Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Adv
Faustine JohnAdvanced
Asked: April 20, 20192019-04-20T14:05:51+03:00 2019-04-20T14:05:51+03:00SMS, Vichekesho

SMS zipi nzuri za vichekesho?

SMS zipi nzuri za vichekesho?
  • 1
  • 1,235
  • 0
  • 0
  • Share
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
    • Share on LinkedIn
    • Share on WhatsApp
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Anonymous
    2019-12-14T10:50:31+03:00Jibu - December 14, 2019 saa 10:50 am

    Chukua hii.

    Askari wameitwa kwenye nyumba ambayo kuna ugomvi. Wakafika halafu ikabidi waripoti kwa simu yale waliyokuta

    Askari: mkuu tumekuja hapa tumekuta mama mwenye nyumba amempiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza sana

    Afande: kisa na mkasa hata akafanya hivyo?

    Askari: mama alikua anapiga deki, mumewe akaingia na viatu kabla sakafu haijakauka.

    Afande: Mmeshamkamata huyo mama??

    Askari: hapana bado mkuu

    Afande: mnangoja nini sasa??

    Askari: tunangoja sakafu ikauke afande

     

    Na hii nyingine

    HAYA NDIO MADHARA YA KULALA KANISANI
    Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
    ” SIMAMA”
    Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama
    Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri
    ” kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA”
    Binti akazimia

    😂😂 😂 😂😂

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    • SMS gani ya msichana mwema ni nzuri?

    • Nini kirefu cha SMS?

    • Nitapata wapi text za kusisimua?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.