Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

CRDB

Share
  • Facebook
0
1Answer
1Question
Home»Benki»CRDB
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: January 30, 2020CRDB

    Inawezekana kutoa pesa M Pesa kwa kutumia ATM za CRDB?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 132 Answers
    • 0 Best Answers
    • 474 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Jibu - January 30, 2020 saa 10:49 pm

    Inawezekana Kutoa pesa kwenye ATM za benki ya CRDB kwa njia ya M Pesa fuata hatua hizi Sehemu ya 1 1. Piga *150*00# kisha chagua "Toa Pesa" 2. Ingiza namba ya wakala ambayo ni 999999 kwa ATM zote za benki ya CRDB 3. Ingiza namba yako ya siri ya M Pesa Utapokea SMS yenye vocha ya tarakimu 6 unayopaswSoma Zaidi

    Inawezekana

    Kutoa pesa kwenye ATM za benki ya CRDB kwa njia ya M Pesa fuata hatua hizi

    Sehemu ya 1

    1. Piga *150*00# kisha chagua “Toa Pesa”
    2. Ingiza namba ya wakala ambayo ni 999999 kwa ATM zote za benki ya CRDB
    3. Ingiza namba yako ya siri ya M Pesa
    Utapokea SMS yenye vocha ya tarakimu 6 unayopaswa kutumia ndani ya dakika 5 kwenye ATM

    Sehemu ya 2
    Uwapo kwenye ATM fata hatua hizi
    1. Bonyeza kitufe cha M-Pesa kinachoonekana kwenye screen ya ATM
    2. Chagua lugha
    3. Weka namba ya simu
    4. Ingiza namba za vocha ulizopokea kwenye ujumbe wa sehemu ya kwanza
    5. Weka kiasi unachohitaji
    6. Chukua fedha zako na risiti

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky