Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32359
In Process
Anonymous
Asked: June 14, 20192019-06-14T12:06:42+03:00 2019-06-14T12:06:42+03:00Lugha

Tofauti ya kibebeo na kifungashio ni ipi?

Tofauti ya kibebeo na kifungashio ni ipi?
  • 1
  • 1,550
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 25 Answers
    • 0 Best Answers
    • 111 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    2019-06-17T12:54:33+03:00Jibu - June 17, 2019 saa 12:54 pm

    Apa lazima tuliangalie ili swala kiuzito kidogo ili tusije kumbwa na balaa la kupigwa faini kwa sababu faini haitaangalia aidha unajua au hujui.

    Picha chini inaonesha vifungashio vya korosho. Inamaana vifungashio ni vile ambavyo vinakuja moja kwa moja na bidhaa unayonunua mfano korosho, mkate au maziwa ya pakiti.

    Tukija kwenye upande wa vibebeo ndo vile vyote unavyopewa baada ya kununua bidhaa ili kuwezesha ubebaji au kusitiri vyema kile ulichonunua mwanzo mfano unaweza nunua mkate ulio ndani ya kifungashio na ukapewa mfuko wa plastiki kama kibebeo.

    Pia kitu cha kukumbuka ni kwamba kifungashio hakiruhusiwi pia kutumiaka kama kibebeo. Mfano umemaliza kutumia mkate na ukautumia ule mfuko kubebea kitu kingine sasa unakuwa kibebeo na sio kifungashio tena.

    KUWA MAKINI.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nini maana ya lugha?

      • Jibu 1
    • Kuna aina ngapi za kibantu?

      • Majibu 0
    • Mofimu ni nini?

      • Jibu 1
    • Nini maana ya jina Yashi?

      • Majibu 0
    • Yogati ndo nini?

      • Majibu 0
    • Songesha ni nini?

      • Majibu 0
    • Maana ya ganjo ni nini?

      • Jibu 1
    • Ni nini maana ya akidi?

      • Majibu 0
    • Maana ni nini?

      • Majibu 0
    • Maana ya urasimi ni nini?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.