Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Vitambulisho

Vitambulisho ni barua, kadi, cheti au kitu cha kujulisha au kumtambulisha mtu fulani ni nani na huwa na taarifa zote kumhusu mtu

Share
  • Facebook
1
1Answer
10Questions
Home»Vitambulisho
Adv
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: January 30, 2020Kitambulisho cha Taifa

    Namba ya simu ya NIDA ni ipi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - February 4, 2020 saa 7:54 am

    0735201020 0736201020 0743000058 0752000058 0686088888 0687088888 0777740008 0677146666 0677146667 0673333444

    0735201020
    0736201020
    0743000058
    0752000058
    0686088888
    0687088888
    0777740008
    0677146666
    0677146667
    0673333444

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: January 20, 2020Kitambulisho cha Taifa, Mitandao ya Simu

    Unaruhusiwa kusajili laini ngapi kwa kitambulisho cha NIDA?

    Ester Mongi
    Jibu - January 24, 2020 saa 1:35 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Unaruhusiwa kusajili laini zote namaanisha za mitandao yote lakini hauruhusiwi kusajilia laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja. mfano huwezi kuwa na laini za voda mbili ila unaweza kuwa na voda airtel na tigo kwa kitambulisho hicho hicho

    Unaruhusiwa kusajili laini zote namaanisha za mitandao yote lakini hauruhusiwi kusajilia laini zaidi ya moja ya mtandao mmoja. mfano huwezi kuwa na laini za voda mbili ila unaweza kuwa na voda airtel na tigo kwa kitambulisho hicho hicho

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: November 23, 2019Kitambulisho cha Taifa

    Nawezaje kupata softi kopi ya kitambulisho cha taifa?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Jibu - January 24, 2020 saa 6:47 am

    Unaweza kupata copy ama nakala ya kitambulisho chako cha NIDA kwa kutumia tovuti ya NIDA online. Inapatikana hapa https://services.nida.go.tz/nidportal/NID_Copy.aspx Kumbuka kujaza taarifa zako kwa usahihi, na moja kati ya kitu nilichogundua ni kwamba kama utaulizwa baadhi ya taarifa kuna uwezekanoSoma Zaidi

    Unaweza kupata copy ama nakala ya kitambulisho chako cha NIDA kwa kutumia tovuti ya NIDA online.

    Inapatikana hapa https://services.nida.go.tz/nidportal/NID_Copy.aspx

    Kumbuka kujaza taarifa zako kwa usahihi, na moja kati ya kitu nilichogundua ni kwamba kama utaulizwa baadhi ya taarifa kuna uwezekano zisiwe sahihi, mfano kama jina la sehemu unayoishi ni Chang’ombe inabidi uiandike bila hiyo alama baada ya ‘g’ yaani changombe.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: December 26, 2019Kitambulisho cha Taifa, Vitambulisho

    Umri wa kupata kitambulisho cha taifa ni kuanzia miaka mingapi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 23, 2020 saa 6:42 am

    Wanaoweza kupata vitambuliso vya taifa ni raia wenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Kumbuka kuwa zoezi hili ni endelevu hivyo ambao watafikisha miaka 18 siku zijazo wanaweza kuomba vitambulisho pia.

    Wanaoweza kupata vitambuliso vya taifa ni raia wenye umri kuanzia miaka 18 na kuendelea. Kumbuka kuwa zoezi hili ni endelevu hivyo ambao watafikisha miaka 18 siku zijazo wanaweza kuomba vitambulisho pia.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: August 18, 2019Kitambulisho cha Taifa

    Nitapata wapi fomu ya NIDA katika mfumo wa PDF?

    1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 16 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    Jibu - January 23, 2020 saa 6:39 am

    Kupata fomu ya Kitambulisho cha Taifa NIDA tumia link hii NIDA PDF

    Kupata fomu ya Kitambulisho cha Taifa NIDA tumia link hii NIDA PDF

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: January 11, 2020Kitambulisho cha Taifa

    Kirefu cha NIDA ni nini?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Jibu - January 21, 2020 saa 7:15 am

    Kirefu cha NIDA ni National Identification Authority

    Kirefu cha NIDA ni National Identification Authority

    See less
    • 5
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: May 31, 2019Kitambulisho cha Taifa

    Nawezaje kupata namba ya kitambulisho cha taifa NIDA?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Jibu - December 30, 2019 saa 10:49 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Ukiacha njia ile ya kutumia *152*00# katika simu yako, unaweza pia kupata namba katika mtandao kwa kutumia hatua hizi. Kuna link mwisho wa haya maelezo utaibonyeza kisha utatakiwa kujaza jina lako la kwanza na la ukoo. Kisha utajaza tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa. Na mwisho utajaza jina la kwanzSoma Zaidi

    Ukiacha njia ile ya kutumia *152*00# katika simu yako, unaweza pia kupata namba katika mtandao kwa kutumia hatua hizi.
    Kuna link mwisho wa haya maelezo utaibonyeza kisha utatakiwa kujaza jina lako la kwanza na la ukoo. Kisha utajaza tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa.
    Na mwisho utajaza jina la kwanza la mama na jina la mwisho la mama kama ulivyoandika katika fomu ya NIDA wakati unajaza.
    HAKIKISHA haukosei hata herufi moja wakati unajaza taarifa hizo. Ukikosea hata herufi moja tu hautapata namba yako.
    LINK YA KUPATA NAMBA

    See less
    • -14
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.