Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Tigo

Share
  • Facebook
0
5Answers
11Questions
Home»Mitandao ya Simu»Tigo
Adv
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: January 16, 2020Tigo Pesa

    Mwisho wa kuzuia muamala uliokosewa TigoPesa ni dakika ngapi?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Jibu - January 16, 2020 saa 1:21 pm

    Unaweza tu Kuzuia Muamala uliofanyika ndani ya nusu saa. Baada ya nusu saa tafadhali wasiliana na kitengo cha Huduma kwa Wateja kwa kupiga namba 100 ili upate msaada.

    Unaweza tu Kuzuia Muamala uliofanyika ndani ya nusu saa. Baada ya nusu saa tafadhali wasiliana na kitengo cha Huduma kwa Wateja kwa kupiga namba 100 ili upate msaada.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: January 15, 2020Tigo, Tigo Pesa

    Nimemtumia mtu pesa kwa TigoPesa kimakosa, nifanyaye?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 15, 2020 saa 9:47 am

    Mara tu unapogundua kuwa umekosea kutuma pesa kwa mteja wa Tigo Pesa, piga *150*01#, Chagua namba 6, Jihudumie (Akaunti yangu) na kisha fuata maelekezo.

    Mara tu unapogundua kuwa umekosea kutuma pesa kwa mteja wa Tigo Pesa, piga *150*01#, Chagua namba 6, Jihudumie (Akaunti yangu) na kisha fuata maelekezo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: January 14, 2020Tigo Pesa

    Nawezaje ku download app ya TigoPesa?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 14, 2020 saa 9:01 am

    App ya TigoPesa inapatikana katika Google PlayStore na AppStore

    App ya TigoPesa inapatikana katika Google PlayStore na AppStore

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: January 12, 2020Tigo Pesa

    Kama ndugu yangu ni mfanyabiashara na amefariki, naweza kupata pesa zake zilizokuwa TigoPesa?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 12, 2020 saa 7:27 am

    Ndio, pesa ilioko katika akaunti ya Tigo Pesa inaweza patikana kwa ndugu pale mfanyabiashara akifariki, kwa kuwasilisha nyaraka zitakazotakiwa na kufuata utaratibu wa kawaida, kama cheti cha kifo nk.

    Ndio, pesa ilioko katika akaunti ya Tigo Pesa inaweza patikana kwa ndugu pale mfanyabiashara akifariki, kwa kuwasilisha nyaraka zitakazotakiwa na kufuata utaratibu wa kawaida, kama cheti cha kifo nk.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: January 11, 2020Tigo, Tigo Pesa

    Nawezaje kulipa bili kwa kutumia TIgoPesa?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 11, 2020 saa 8:06 am

    Kwa kutumia simu yako Piga *150*01# Chagua namba 4 “malipo” Chagua namba 3 "kupata kumbukumbu namba " Chagua namba 3 "chagua kampuni" Kwenye orodha utapata chaguo la kulipa BILI

    Kwa kutumia simu yako

    • Piga *150*01#
    • Chagua namba 4 “malipo”
    • Chagua namba 3 “kupata kumbukumbu namba “
    • Chagua namba 3 “chagua kampuni”
    • Kwenye orodha utapata chaguo la kulipa BILI
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: January 10, 2020Tigo

    Unapata dakika, SMS na MB ngapi ukiiunga MiniKabang?

    Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 315 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    Jibu - January 10, 2020 saa 11:46 am

    Unapata Dakika 20 SMS 100 MB 8

    Unapata

    Dakika 20
    SMS 100
    MB 8

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: January 10, 2020Tigo

    Kifurushi cha MiniKabang kinakaa muda gani hadi kiishe?

    Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 315 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    Jibu - January 10, 2020 saa 11:44 am

    Siku moja tu yani masaa 24 kuanzia muda ule uliojiunga

    Siku moja tu yani masaa 24 kuanzia muda ule uliojiunga

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: January 4, 2020Tigo Pesa

    Nawezaje kuweka pesa BetPawa kwa kutumia TigoPesa?

    Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 315 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    Jibu - January 4, 2020 saa 12:30 pm

    Piga *150*01# Chagua 5 - Lipa bili Chagua 2 - Lipa kwa Masterpass QR Weka 60124815 Weka kiasi Andika PIN yako Utapokea SMS ya kuthibitisha, na pesa itakua ishaingia katika akaunti yako ya BetPawa

    1. Piga *150*01#
    2. Chagua 5 – Lipa bili
    3. Chagua 2 – Lipa kwa Masterpass QR
    4. Weka 60124815
    5. Weka kiasi
    6. Andika PIN yako
    7. Utapokea SMS ya kuthibitisha, na pesa itakua ishaingia katika akaunti yako ya BetPawa
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: January 4, 2020Tigo Pesa

    Nawezaje kuweka pesa Mkekabet kwa kutumia TigoPesa?

    Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 315 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    Jibu - January 4, 2020 saa 6:56 am

    - Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*01# - Chagua Lipa bili - Weka namba ya kampuni 238844 - Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345 - Chagua kiasi unachotaka kuweka - Weka PIN yako ya TigoPesa halafu Thibitisha - Utapokea ujumbe mfupi kutoka Tigo-Pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    – Ingia katika menyu ya TigoPesa *150*01#

    – Chagua Lipa bili

    – Weka namba ya kampuni 238844

    – Weka namba ya kumbukumbu MKEKA/12345

    – Chagua kiasi unachotaka kuweka

    – Weka PIN yako ya TigoPesa halafu Thibitisha

    – Utapokea ujumbe mfupi kutoka Tigo-Pesa na Mkekabet kuthibitisha muamala

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: June 5, 2019Tigo

    Tigo Tanzania ilianza mwaka gani?

    Rickyllobbe

    Rickyllobbe

    • Dodoma, Tanzania
    • 66 Questions
    • 157 Answers
    • 0 Best Answers
    • 700 Points
    View Profile
    Rickyllobbe Proffesional
    Jibu - January 3, 2020 saa 10:20 pm

    Tigo ilianzishwa mwaka 1994 ikiwa mtandao wa kwanza Tanzania wa simu za mkononi

    Tigo ilianzishwa mwaka 1994 ikiwa mtandao wa kwanza Tanzania wa simu za mkononi

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.