Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Utangazaji ni utawanyaji wa taarifa za redio na video kwa hadhira ya mbali iliyosambaa kupitia njia yoyote ya mawasiliano na umma ya redio au picha, lakini ni ile inayohusu mawimbi ya umeme na sumaku (mawimbi ya redio) kwa hiyo, leseni ya utangazaji ni aina ya leseni ya spectra inayotoa idhini ya leseni ya kutumia sehemu ya spectra ya masafa ya redio/ TV katika eneo fulani la kijiografia kwa madhumuni ya utangazaji.
Ukiachana na maswala ya kodi kutoka TRA na mengine mambo muhimu ya kuzingatia ni haya
Masharti na Kanuni:
Taratibu:
Tume inayoongelewa hapo ni TCRA
chanzo:Tovuti kuu ya serikali