Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Blog

Share
  • Facebook
0
3Answers
3Questions
Home»Internet»Blog
  • Maswali
  • Majibu
  • Majibu mengi
  • Bila jibu
  • Views nyingi
  1. Asked: January 11, 2020Blog

    Nawezaje ku design blog inayolipa?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Jibu - May 2, 2020 saa 8:05 am

    Ku design blog ni kitu kimoja na kupata pesa kupitia blog ni kitu kingine. Kuhusu namna ya kutengeneza blog soma hii Nawezaje kuunda blog?. Tuje katika swala la kuifanya iwe inalipa. Kwanza lazima ujue njia utakayotumia kupata pesa kupitia blog yako. Wengi wanaoanzisha blog huanzisha kwa kutegemea kSoma Zaidi

    Ku design blog ni kitu kimoja na kupata pesa kupitia blog ni kitu kingine. Kuhusu namna ya kutengeneza blog soma hii Nawezaje kuunda blog?.

    Tuje katika swala la kuifanya iwe inalipa.

    Kwanza lazima ujue njia utakayotumia kupata pesa kupitia blog yako. Wengi wanaoanzisha blog huanzisha kwa kutegemea kuwa watatumia matangazo kutoka Google(Adsense). Njia hii ndio rahisi zaidi, ila ni lazima kuzingatia yafuatayo kabla ya kuanza

    • Lazima uwe unatumia lugha inayokubaliwa (Kiswahili bado), unaweza tumia lugha ya Kiingereza
    • Lazima uwe na machapisho original, sio yaliyo copy kutoka katika website nyingine
    • Blog yako lazima iwe imekaa muda fulani(usiopungua miezi 6)

    Ukiacha Adsense ambayo ndio njia bora ya kuingiza kipato kwa kutumia blog pia unaweza kutumia matangazo kutoka sehemu nyingine kama SeeBait, Proppeller na Adsterra

    Kama ungependa kuuliza chochote bonyeza HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – AjiraSearch

    Ajira ya Ndoto Yako

    Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.

    Tazama App
  3. Asked: January 21, 2020Blog, Domain Names

    Nawezaje kununua domain name kwa ajili ya blog yangu?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Jibu - April 25, 2020 saa 9:52 am

    Kununua domain name ni rahisi tu. Kuna vitu unapaswa kuwa navyo kabla ya kununua. Kitu cha kwanza ni pesa ya kulipia kwa mwaka wa kwanza (kwa makadirio ni Tsh 30,000). Kingine ni njia ya kulipia, hapa unaweza tumia Master au Visa card au Njia za malipo za mtandao kama TigoPesa na MPesa. Kingine unacSoma Zaidi

    Kununua domain name ni rahisi tu. Kuna vitu unapaswa kuwa navyo kabla ya kununua.

    Kitu cha kwanza ni pesa ya kulipia kwa mwaka wa kwanza (kwa makadirio ni Tsh 30,000). Kingine ni njia ya kulipia, hapa unaweza tumia Master au Visa card au Njia za malipo za mtandao kama TigoPesa na MPesa.

    Kingine unachotakiwa kufahamu ni jina yani domain name unayotaka kama lipo au la. Mfano unaweza kuwa unataka mojasky.com na ukakuta kuwa jina hilo limeshachukuliwa hivyo inatakiwa kuchagua jina jipya ambalo bado halijatumika.

    Ukiwa tayari katika hayo hapo juu. Unaweza kufanya yafuatayo. Ingia Kilihost  alafu bonyeza kwenye Choose Another Category alafu chagua Register Domain. Hapo utaweka jina unalotaka kununua, utachagua kama unahitaji .com .net au .co.tz. Utamalizia kwa kufata hatua zilizobaki kulipia jina unalohitaji.

    Kufahamu sehemu nyingine za kupata domain name tembelea ChuiTec

     

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – AjiraSearch

    Ajira ya Ndoto Yako

    Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.

    Tazama App
  5. Asked: January 7, 2020Blog

    Nawezaje kuunda blog?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Jibu - April 24, 2020 saa 7:14 pm

    Kutengeneza blog ni rahisi sana. Kitu cha kwanza inatakiwa uwe unajua unahitaji blog ya aina gani na ni kwa ajili ya nini. Kama ni kwa ajili ya kuchapisha maswala binafsi tu au kwa ajili ya kujifurahisha unaweza tumia Blogger. Blogger ni njia rahisi ya kutengeneza blog bila hata kuwa na ujuzi wowoteSoma Zaidi

    Kutengeneza blog ni rahisi sana. Kitu cha kwanza inatakiwa uwe unajua unahitaji blog ya aina gani na ni kwa ajili ya nini. Kama ni kwa ajili ya kuchapisha maswala binafsi tu au kwa ajili ya kujifurahisha unaweza tumia Blogger.

    Blogger ni njia rahisi ya kutengeneza blog bila hata kuwa na ujuzi wowote. Ila kama una ujuzi kidogo (html&css) itakua faida kwako. Kuunda blog kwa kutumia blogger nenda blogger.com au unaweza kupata ushauri wa bure HAPA.

    Kama ni kwa ajili ya biashara au unahitaji kuwa siriazi na kutengeneza pesa kupitia blog, nakushauri utumie WordPress. Hii ni njia nyingine rahisi ya kutengeneza blog au website yoyote hata kama hauna ujuzi mkubwa. Ila tofauti ya njia hii na hiyo hapo juu ni kuwa hii unapaswa kulipia hosting na domain name. Malipo yake yanaweza kuanzia Tsh 100,000 kwa mwaka.

    Sababu za kwa nini utumie njia hii ni kuwa utatengeneza blog inayoonekana professional na itakuwa rahisi kupata watumiaji wengi kwa sababu wordpress ina mfumo mzuri wa kupata watumiaji kutokea search engine kama Google

    Unaweza kupata ushauri bure kabisa HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky