Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32332
In Process
Adv
Anonymous
Asked: June 14, 20192019-06-14T11:32:24+03:00 2019-06-14T11:32:24+03:00SMS

Sms zipi nzuri za urafiki?

Sms zipi nzuri za urafiki?
  • 1
  • 2,797
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Amon
    2020-02-07T08:56:50+03:00Jibu - February 7, 2020 saa 8:56 am

    rafiki mtamu ni kama mto,ukichoka unalala juu yake akihuzunika unadondosha chozi juu
    yake,ukifurahi unamkumbatia mungu akulinde na kukujibu haja zako daima.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    waridi jeusi kwa adui pink kwa rafiki maalum,njano kwa kila lakheri ,jeupe kwa amani
    jekundu kwa mapenzi je?wewe utanipa lipi?
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nipe kile ambacho nakihitaji,nipe nami niridhike,nipe bila ya kufikiria,nipe bila ya
    kujutia,nipe kwa kuzingatia,nipe kwa kufurahia,nipe nipate tulia,nipe nami nikupe..sio
    kingine ila ni salamu tu.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Leo lazima nikupe ukweli wako hata ikuchome poa tu,ikuhuzunishe sitojali,ukinunia
    milele safi tu,ukizimia shwari si kuwa nakuogopa vile upo mbali wala!hata tukiwa karibu
    nitakuambia tu,maana umezidi kila siku nilikuwa nasahau kukwambia kwamba ni mmoja
    ya watu ninaowapenda.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Anayekujulia hal
    ”AMEKUWAZA”
    anayekuwaza
    ”AMEKUMBUKWA’
    anayekumbukwa
    ”ANAKUPENDA”
    anayekupenda
    ”ANAJUA THAMAN YAKO.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nilichomeka ukachomoa ukadai hujazoea,nilitaka kuchomeka tena ukawa umeshkilia
    hutaki nichomeke,ikabidi nikuvizie ukiwa umelala,uliposhtuka ukakuta nmechomeka
    ukaamua kuchomoa tena ,hapo nikaamua nikuache ung’atwe na mbu hadi asubuhi sbb
    hujui umuhimu wa net.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila nikikupoteza wewe ni pengo
    lisilozibika kamwe.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    • SMS gani ya msichana mwema ni nzuri?

    • Nini kirefu cha SMS?

    • Nitapata wapi text za kusisimua?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.