Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34750
In Process
Anonymous
Asked: January 21, 20202020-01-21T06:47:21+03:00 2020-01-21T06:47:21+03:00Usafiri

Taratibu za kupata passport ya kusafiria ziko vipi?

Taratibu za kupata passport ya kusafiria ziko vipi?
  • 1
  • 426
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 132 Answers
    • 0 Best Answers
    • 476 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-21T06:50:50+03:00Jibu - January 21, 2020 saa 6:50 am

    Pasipoti ni hati inayotolewa na serikali ili kumwezesha raia wake aweze kusafiri nje ya mipaka ya nchi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi anayokwenda au kupitia. Licha ya kuwa pasipoti hutolewa kwa jina na maelezo mengine yanayomhusu mwombaji, hati hiyo hubaki kuwa ni mali ya serikali.

     

    Masharti:

    • Cheti cha kuzaliwa, hati ya kiapo au cheti cha uraia wa kuandikishwa.
    • Cheti cha kuzaliwa, hati ya kiapo au cheti cha uraia wa kuandikishwa cha
      mzazi au wazazi
    • Picha sahihi ya hivi karibuni ya pasipoti isiyo kwenye fremu.
    • Iwapo mwombaji ana umri wa chini ya miaka kumi na nane (18), wazazi/
      walezi wawasilishe ridhaa ya maandishi.
    • http://www.immigration.go.tz/index.php/en/services/passports-and-travel-documents

     

    Taratibu:

    • Jaza Fomu ya Maombi iliyoelezwa katika ofisi ya uhamiaji.
    • Wasilisha fomu ya maombi kwa mkurugenzi wa uhamiaji.
    • Wasilisha nyaraka zote zinazotakiwa kama ilivyoelezwa hapo juu.
    • Lipa ada ya Tshs 50,000/= kama ilivyoelekezwa.

     

    Zingatia: Mbali na masharti hayo ya jumla yapo maelelzo ya viambatanisho maalum kutokana na aina ya safari kama ilivyoainishwa nyuma ya fomu ya ombi la pasipoti.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Masharti na taratibu za kupata leseni ya udereva ni zipi?

      • Jibu 1
    • Nimepoteza passport yangu ya kusafiria, nifanyaje?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.