Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Malipo

Share
  • Facebook
0
2Answers
4Questions
Home»Malipo
Adv
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: January 22, 2020M Pesa, Malipo

    M Pesa Master card inafanyaje kazi?

    Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    Jibu - January 22, 2020 saa 2:48 pm

    Ukishachagua bidhaa unazotaka kuweka oda yako kwenye mtandao husika,nenda chini hadi kwenye nembo ya malipo ya Mastercard na chagua hapo, Kisha chukua simu ya Vodacom M-Pesa na fuata hatua zifuatazo Piga *150*00# chagua Lipa kwa M-Pesa Chagua M-Pesa Mastercard Chagua Tengeneza kadi Utapokea ujumbe mSoma Zaidi

    Ukishachagua bidhaa unazotaka kuweka oda yako kwenye mtandao husika,nenda chini hadi kwenye nembo ya malipo ya Mastercard na chagua hapo, Kisha chukua simu ya Vodacom M-Pesa na fuata hatua zifuatazo

    1. Piga *150*00# chagua Lipa kwa M-Pesa
    2. Chagua M-Pesa Mastercard
    3. Chagua Tengeneza kadi
    4. Utapokea ujumbe mfupi wenye namba ya kadi, namba ya CVV na tarehe ya mwisho ya matumizi ya kadi.
    5. Utapokea ujumbe mfupi wenye namba ya kadi, namba ya CVV na tarehe ya mwisho ya matumizi ya kadi.

    Hizi tu ndizo taarifa unazohitaji kukamilisha malipo yako mtandaoni. Jaza kwa uangalifu kwenye mtandao husika na utapata ujumbe wa uthibitisho wa malipo yako.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: January 14, 2020Malipo

    Njia zipi zinatumika kulipia king’amuzi cha Azam?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 436 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 14, 2020 saa 1:22 pm

    Njia za kulipia ziko nyingi, unaweza ukalipia kwa Mitandao ua simu kama Airtel Money, Mpesa, Tigopesa au Ezy Pesa. Pia unaweza kulipia kwa wakala wa Azam TV aliye karibu yako au mawakala wa SELCOM, MAX MALIPO au BUTTON PAY  eneo lolote nchini.

    Njia za kulipia ziko nyingi, unaweza ukalipia kwa Mitandao ua simu kama Airtel Money, Mpesa, Tigopesa au Ezy Pesa. Pia unaweza kulipia kwa wakala wa Azam TV aliye karibu yako au mawakala wa SELCOM, MAX MALIPO au BUTTON PAY  eneo lolote nchini.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.