Taratibu za udahili katika Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji ni zipi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Calvin Mlay
Chuo cha Maji (WI) ni Wakala ya utendaji ya serikali katika Wizara ya Maji na Umwagiliaji iliyoanzishwa kukidhi mahitaji ya wataalam wa maji.
Shahada ya Kwanza ya Miaka Minne ya Uhandisi wa Rasilimali za Maji na Umwagiliaji(Bachelor of Engineering in Water Resources and Irrigation)
Diploma ya Kawaida ya Miaka Mitatu
Cheti cha Kidato cha Sita (ACSE) chenye ufaulu wa somo kuu katika Hisabati na Fizikia na ufaulu wa somo dogo katika Kemia au Jiografia yenye jumla ya Alama 3.5 kwa ulinganishi wa: A=5, B=4,
C=3, D=2, E=1, S=0.5 na F=0
Cheti cha Mwaka Mmoja:
Taratibu:
Chanzo: Tovuti ya Serikali