Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Kwa nini ndege haina seat namba 13?
Rickyllobbe
ndege nyingi hazina seat namba 13 kwasababu inaaminika kwamba namba 13 ni namba isiyo kuwa na baati kwa maisha ya watu
ndege nyingi hazina seat namba 13 kwasababu inaaminika kwamba namba 13 ni namba isiyo kuwa na baati kwa maisha ya watu
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaMasharti na taratibu za kupata leseni ya udereva ni zipi?
Salim Jumbe
Leseni ya udereva ni waraka rasmi unaoeleza kuwa mtu anaweza kuendesha chombo cha moto, kama vile pikipiki, gari dogo, lori au basi, katika barabara ya umma. Wenye leseni za udereva za baadhi ya daraja watalazimika kuendesha daraja hiyo baada ya kujaribiwa na si vinginevyo. Masharti: Amehudhuria chuSoma Zaidi
Leseni ya udereva ni waraka rasmi unaoeleza kuwa mtu anaweza kuendesha chombo cha moto, kama vile pikipiki, gari dogo, lori au basi, katika barabara ya umma. Wenye leseni za udereva za baadhi ya daraja watalazimika kuendesha daraja hiyo baada ya kujaribiwa na si vinginevyo.
Masharti:
Taratibu:
Zingatia:
ya taifa
leseni.
kuiongeza muda wa matumizi
chanzo tovuti kuu ya serikali
See lessPromo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaNimepoteza passport yangu ya kusafiria, nifanyaje?
Salim Jumbe
Iwapo pasipoti imepotea, kuibwa au kuharibika sana, maombi ya ubadilishaji yanaambana na tamko la kiapo cha mazingira yanayohusiana na kupotea hulo, wizi au kuharibika kwa pasipoti na mamlaka kulikotolewa taarifa ya kupotea, wizi au kuharibika. Masharti: Waraka wa taarifa ya polisi kuhusu kupotea huSoma Zaidi
Iwapo pasipoti imepotea, kuibwa au kuharibika sana, maombi ya ubadilishaji yanaambana na tamko la kiapo cha mazingira yanayohusiana na kupotea hulo, wizi au kuharibika kwa pasipoti na mamlaka kulikotolewa taarifa ya kupotea, wizi au kuharibika.
Masharti:
Taratibu:
kuibiwa kwa pasipoti.
Promo – MeridianBet
Kubet kumerahisishwa
Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.
Jiunge SasaTaratibu za kupata passport ya kusafiria ziko vipi?
Salim Jumbe
Pasipoti ni hati inayotolewa na serikali ili kumwezesha raia wake aweze kusafiri nje ya mipaka ya nchi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi anayokwenda au kupitia. Licha ya kuwa pasipoti hutolewa kwa jina na maelezo mengine yanayomhusu mwombaji, hati hiyo hubaki kuwa ni mali ya serikali. Soma Zaidi
Pasipoti ni hati inayotolewa na serikali ili kumwezesha raia wake aweze kusafiri nje ya mipaka ya nchi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi anayokwenda au kupitia. Licha ya kuwa pasipoti hutolewa kwa jina na maelezo mengine yanayomhusu mwombaji, hati hiyo hubaki kuwa ni mali ya serikali.
Masharti:
mzazi au wazazi
walezi wawasilishe ridhaa ya maandishi.
Taratibu:
Zingatia: Mbali na masharti hayo ya jumla yapo maelelzo ya viambatanisho maalum kutokana na aina ya safari kama ilivyoainishwa nyuma ya fomu ya ombi la pasipoti.
See less