Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Vodacom

Share
  • Facebook
0
7Answers
23Questions
Home»Mitandao ya Simu»Vodacom
Adv
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: February 14, 2020Vodacom

    Nawezaje kuangalia kama nadaiwa na Vodacom?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 14, 2020 saa 5:05 pm

    Piga *149*01#, chagua Nipige Tafu kisha Salio la Mkopo

    Piga *149*01#, chagua Nipige Tafu kisha Salio la Mkopo

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: February 7, 2020Vodacom

    Menu ya nipige tafu ya Vodacom ni ipi

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 7, 2020 saa 9:05 am

    Mteja ataweza kutumia huduma kwa kuingia kwenye menu ya bidhaa ya Vodacom kwa kupiga *149*01# kisha chagua Nipige Tafu au kwa kupiga *149*01*99#

    Mteja ataweza kutumia huduma kwa kuingia kwenye menu ya bidhaa ya Vodacom kwa kupiga *149*01# kisha chagua Nipige Tafu au kwa kupiga *149*01*99#

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: February 7, 2020Vodacom

    Menu ya kukopa salio Vodacom ni ipi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 7, 2020 saa 9:04 am

    Mteja ataweza kutumia huduma kwa kuingia kwenye menu ya bidhaa ya Vodacom kwa kupiga *149*01# kisha chagua Nipige Tafu au kwa kupiga *149*01*99#

    Mteja ataweza kutumia huduma kwa kuingia kwenye menu ya bidhaa ya Vodacom kwa kupiga *149*01# kisha chagua Nipige Tafu au kwa kupiga *149*01*99#

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: February 5, 2020M Pawa, M Pesa, Vodacom

    Nikiweka akiba M Pawa nitapata riba kiasi gani?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 5, 2020 saa 6:35 am

    Utatalipwa faida itokanayo na salio la akiba uliloweka. (Kiwango cha Faida kitahesabiwa kila siku na kulipwa kila baada ya miezi 3) Bidhaa utakazopewa zinapangwa kulingana kiasi cha akiba kama hapa chini . Hii itategemeana na uthibitisho wa taarifa zako. Kiasi cha Akiba (Tsh.) Kiwango cha faida (%)Soma Zaidi

    Utatalipwa faida itokanayo na salio la akiba uliloweka. (Kiwango cha Faida kitahesabiwa kila siku na kulipwa kila baada ya miezi 3)
    Bidhaa utakazopewa zinapangwa kulingana kiasi cha akiba kama hapa chini . Hii itategemeana na uthibitisho wa taarifa zako.

    Kiasi cha Akiba (Tsh.) Kiwango cha faida (%)
    1, 000 – 200,000 2
    200,001 – 500,000 3
    500,001 – 1,000,000 4
    1, 000,000 5
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: February 1, 2020M Pawa, M Pesa, Vodacom

    Nisipolipa mkopo wangu wa M Pawa ndani ya siku 30, Vodacom watanifanya nini?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 1, 2020 saa 6:33 am

    Muda wa malipo utaongezwa kwa siku 30 pamoja na riba ya 9% zaidi. Muda unaweza ukaongezwa mara moja tu

    Muda wa malipo utaongezwa kwa siku 30 pamoja na riba ya 9% zaidi. Muda unaweza ukaongezwa mara moja tu

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: January 30, 2020CRDB, M Pesa

    Inawezekana kutoa pesa M Pesa kwa kutumia ATM za CRDB?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 30, 2020 saa 10:49 pm

    Inawezekana Kutoa pesa kwenye ATM za benki ya CRDB kwa njia ya M Pesa fuata hatua hizi Sehemu ya 1 1. Piga *150*00# kisha chagua "Toa Pesa" 2. Ingiza namba ya wakala ambayo ni 999999 kwa ATM zote za benki ya CRDB 3. Ingiza namba yako ya siri ya M Pesa Utapokea SMS yenye vocha ya tarakimu 6 unayopaswSoma Zaidi

    Inawezekana

    Kutoa pesa kwenye ATM za benki ya CRDB kwa njia ya M Pesa fuata hatua hizi

    Sehemu ya 1

    1. Piga *150*00# kisha chagua “Toa Pesa”
    2. Ingiza namba ya wakala ambayo ni 999999 kwa ATM zote za benki ya CRDB
    3. Ingiza namba yako ya siri ya M Pesa
    Utapokea SMS yenye vocha ya tarakimu 6 unayopaswa kutumia ndani ya dakika 5 kwenye ATM

    Sehemu ya 2
    Uwapo kwenye ATM fata hatua hizi
    1. Bonyeza kitufe cha M-Pesa kinachoonekana kwenye screen ya ATM
    2. Chagua lugha
    3. Weka namba ya simu
    4. Ingiza namba za vocha ulizopokea kwenye ujumbe wa sehemu ya kwanza
    5. Weka kiasi unachohitaji
    6. Chukua fedha zako na risiti

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: January 30, 2020M Pawa, M Pesa

    Nawezaje kuomba mkopo M Pawa?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 30, 2020 saa 10:17 pm

    Piga *150*00# Chagua ‘M-Pawa’ Chagua ‘Mkopo’ Chagua ‘Omba Mkopo’ Weka Kiasi Ingiza PIN Thibitisha maombi ya mkopo kwa kubonyeza ok. Utapokea ujumbe wa uthibitisho kuwa M-Pawa inafanyia kazi ombi la mkopo. Mteja atapokea SMS kumfahamisha kuwa ombi limefanikiwa: Ombi lako la mkopo wa M-Pawa limekubaliSoma Zaidi

    Piga *150*00#

    Chagua ‘M-Pawa’

    Chagua ‘Mkopo’

    Chagua ‘Omba Mkopo’

    Weka Kiasi

    Ingiza PIN

    Thibitisha maombi ya mkopo kwa kubonyeza ok. Utapokea ujumbe wa uthibitisho kuwa M-Pawa inafanyia kazi ombi la mkopo.

    Mteja atapokea SMS kumfahamisha kuwa ombi limefanikiwa: Ombi lako la mkopo wa M-Pawa limekubaliwa. Salio jipya la M-Pesa ni Tsh XXXX”.

    Utapokea SMS nyingine kama ombi halikufanikiwa. Ujumbe huo utaeleza sababu za kukataliwa kwa ombi lako.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: January 25, 2020M Pawa, M Pesa

    Nikikopa M Pawa natakiwa kulipa baada ya muda gani?

    Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 251 Points
    View Profile
    Faustine John Expert
    Jibu - January 25, 2020 saa 8:45 am

    Mkopo utalipwa ndani ya siku 30. Ila unaweza kulipa kabla muda wa kulipa mkopo haupita na ukope tena. Kama utalipa mkopo chini ya siku 30, kikomo cha kukopa kitaongezwa haraka .

    Mkopo utalipwa ndani ya siku 30. Ila unaweza kulipa kabla muda wa kulipa mkopo haupita na ukope tena. Kama utalipa mkopo chini ya siku 30, kikomo cha kukopa kitaongezwa haraka .

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: January 24, 2020M Pawa, M Pesa

    Riba ya kukopa M Pawa ni asilimia ngapi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 24, 2020 saa 1:54 pm

    Riba ni 9%. Japo wao wanaiita gharama ya ushauri ya 9% ya mkopo ambayo hutozwa mara moja tu kwa kila mkopo ndani siku 30. Kama umeomba mkopo wa Tsh. 100,000, utalipa Tsh. 109,000 ndani ya siku 30.

    Riba ni 9%. Japo wao wanaiita gharama ya ushauri ya 9% ya mkopo ambayo hutozwa mara moja tu kwa kila mkopo ndani siku 30.

    Kama umeomba mkopo wa Tsh. 100,000, utalipa Tsh. 109,000 ndani ya siku 30.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: January 23, 2020M Pawa, M Pesa

    M Pawa ni nini?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 23, 2020 saa 3:34 pm

    Hii ni huduma ya kibenki kwenye simu kwa wateja waliojisajili na M-Pesa kwa ushirikiano na CBA. Wateja wanaweza kuweka akiba na kukopa pesa huku wakipata faida itokanayo na kuweka akiba.

    Hii ni huduma ya kibenki kwenye simu kwa wateja waliojisajili na M-Pesa kwa ushirikiano na CBA.
    Wateja wanaweza kuweka akiba na kukopa pesa huku wakipata faida itokanayo na kuweka akiba.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Load Majibu Zaidi
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.