha mahusiono ya karibu. Makubaliano yao hayo yanaonyesha; 1. Nia yao ya dhati kuwa wanandoa hapo baadae, 2. Maamuzi ya dhati ambayo kila mmoja ameamua kuchukua, na 3. Kwamba kila mmoja amemkubali mwenzake na kwa sababu hiyo anajiandaa kuwa mwenzi wa ndoa wa mwenzake wakati mfupi ujao. Kwa sababu hiyo. Kwa maana nyingine mahusiano ya uchumba ni maandalizi ya pamoja ya mwisho kabla ya ndoa baada ya hawa wawili kujiandaa kila mmoja kwa nafasi na wakati wake. Sasa hapa baada ya kuridhiana kuwa wataoana wanaanza kufanya maandalizi ya pamoja ya mwisho mapema kabla ya ndoa. Kwa hiyo maandalizi ya kuingia ktk ndoa si ndoa.

    chanzo internet

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 2
    • Nimfanyie nini mwanamke ili anipende?

      • Jibu 1
    • Wanaume wanahitaji nini katika mahusiano?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kutokuwa na wivu kwa mpenzi wangu?

      • Jibu 1
    • Aina gani za wanaume wa kuepuka katika mahusiano?

      • Jibu 1
    • Sifa za mwanamke anayefaa kuolewa ni zipi?

      • Jibu 1
    • Dalili zipi zinaonesha kuwa mwanamke anaweza kuwa msaliti?

      • Majibu 0
    • Nifanye nini ili ajue nampenda?

      • Jibu 1
    • Nini maana ya lugha?

      • Majibu 0
    • Kuna aina ngapi za busu?

      • Majibu 0

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.